ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,827
- 27,257
Sijasoma content ila nakuuliza ulitaka amuombe nani?
Wajibu wako
Huyu kyanyangwe hajui kuishi nao. Unampa 20,000 na jioni unaomba mkopo wa laki moja ili mkaende out maana amependeza sana. Mkifika huko mnatumia 20,000 unabakiza 80,000. Hapo nani mshindi? CC EspyISHINI NAO KWA AKILI.
Taratibu Basi..hasira za Nini??!!Kama wajibu wangu YEYE ANAFANYA KAZI ILI IWEJE ?! NDO MAANA NILIAPA NA SIJAOA MWANAMKE MWENYE AJIRA.
Ni mibinafsi, mibishi, kiburi, ujuaji pumbavu kabisa. Mke bora ni MAMA WA NYUMBANI NA KUMUHUDUMIA INALETA RAHA hata akitaka million nitampa sio hii mifeminist
😀😀..waume wa sikuhizi🤔Huyu kyanyangwe hajui kuishi nao. Unampa 20,000 na jioni unaomba mkopo wa laki moja ili mkaende out maana amependeza sana. Mkifika huko mnatumia 20,000 unabakiza 80,000. Hapo nani mshindi? CC Espy
Kumhudumia vizuri familia yako Ni Pamoja na kuhakikisha Mkeo anapendeza kwa kwenda saloon kila wiki.Habari wakuu.
Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa tz.kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali.
Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kikweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu vizuri
Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni kisa kilichotokea juzi jumamosi, wife ameninunia sababu ikiwa kwamba aliniomba pesa ya kusukia kama 20k hivi nikamwambia sina, nikamwambia yeye anakosaje hiyo elfu 20 wakati mahitaji yote ya nyumbani natoa mimi. Kanuna mpaka leo.
Nimeambatanisha ushahidi wa salary yake hapa.nishaurini, huyu mwanamke yuko sahihi kuniomba ela ya kusukia wakati kanizidi kipato karibia mara 4?View attachment 1691695
Kila leo mie nasema kigezo cha kwanza kuoa ni sura na chura elimu na kwamba anajiweza kiuchumi haina faida yoyote kwa mwanaume ndani ya ndoaNdo ujiulize apo ulioa mfanyakazi wa nini?
Habari wakuu.
Mke wangu ni muajiriwa kwenye moja ya entities hapa tz.kipato chake kwa mwezi ni around 1.9m baada ya makato yote ya serikali.
Mimi kipato changu ni around 500k kwa mwezi na kikweli kama mwanaume najitahidi sana pamoja na kipato changu kidogo kuhudumia familia yangu vizuri
Sasa kilichonifanya kuandika huu uzi ni kisa kilichotokea juzi jumamosi, wife ameninunia sababu ikiwa kwamba aliniomba pesa ya kusukia kama 20k hivi nikamwambia sina, nikamwambia yeye anakosaje hiyo elfu 20 wakati mahitaji yote ya nyumbani natoa mimi. Kanuna mpaka leo.
Nimeambatanisha ushahidi wa salary yake hapa.nishaurini, huyu mwanamke yuko sahihi kuniomba ela ya kusukia wakati kanizidi kipato karibia mara 4?View attachment 1691695
Sioi aseee Kama ndo kunyonyana mpk tukauke...single boy