Wiki Moja Sasa Bila Local Channels:Je TBC1 imekuvutia?

Wiki Moja Sasa Bila Local Channels:Je TBC1 imekuvutia?

Sikuwahi kuwa mwangaliaji wa tbc, sasa kunilazimisha niiangalie ndo kuharib kabisa! Naskiliza zangu redio wakuu. Yes, kulikoni kunilazimisha niangalie tbc bora niskilize radio. Sjui nazo ziko mbioni kuzimwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tushaurini kipi king'amuzi kizuri kwa hizo channels zisizo TBC
 
Nunua 6ft/8ft dish, nunua FTA receiver. Hutapata hii kadhia mnayopitia, hutalipia kila mwezi. Ndio ni gharama kufunga 6/8ft dish ila after that you're good.
 
Wanawatapeli kivipi? Ile ni commercial tv station,serikali inasema warushe matangazo bure kwa tv za ndani walipogoma ndiyo wakazushiwa la kutokuwa na leseni,kumbuka Tbc yenyewe inaendeshwa kwa kodi zetu na startimes wana undugu na serikali ya ccm!
Huna unachokijua Mkuu,wazushiwe Kwa lipi sasa,na hao star times wanaorusha bure wao ndiyo hawapo kibiashara.
Kama unawatetetea kuwa wapo kibiashara basi waachane na local channels ambazo zinarushwa kiutaratibu waoneshe za kwao tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom