Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,624
kweli kabisa hata mm siku ya kwanza kuendesha gar mume wangu alikuwa anaumwa ....mm nilikuwa namwona tu akiendesha kila mara nikasema nitaenda kujifunza sikuwa naenda ...ila hyo siku sitakaa niisahau nilimwendesha mpka hosp....baada ya kupona hapo hapo nilienda huo wiki 2 mana nilikuwa nikitoka narud nachukua gar naenda uwanjan najipangia mawe mwenyewMmmh!!
Ya kweli hayo?