Wiki mbili sasa nafuatilia leseni yangu TRA, naambiwa 'material' hakuna

kinamba

Member
Oct 24, 2016
70
60
Habari,

Ningependa kufahamishwa TRA kuna shida gani, maana watu tumelipia pesa zetu kwa ajili ya kurenew leseni, lakini kila ukienda kufuatilia unaambiwa njoo baada ya wiki mbili. Sasa nishamaliza miezi miwili hapa. Tuambieni kama hizo leseni tutapata au la.

Maana mnatuambia material hakuna sasa najiuliza hizo Hela tunazolipia zinafanya kazi gani?

Personally mmenikera sana!!!
Ni hayo tu!!!
 
Nnaona baada ya kile kikaratasi kuchanika ndo ndo umepata motisha ya kufuatilia
 
Sijui shida ni nini,ni mara ya kwanza kutokea hii shida kwa TRA..
 
Habari,

Ningependa kufahamishwa TRA kuna shida gani, maana watu tumelipia pesa zetu kwa ajili ya kurenew leseni, lakini kila ukienda kufuatilia unaambiwa njoo baada ya wiki mbili. Sasa nishamaliza miezi miwili hapa. Tuambieni kama hizo leseni tutapata au la.

Maana mnatuambia material hakuna sasa najiuliza hizo Hela tunazolipia zinafanya kazi gani?

Personally mmenikera sana!!!
Ni hayo tu!!!
Pole sana mkuu. Tatizo lipo nadhani kwa miezi mitatu au zaidi. Maombi ya toka mwezi July hayajashughulikiwa bora ya wewe umekuja juzi tu. Nafikiri tatizo lipo kwa mkandarasi aliyepewa zabuni ya ku supply material..
 
Tumempiga BAN shauri ya hiyo ID. Yaani yeye alikosa majina mpaka ajiite hivyo? Tumeshirikiana mimi na painkiller!!
hahahahahhah, mbona yumo humu tokea Oktoba, 2016 mods walikuwa hawajaona hilo jina "pendwa"!!!!
 
Sasa kama material hakuna ulitaka wakupe pilau? Nenda na material uone kama watakataa kukutolea leseni mpya. Acha Unyalandu kijana.
 
Habari,

Ningependa kufahamishwa TRA kuna shida gani, maana watu tumelipia pesa zetu kwa ajili ya kurenew leseni, lakini kila ukienda kufuatilia unaambiwa njoo baada ya wiki mbili. Sasa nishamaliza miezi miwili hapa. Tuambieni kama hizo leseni tutapata au la.

Maana mnatuambia material hakuna sasa najiuliza hizo Hela tunazolipia zinafanya kazi gani?

Personally mmenikera sana!!!
Ni hayo tu!!!
Hata Mimi Leo Nimeenda TRA Wamesema Hivyo hivyo We tembea na Slip ya Benki na kile kikaratasi Chao Ukishikwa Kionyeshe Hicho Mi Sitoa hataaa Senti kodi tunayolipa Serikali Inatosha....
 
Kama material hakuna si wafunge ofisi. Wanafanya kazi gani?

alafu boss wao huko mwanza. ANASEMA ANATAKA MAENDELEO TU.

MAENDELEO MTAYAPATA KWA KUKOSA MATERIAL?
 
TAKUKURU wanazo hizo habari....????.Hebu kimbia pale Upanga ukawape taarifa tu,hakuna haja ya Flush,wao watafanyia kazi swala hilo.Njia ingine omba Show na 360 clouds useme yako ya leseni live.
 
Mi nilikwenda kurenew tarehe 28.05 nikaja kuipata tarehe 12.09. Wiki mbili usitarajie kupata leseni. Ukiipata peleka zaka au sadaka ya shukrani.
 
Nimelipia tangu 25 desemba mpaka leo hii sijaipata kila nikienda napigwa kalenda na kwa maksudi siendi mpaka january
angalizo traffic yeyote akinikamata kuhusiana leseni na nikakuonyesha vielelezo ukashindwa kunielewa aiseee mtakuja kunichangia kituo kizima yaani nitapiga watu ngumi na mateke kama nyie maaskari wa kike mtanikoma yaani mnazingua leseni kana kwamba nimetoka Rwanda ili hali Tra na polisi ni kitu kimoja
 
Sasa kama material hakuna ulitaka wakupe pilau? Nenda na material uone kama watakataa kukutolea leseni mpya. Acha Unyalandu kijana.
siyo kazi yangu kutafuta material mkuu...
We unafikiri kama ningekuwa natengeneza leseni mwenyewe ningeleta uzi hapa..
 
Back
Top Bottom