Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
- Thread starter
- #21
Pia uwe unambania mmeo kama anapuuzia maamuzi yako, Usiwe unampa kila siku, mueleze ili upate usiwe unabisha bisha
sasa akiwa anambania si ndo anakalibisha nyumba ndogo hivi hivi au dada mtu atakuwa kipoozeo kwa jamaa. Labda wawe wanafanya kila siku ili asiwe na njaa tena ya kumendea dadaake