kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Habari wakuu?
Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.
Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.
Last weekend nimemuaga wife kuwa nakwenda bar ya jirani hapo kucheck mechi ya Man. U, cha kushangaza wife akanijibu uwasalimie wahudumu (bar maids) wa hiyo bar.
Nimemtafakari sana kutaka kujua hilo jibu lake lilikuwa na ujumbe gani kwangu ila sijapata majibu.
Kwa wazoefu wa haya mambo, naomba mnisadie kufungua hii code.