Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Yani umepiga mule mule Sina cha kuongeza hapo 😂😂According to Africans, wife material ni mwanamke fala who behaves like a sheep, yeye kila kitu sawa mme sawa mme okay mme, haruhusiwi kufanya kazi wala kuwa huru na shughuli zake ila kusikiliza tu mme muda wote.
Ni mwanamke fala ambae hana sauti ndani ya nyumba hasikilizwi anaeishi kwa kunyanyasika ila yupo tu yeye anadai anavumilia.
I guess am right Jadda say something about wife material 😅