Wife kanikataa kisa nimenyoa upara

Wife kanikataa kisa nimenyoa upara

Ilikuwa siku ya jana aliponionya kuwa nisinyoe upara ila mimi namind leo nimenyoa na ameniambia hanipendi wala hatafanya mapenzi mpaka nywele ziote, hivi kweli huyu denti ana akili? Na ananpenda? Au nimpe kibuti? Wakuu tiririkeni ili nimpe talaka!

Kumbe wife wako denti. Ndio matatizo ya vitoto vya shule ndugu kakikua kataacha. Ila kaelimishe tu kuwa kwenye zile kung fu za kiutu uzima kichwa cha muhimu zaidi ni kile cha chini na kinapoamka hiki cha juu huwa kipokipo tu mpaka mchezo uishe.
 
Anaogopa sifa za watu wanaopenda kunyoa vipara na kidevuni kuacha kijembe.
 
Bila shaka unahamu ya kwenda Segerea kula ugali kwa maharage. Bila shaka JK amesikia ombi lako.
 
Sababu za kunyoa kipara ni zipi?? na kwa nini ulishindwa kuacha nywele japo kidogo maana kuna uwezekano kichwa chako ni kama tofali la kwenye kona ndio maana mchumba wako akakushauri usitoe nywele zote maana utachekesha walionuna...

Hahahahahaha umenitoa mbavu heheheeee
 
Duh ...haya mengine unashindwa pakuanzia, huyu ni hawara yako unashindwa kuelewana nae , Je ukegewa mke waweza kuishi nae?
 
Ilikuwa siku ya jana aliponionya kuwa nisinyoe upara ila mimi namind leo nimenyoa na ameniambia hanipendi wala hatafanya mapenzi mpaka nywele ziote, hivi kweli huyu denti ana akili? Na ananpenda? Au nimpe kibuti? Wakuu tiririkeni ili nimpe talaka!

mara wife, mara denti

naona mnfanana akili tu
 
Ilikuwa siku ya jana aliponionya kuwa nisinyoe upara ila mimi namind leo nimenyoa na ameniambia hanipendi wala hatafanya mapenzi mpaka nywele ziote, hivi kweli huyu denti ana akili? Na ananpenda? Au nimpe kibuti? Wakuu tiririkeni ili nimpe talaka!

Hayatuhusu. This is your private business. Kama huna cha kuandika nyamaza kimya.
 
mpaka serikali i renew matokeo yenu tatakuwa tumeona mengi
 
Umenyoa kipara au UME PIGWA KIPARA ?

mkuu hata mimi nilitaka kuuliza kama wewe,bila shaka huyu jamaa kaliwa SIFURI SABA MOJA TATU sasa mke wake amegundua inshu ndo maana amemkataa kuona sio rijali,we lijamaa acha hizo tabia za kugawa MIKUTU yako ovyo ovyo ona sasa mkeo amechukia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom