DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 1,486
- 2,739
Wakuu habari za Wikiend?
Nipo Mkoani Kigoma sasa kwa muda wa zaidi ya Miezi minne, mimi ni mfuatiliaji sana wa Vipindi vya maombi au mahubiri radion au kwenye Runinga.
Hivi karibuni wakati nasikiliza radio moja hivi sijui inaitwaje(ila nafikiri ni radio yake) ila Nilimsikia mtumishi mmoja anajiita Dr nabii Elia mahela nikasikiliza shuhuda zake, maombin.k lakini kubwa alikuwa akialika watu ibadani.
Nilisikiliza sana inaoneka kwa Kigoma ndiye ameshikilia hatamu kama ilivyo Dar kwa Mwamposa NA cOMPANY YAKE(Suguye, kuhani Mussa, mwingira nk).
Nimejaribu kumfuatilia nimesikia story zake nyingi sana nyingine za kumsifu na mbaya kama ilivyo kawaida hasa kupenda hela nasikia Mtumishi ukienda kwake kipaumbele ni wewe utoe hela kwanza.
Naomba anayemfahamu vizuri anipe ABC zake nataka nifike hapo siku moja kwa ajili ya uchunguzi wangu sio kwa ajili ya maombi. maana hata mimi niko na kilinge changu
N.B mimi ni mgeni Hapa Kigoma nimetokea Tanga
Nipo Mkoani Kigoma sasa kwa muda wa zaidi ya Miezi minne, mimi ni mfuatiliaji sana wa Vipindi vya maombi au mahubiri radion au kwenye Runinga.
Hivi karibuni wakati nasikiliza radio moja hivi sijui inaitwaje(ila nafikiri ni radio yake) ila Nilimsikia mtumishi mmoja anajiita Dr nabii Elia mahela nikasikiliza shuhuda zake, maombin.k lakini kubwa alikuwa akialika watu ibadani.
Nilisikiliza sana inaoneka kwa Kigoma ndiye ameshikilia hatamu kama ilivyo Dar kwa Mwamposa NA cOMPANY YAKE(Suguye, kuhani Mussa, mwingira nk).
Nimejaribu kumfuatilia nimesikia story zake nyingi sana nyingine za kumsifu na mbaya kama ilivyo kawaida hasa kupenda hela nasikia Mtumishi ukienda kwake kipaumbele ni wewe utoe hela kwanza.
Naomba anayemfahamu vizuri anipe ABC zake nataka nifike hapo siku moja kwa ajili ya uchunguzi wangu sio kwa ajili ya maombi. maana hata mimi niko na kilinge changu
N.B mimi ni mgeni Hapa Kigoma nimetokea Tanga