NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,267
Mi nampenda Heaven on Earth, kwa nini mtu asema mapenzi ya kweli hayapo
Mi nampenda Heaven on Earth, kwa nini mtu asema mapenzi ya kweli hayapo
Sasa we mwenyewe msanii unategemea nini
Mbona watu wanaolewa kila siku?
Sio kweli mapenzi ya kweli yapo tu sema watu ndio wameamua kujitoa ufahamu
Thamani ya mapenzi imeshuka kama shilingi.
Mi napinga mkuu, yapo tu mapenzi yakweli na baadhi ya watu humu humu tu.
Mapenzi mbona yapo tu. Tatizo la baadhi wanalazimusha wasiko pendeka. Ushaona wapi ww mapenzi ya kuonga na kuongwa yakadumu?!![
Hiyo inazekana ikawa ni kweli! lakini unaona kabisa mtu ana shida na wewe una uwezo wa kumsaidia,
adapt kanuni zangu hutakuwa na muda wa kuwaza hayo kabisaaa na hutaumizwa kichwa na mtu
Nipende kama nilivyo blue ameshakwambia sasa ww unatanguliza pesa mbele unategemea nn
Mapenzi ya kweli yapo ila watu siku hizi wanaishi kwa mazoea, na kwa hiyo misemo ndo inafanya watu wanapoingia kwenye relationship wanakuwa na imani kwamba hakuna mapenzi ya kweli hata akipewa mapenzi ya kweli anajua anadaganywa tu.
Tamaa mbele mapenzi nyuma!!
Kwa msemo huo nimekupenda bureee,,,,,, maana umemaliza kila kitu!
unaweza ukadhani una mtu kumbe una lijiti ambalo ni lichumia janga la tumbo lake yeye na familia yake
Kabla hujaanza mistari mwambie unatafta kazi kisha uskizie majibu...Mwenye mapenzi ya kweli utamuona tuMkuu sikatai sana kuwa mapenzi ya kweli hayapo kabisa ila kujua sasa kuwa huyu ana mapenzi ya kweli ndio penye ugumu
Thats true! but why??????????????????
because some of us doesnt have a true love
Kabla hujaanza mistari mwambie unatafta kazi kisha uskizie majibu...Mwenye mapenzi ya kweli utamuona tu