Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
Unataka kudesaTupeni basi soft copy ya sheria za barabarani
Unataka kudesaTupeni basi soft copy ya sheria za barabarani
sheria ipi ni ngumuTatizo sio kuzungusha usukani na kuweka gia.
Tatizo ni kujua sheria na alama za bara barani
Zitakutosha kujua kuendesha ila sio kuwa DEREVA.Habari zenu ndugu zangu.
Ninataka kujifunza kuendesha gari, haya magari madogo ya familia.
Je, wiki mbili zitanitosha kujua kuendesha manual na automatic?
Ndiyo attach basiUnataka kudesa
Gar mbona hata nikikulekeza hapa unachkua tu ufunguo unaendesha gar,mm mara ya kwnz naendsha gar baba alikuwa anaumwa hawez kuendsha alinipa tu maelekezo kwa mdm kila kitu kijana nkawasha gari nikatembea
WORD....Zitakutosha kujua kuendesha ila sio kuwa DEREVA.
Ina ugumu gani (hasa kwa sisi wanawake? )Ni mentality mbaya tu za watu,kuna wanawake wako viwandani wanaendesha mitambo mikubwa seuze gari ya manual?Manual????? Labda automatic kama una kichwa kizuri. Manual sio mchezo Dada yangu hasa kwenu wanawake
Mhhhh...Kama mafuta yapo na una kichwa chepesi ni masaa sita tu unakuwa mzoefu kama dereva wa fuso.
Hahahaaa...Unataka kudesa
mi nilitumia siku mojaHabari zenu ndugu zangu.
Ninataka kujifunza kuendesha gari, haya magari madogo ya familia.
Je, wiki mbili zitanitosha kujua kuendesha manual na automatic?
FactZitakutosha kujua kuendesha ila sio kuwa DEREVA.
Tatizo sio kuzungusha usukani na kuweka gia.
Tatizo ni kujua sheria na alama za bara barani
Ina ugumu gani (hasa kwa sisi wanawake? )Ni mentality mbaya tu za watu,kuna wanawake wako viwandani wanaesha mitambo mikubwa seuze gari ya manual?
Ndio nilijifunzia ndio maana sioni kama ni ngumu kama wadau wanavyohisi.Kwa mwanamke kujua gari tena Manual labda awe na knowledge ya ufundi kidogo kujua kuwa Manual lina operate vipi. Sina maana mbaya lakini hata kwa wanaume kujua manual kwa wiki mbili pekee sio rahisi ndugu.
Manual ni habari nyingine na wengi wanaikimbia