wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Watanzania tukiamua jambo tunaweza.
Tumeifukuza corona kwa umoja wetu...kujifukiza, kula malimao, ndimu, tangawizi, vitunguu swaumu n.k
Sasa Simba na Namungo wameibeba Tanzania kimataifa.
Nia, ari na dhamira tukiwa navyo, hakika tunaweza ifanyia makubwa nchi yetu.
War in dar
Asante Haji Manara kwa kuwaunganisha watanzani iwe kwa lazima ama vinginevyo..
Tumeifukuza corona kwa umoja wetu...kujifukiza, kula malimao, ndimu, tangawizi, vitunguu swaumu n.k
Sasa Simba na Namungo wameibeba Tanzania kimataifa.
Nia, ari na dhamira tukiwa navyo, hakika tunaweza ifanyia makubwa nchi yetu.
War in dar
Asante Haji Manara kwa kuwaunganisha watanzani iwe kwa lazima ama vinginevyo..