Wombolombo
Member
- Nov 27, 2012
- 96
- 19
Manual haina shida ukijua kubalance gear maana hata kwa cku 3 unagonga gear ngoma inatambaa no matter wewe ni wa kike au kiume.
Habari zenu ndugu zangu.
Ninataka kujifunza kuendesha gari, haya magari madogo ya familia.
Je, wiki mbili zitanitosha kujua kuendesha manual na automatic?
Habari zenu ndugu zangu.
Ninataka kujifunza kuendesha gari, haya magari madogo ya familia.
Je, wiki mbili zitanitosha kujua kuendesha manual na automatic?
Nipm ujifunzie yangu!Habari zenu ndugu zangu.
Ninataka kujifunza kuendesha gari, haya magari madogo ya familia.
Je, wiki mbili zitanitosha kujua kuendesha manual na automatic?
Hujaulizwa we ulitumia siku ngapMimi nilitumia siku Tatu tu
Mtani uko vizuri, what a man can do, a woman can do better...Sio kazi,kama unafahamu auto,manual lisaa limoja tu unatambaa,muhimu ufahamu gia gani iko sehemu gani na ui ngage Kwa mtiririko wake.
Gear lever yenyewe inaonyesha mtiririko ulivyo View attachment 450272
Na tatizo lingine ni kuendesha magari matatu kwa pamoja....La mbele yako, la nyuma yako na la kwako.....!Tatizo sio kuzungusha usukani na kuweka gia.
Tatizo ni kujua sheria na alama za bara barani
Week mbili hazitoshi maana utakuwa huna uzoefu wa kutosha kuingia barabarani kuweza kusawazisha makosa ya madereva wazembe. Kama unalipenda gari lako jipe muda usiwe na haraka anza taratibu uzoee kunyoosha na kupishana vizuri barabarani then mengine yatakuja.Habari zenu ndugu zangu.
Ninataka kujifunza kuendesha gari, haya magari madogo ya familia.
Je, wiki mbili zitanitosha kujua kuendesha manual na automatic?
Habari zenu ndugu zangu.
Ninataka kujifunza kuendesha gari, haya magari madogo ya familia.
Je, wiki mbili zitanitosha kujua kuendesha manual na automatic?
tobaa!Siku 2-3 inatosha...
hutaki au...?tobaa!
Gari la Automatic naona ndio lina raha sana kuliko Gari la manualKuendesha gari raha sana. Ahsanteni sana wapendwa wangu wa jf
Mimi nilitumia siku Tatu tu
HahahaaNa ndio hao watakao kuwa wanawasha indicator ya kushoto halafu yeye anakata kulia'
sasa hiv unaongeza na boda boda wa kushoto na kulia ..mwendesha bajaj na mwendesha baiskel hapo jumlisha na mtembea kwa miguu....bila kusahau na trafic anayekutegea kwenye mstar mweupe wa mwenda kwa miguu...kazi ipoNa tatizo lingine ni kuendesha magari matatu kwa pamoja....La mbele yako, la nyuma yako na la kwako.....!