Wiki Moja Sasa Bila Local Channels:Je TBC1 imekuvutia?

Wiki Moja Sasa Bila Local Channels:Je TBC1 imekuvutia?

sijui kijiji gani mkuu , Kwetu Kyela kuna option , ni DSTV na AZAM kwahiyo watu wengi wanahangaika na soka na tamthilia , si tbc hata chembe !
Kuna kantalambe,ngoreme nk,waliopata Umeme wa rea hivi karibuni,kyela & tukuyu kumeendelea kitambo mkuu,hata hvyo Dar yenyewe kugharamia kifurushi kwa sasa ni mbinde.
 
Unajua hawa wamiliki wa local channel wanatafuta huruma wasiyostahili. Hivi zamani zile gharama za kusimika na kuendsha minara ya kurusha matangazo si kila mtu alikuwa anajigharamia mwenyewe? Sasa leo hizo gharama za kurusha matangazo hawataki kuzilipa kwanini? Miaka 8 hizo gharama tumebebeshwa walaji wao wakaona ndio sheria, kumbe walikuwa wanafanyiwa fadhila, leo sheria imechukua mkondo,wawalipe Startimes, Continental na Ting ili warushiwe matangazo yao, kwani hao ndio wenye leseni za kurusha FTA channels. Vinginevyo waendelee tu kula vumbi.
 
Back
Top Bottom