Bright Libaba
Member
- May 13, 2013
- 51
- 106
😀 😀 😀 😀 😀 😀 Umetishaa mzee babahWife material kwaupande wangu itategemea naukubwa watako lake. Kadri ukubwa watako unavyoongezeka ndivyo uwife material ninavyoupa thamani
😀 😀 😀 😀 😀 😀 Umetishaa mzee babahWife material kwaupande wangu itategemea naukubwa watako lake. Kadri ukubwa watako unavyoongezeka ndivyo uwife material ninavyoupa thamani
HaahhahahahaWife material kwaupande wangu itategemea naukubwa watako lake. Kadri ukubwa watako unavyoongezeka ndivyo uwife material ninavyoupa thamani
Uzuri wa sura ndo ukoje?Wife material anapimwa kwa vitu vingi na awe tayari kuishi maisha ya hali yeyote. Siyo kwenye good life awe poa ila ukishuka kiuchumi asepe!
Kwanza awe mzuri wa sura na akili na upendo wa dhati na hofu ya Mungu! Hii combination ikikubali mtafurahiana maishani mwenu na Mungu atawasaidia.
leo nimegundua Hazard fc umejua kuandika ukiwa form one B
Nasubiria jibu piaUzuri wa sura ndo ukoje?
Poa poa mkuu....matani tu mkuu
Sie wenye sura chachu sio wife material eee?Wife material anapimwa kwa vitu vingi na awe tayari kuishi maisha ya hali yeyote. Siyo kwenye good life awe poa ila ukishuka kiuchumi asepe!
Kwanza awe mzuri wa sura na akili na upendo wa dhati na hofu ya Mungu! Hii combination ikikubali mtafurahiana maishani mwenu na Mungu atawasaidia.
Mkuu hiyo itakuwa ni tako material na sio wife materialWife material kwaupande wangu itategemea naukubwa watako lake. Kadri ukubwa watako unavyoongezeka ndivyo uwife material ninavyoupa thamani





Sura yako ni nzuri kwangu ninayekupenda tu. Siyo lazima sura yako iwe nzuri kwa wengine.Sie wenye sura chachu sio wife material eee?
Uzuri wa sura ndo ukoje?
Uzuri wa sura macho ya mtu
Kila mtu anamtazamo wake
Hivyo uzuri nitakaousifia mimi unaweza kuwa simalikitu kwa mtu mwengine.
WE WA KISHUA KWANZA HAHAHASifa kama zangu😎🤓
Chee,.wakishua na visiga wapi na wapi🤣WE WA KISHUA KWANZA HAHAHA
WE WA KISHUA KWANZA HAHAHA
Nawaonaa wife material na husband materialChee,.wakishua na visiga wapi na wapi![]()




UMEFATA NINI HUKU NA WEWENawaonaa wife material na husband material![]()
HUKO HUKO KWENYE LILE GHOROFA LENU LENYE ULINZI 24/7Chee,.wakishua na visiga wapi na wapi🤣