Wiki Moja Sasa Bila Local Channels:Je TBC1 imekuvutia?

Wiki Moja Sasa Bila Local Channels:Je TBC1 imekuvutia?

Huna unachokijua Mkuu,wazushiwe Kwa lipi sasa,na hao star times wanaorusha bure wao ndiyo hawapo kibiashara.
Kama unawatetetea kuwa wapo kibiashara basi waachane na local channels ambazo zinarushwa kiutaratibu waoneshe za kwao tu


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekwambia Startimes na serikali wana uhusiano usioeleweka,thus serikali kuipigania startimes si ajabu,na vile serikali inapambana kuhakikisha raia hawapati habari balanced bali zile za kumsifu na kumtukuza mtawala tu basi Tbc na startimes ni perfect match.
 
Hakuna mwananchi yeyote mwenye akili timamu atakayethubutu kuangalia TBC
My Friend mimi nafatilia This week Perspective,kama wewe hufuatilii vipindi kama hivi kivyako,sio vipindi vyote vya TBC vinakera....
 
Nilikuwa na miezi sijaangalia tbc. Siku hiyo jpili mchana nipo nyumbani katika kubadilisha channel nikakutana na taarifa ya habari tbc. Nikaona sio mbaya nikajua yanayojiri nchini. Katikati ya habari wakaweka tangazo. Nilisikitika sana kwamba hawa watu lini watajifunza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu kaniambia kwamba kwa kutumia combination ya Dish (Dstv, Azam na Zuku) na Antena unapata Tv Local channels zote pamoja na hizo zinzopatikana sasa. Mimi sio mtaalam, je kuna yeyote mwenye uelewa mpana juu na nilichoambiwa? Ahsante
 
Nimenunua king'amuzi cha Azam TV - Kenya; Channels zote zipo. Hivyo wandugu fanyeni utaratibu; mpate ving'amuzi vya AZAM - Kenya.
 
Back
Top Bottom