Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
TUNAYO SABABU YA KUMUOMBEA RAIS WETU, KUNA TATIZO MAHALI...
Tafakari...
Ili upate uteuzi wa kuwa JAJI Mkuu ni lazima uwe na miaka hamsini (50)na kuendelea.
Miaka 50 ni umri wa uzeeni, umri ambao umakini na busara huongezeka kwa sababu ya kula chumvi nyingi.
Lakini pia hukuzaliwa na miaka 50, ulitoka utotoni, ukawa kijana baadae mtu mzima hatimaye ukaingia uzeeni.
Ulipokuwa kijana si kwamba ulikaa bure ukisubiria uteuzi hapana, ulifanya kazi kwa juhudi na kujiwekea hazina wewe na kizazi chako ili siku ukizeeka usipate tabu, utumie kile ulichovuna ujanani.
Mara Paap!...ukakutana na zari la kuwa JAJI MKUU, ukaanza kula mshahara wa Majaji huku hazina yako uliyojiwekea ujanani ikiwa imejaa gharani.
Ukapata likizo ukaamua kwenda ughaibuni kupumzika, Boss wako anakushangaa ati pesa ya kwenda likizo ughaibuni unaipata wapi?!!!
Kwamba ni nini?
Endelea nwenyewe mimi naogopa kumkosea heshima mtukufu.....
HII NI ROHO YA UMASIKINI TUIOMBEE KWA NGUVU KUBWA
Tafakari...
Ili upate uteuzi wa kuwa JAJI Mkuu ni lazima uwe na miaka hamsini (50)na kuendelea.
Miaka 50 ni umri wa uzeeni, umri ambao umakini na busara huongezeka kwa sababu ya kula chumvi nyingi.
Lakini pia hukuzaliwa na miaka 50, ulitoka utotoni, ukawa kijana baadae mtu mzima hatimaye ukaingia uzeeni.
Ulipokuwa kijana si kwamba ulikaa bure ukisubiria uteuzi hapana, ulifanya kazi kwa juhudi na kujiwekea hazina wewe na kizazi chako ili siku ukizeeka usipate tabu, utumie kile ulichovuna ujanani.
Mara Paap!...ukakutana na zari la kuwa JAJI MKUU, ukaanza kula mshahara wa Majaji huku hazina yako uliyojiwekea ujanani ikiwa imejaa gharani.
Ukapata likizo ukaamua kwenda ughaibuni kupumzika, Boss wako anakushangaa ati pesa ya kwenda likizo ughaibuni unaipata wapi?!!!
Kwamba ni nini?
Endelea nwenyewe mimi naogopa kumkosea heshima mtukufu.....
HII NI ROHO YA UMASIKINI TUIOMBEE KWA NGUVU KUBWA