Mwanaume mrefu raha yake akikuhug unajiskia km mtoto uwii i love hugs,
Na mkiwa mnatembea wote njiani hivii
Generally t feels safe kuwa naye
Duuuh kumbe huna neema!!! Basi pole sana, hahahaaaaa tatizo ile milima, ungerefukia wapi sasa.
Hii ni lugha ya wapi maana lugha ya taifa ni kiswahili
rafiki yangu Hasheem Thabit anakuja bongo,nitakuhookup na yeye kama uko interested
basi usijari..subiri mfungo uishe
hahah!! kwan we haufungi?..nwei nimekupa muda ili kama kuna umuhimu wa kuaga uage mapema kabisaDuuuh i wish huu mfungo ungeanza last month, ila ngoja niwe mvumilivu, mambo mazuri hayataki haraka
Sasa wafupi waende wapi
hahah!! kwan we haufungi?..nwei nimekupa muda ili kama kuna umuhimu wa kuaga uage mapema kabisa
Sio tu mwanaume mrefu, awe mrefu kunizidi mimi lol. Manake kuna watoto wa kike ni warefu hataree so kupata men wakuwazidi ni shughuli. Ila zote hizi ni fantasy tu, utashangaa unakuja kuolewa na mwanaume mfupi
Sio tu mwanaume mrefu, awe mrefu kunizidi mimi lol. Manake kuna watoto wa kike ni warefu hataree so kupata men wakuwazidi ni shughuli. Ila zote hizi ni fantasy tu, utashangaa unakuja kuolewa na mwanaume mfupi
hii ndo raha ya kuongoea na watu wazima..mnaongea lugha moja mnaelewanaπ)..basi ngoja tuanze kuhesabu sikuNa uzee huu namuaga nabi sasa? Natoa taarifa tu, mie sifungi labda nikusaidie wewe sasaππ
Sio tu mwanaume mrefu, awe mrefu kunizidi mimi lol. Manake kuna watoto wa kike ni warefu hataree so kupata men wakuwazidi ni shughuli. Ila zote hizi ni fantasy tu, utashangaa unakuja kuolewa na mwanaume mfupi