Hivi ni sahihi kwa mke mwenye mshahara wa 'Six Figures' kumuomba mumewe elfu 20 ya kusukia?

Sidhani kama ni makosa,mke wangu ananizidi mshahara na mambo yote juu ya familia huwa tunashirikiana ila akitaka nguo,viatu nk lazima aniambie

Kuhusu pesa ndogo ndogo ya kusuka,mboga na chumvi nk huwa hanisumbui maana tuna biashara ambayo huwa inacover mambo kama haya

Kuhusu mkeo kukuomba pesa mvumilie ndo walivyo,ila ukitaka umiliki vizuri Huyo mkeo na hako ka mshahara kake nikushauri tu kuwa mwambie akakope ili mfungue biashara ambapo mambo madogo kama haya hatakusumbua tena,kwangu hili limefanya kazi na ndoa yangu ina afya tele.

Jitahidi sana kumkata hayo mapembe(pesa) yake hakika atakuheshimu Kupitia mikopo yenye tija
 
Sidhani kama ni makosa,mke wangu ananizidi mshahara na mambo yote juu ya familia huwa tunashirikiana ila akitaka nguo,viatu nk lazima aniambie

Kuhusu pesa ndogo ndogo ya kusuka,mboga na chumvi nk huwa hanisumbui maana tuna biashara ambayo huwa inacover mambo kama haya

Kuhusu mkeo kukuomba pesa mvumilie ndo walivyo,ila ukitaka umiliki vizuri Huyo mkeo na hako ka mshahara kake nikushauri tu kuwa mwambie akakope ili mfungue biashara ambapo mambo madogo kama haya hatakusumbua tena,kwangu hili limefanya kazi na ndoa yangu ina afya tele.

Jitahidi sana kumkata hayo mapembe(pesa) yake hakika atakuheshimu Kupitia mikopo yenye tija
Sawa mkuu
 
Ukioa mke mwenye kipato, na ili uishi kwa amani bila 'stress' fanya kama vile umeoa mama wa nyumbani ambaye haingizi kipato. Usipigie hesabu kipato chake kabisa. Ikitokea ameamua kipato chake kimechangia kwenye matumizi yenu, unasema hewala.
Kumbuka wewe ndiye kichwa cha familia.
 
Kama Mwanaume kwenye nyumba akiwa na 500,000 ,mwanamke 1,000,000,basi kipato cha hiyo nyumba jumla yake ni 500,000.

Hesabu hizi wana elewaga wanaume tu,wavulana hawezi elewa.

Kijana hela ya mwanamke chungu,husiipigie kabisa hesabu ktk kujenga familia,labda mwanamke atake mwenyewe.
 
Back
Top Bottom