Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,223
- 7,993
!
!
Judge Msando na Masha
!
Judge Msando na Masha
SanaWanajitambua.
Safi,chadomo watambue tundu lissu wao anasura mbili ya ucdm na uTLC,kwenye ucdm atapiga burabura zake ilo apate mkate wa kila siku kwenye uTLS ni hapa kazi tu hakuna rongorongoMakamu mwenyekiti wa chama cha mawakili (TLS) Godwin Ngwilimi leo kwenye maadhimisho ya 22 ya wiki ya sheria amesema wanampongeza rais Magufuli kwa kutekeleza matakwa ya wananchi kwa kutatua kero mbalimbali zinazowakumba wananchi.
Maadhimisho hayo yanafanyika leo tarehe 1/02/2018
Source .Mwananchi .
My take . Pongeze hizi za TLS kwa rais Magufuli ni kinyume kabisa na matarajio ya chadema , ambao walitarajia Rais Magufuli achukiwe na wanasheria baada ya Tundu Lisu kupata matatizo ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana akiwa mjini Dodoma.
HahahaSafi,chadomo watambue tundu lissu wao anasura mbili ya ucdm na uTLC,kwenye ucdm atapiga burabura zake ilo apate mkate wa kila siku kwenye uTLS ni hapa kazi tu hakuna rongorongo
Okayyy hapo sawa nmekupata chiefMbona alishateuliwa siku nyingi? na hii ni moja ya makubaliano ya kazi?
unaota? ngoja nikwambie, Godwin Ngwilimi alimpigia TL kuwa rais wa TLS.Godwin Ngwilimi Raisi wa TLS!
Na mbowe yumo!!Hapo zawad kwa mawakili watiifu kwa jpm
Angalao leo ameonyesha kuchukizwa na rushwa, chuki hii sasa ihamie kwenye kuhonga upinzani
ANAVIZIA UTEUZIMleta Uzi unatafuta medali nini maana kwa siku Una post Uzi kibaoo humu Jf...
Keap it soon mkulu atakupa post nyeti
Ova
These two guys are highly corrupt, hawafai kuwa majaji! Unless vetting isiwepo.!
!
Judge Msando na Masha
Mtoa rushwa hawezi kujihukumuAngalao leo ameonyesha kuchukizwa na rushwa, chuki hii sasa ihamie kwenye kuhonga upinzani
Sema utaimarika!iHakuna sababu ya msingi yakuacha kuteua majaji wa kutosha wa kusikiliza kesi wakati nchi yetu ina wasomi wengi weledi ambao wana sifa za kuwa majaji, kuna mahakimu waadifu na wajuzi wana uwezo wa kufanya Kazi.
Hongre JPM kwa kuliliona hilo, sasa naamini mhimili huu chini ya Jaji MKUU utanyooka.
Hahahaa.... wewe wasema!Mbona alishateuliwa siku nyingi? na hii ni moja ya makubaliano ya kazi?