Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,971
- 54,097
Wife? Denti? Kibuti? Talaka?
tuamini kipi au tumshaurije huyu ndugu.
Wife? Denti? Kibuti? Talaka?
asikuletee za kuleta. Mwanaume upara bwana ufuge nywele umekuwa shoga? Hataki awafuate masharo.
Next time msikilize mpenzi wako.
Pakaza mavi ya kuku kichwani yanasaidia kuotesha nywele
next time msikilize mpenzi wako.
Pakaza mavi ya kuku kichwani yanasaidia kuotesha nywele
kama ni kweli hafai kuwa mke
wife mara dent yaaaani upo upo tuu!!! Umeona madhara ya kunyoa kipala!!!?
Ilikuwa siku ya jana aliponionya kuwa nisinyoe upara ila mimi namind leo nimenyoa na ameniambia hanipendi wala hatafanya mapenzi mpaka nywele ziote, hivi kweli huyu denti ana akili? Na ananpenda? Au nimpe kibuti? Wakuu tiririkeni ili nimpe talaka!
Kwani nani huyo
aliyekupiga kipara? Wakati unapigwa kipara huyo Denti aliona? Pole sana
mkuu mwambie hautarudia tena ni shetani tu alikupitia. (NANYIE WANAJF
WAAJABU KWELI, MWENZENU KATUMIA TAFSIDA KULETA HOJA YAKE HALAFU NYIE
MNAKUWA NA VICHWA VIGUMU KUMUELEWA, KAWAAMBIA WAMEMNYOA KIPARA SASA
HAMJAELEWA NINI HAPO?)
mie nakupa ushauri wa ubwete! Achana na huyo denti, tafuta wa size yako, anayeelewa majukum ya utu uzima!
Kwani nani huyo aliyekupiga kipara? Wakati unapigwa kipara huyo Denti aliona? Pole sana mkuu mwambie hautarudia tena ni shetani tu alikupitia. (NANYIE WANAJF WAAJABU KWELI, MWENZENU KATUMIA TAFSIDA KULETA HOJA YAKE HALAFU NYIE MNAKUWA NA VICHWA VIGUMU KUMUELEWA, KAWAAMBIA WAMEMNYOA KIPARA SASA HAMJAELEWA NINI HAPO?)
tuamini kipi au tumshaurije huyu ndugu.
Ilikuwa siku ya jana aliponionya kuwa nisinyoe upara ila mimi namind leo nimenyoa na ameniambia hanipendi wala hatafanya mapenzi mpaka nywele ziote, hivi kweli huyu denti ana akili? Na ananpenda? Au nimpe kibuti? Wakuu tiririkeni ili nimpe talaka!
Ilikuwa siku ya jana aliponionya kuwa nisinyoe upara ila mimi namind leo nimenyoa na ameniambia hanipendi wala hatafanya mapenzi mpaka nywele ziote, hivi kweli huyu denti ana akili? Na ananpenda? Au nimpe kibuti? Wakuu tiririkeni ili nimpe talaka!