'Wife material' wapo humu!

'Wife material' wapo humu!

Weee Equation x em tuambie wifi yetu anafananaje?
Chibonge au kipotabo?

Ila jamani miaka 40 kumuita wifi naona kama namkosea heshima eti, me nitakua namuita shangazi au mamdogo bana😂😂
😂😂😂Shangazi ndio imekaa poa na kumvesha kimini mwenzie ndio amenichosha ila wifi alijiongeza😀😀😀
 
Chezea umri umesonga af umeopoa kimasihara

Aah hata ningekua ni mimi ningempashia moto hadi maji ya kusukutua asubuhi mbona😂😂

Shost tuchukue maujuzi wa shangazi ohoo🤣
😂😂Shangazi ni noma Hadi nduguyetu kaja kusalim amri mambo sio mabaya kwakweli tuchukue maujuzi tuwe wahifu matirio 😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom