Why this katika uhusiano?

Ni kweli wanaolewa lakini kati ya hao wanaoolewa wengi wao wanadhani wanapenda kumbe wanatamani na ndio maana rate ya ndoa zinazovunjika ni kubwa

Na zamani mambo ya ndoa kuvunjika yalikuwepo kama leo
 
Na zamani mambo ya ndoa kuvunjika yalikuwepo kama leo

Any way
acha zamani ibaki kuwa zamani but Mimi zamani niliiona kwa sababu ni wazamani na mapenzi yalikuwa ya kizamani na ya sasa nature inachukua mkondo wake
 
Any way
acha zamani ibaki kuwa zamani but Mimi zamani niliiona kwa sababu ni wazamani na mapenzi yalikuwa ya kizamani na ya sasa nature inachukua mkondo wake

Zamani yako miaka gani?
 
Nani kakuvuruga?

Ki ukweli nimevurugwa na nikavurugika,
Na tukizungumia habari ya relationship hii ni dunia nyingine kabisa inayojitegea ambapo unaweza kumpenda mtu ambae hakupendi na yeye anampenda mtu mwingine ambae hampendi yeye.
na wewe ukapendwa na mtu mwingine ambae humpendi .
.
 
Siku hizi wapendanao au wanandoa wanashindwa kuvumiliana. Unapoengelea zamani, wanandoa wengi walikuwa wanalazimika kuvumilia kwa sababu mbalimbali. Sababu kuu wanawake wengi walikuwa hawana uwezo kiuchumi. Kwa hiyo wengi wa wanawake walikuwa wakijiuliza nikiachika nitaenda wapi hapo ikapelekea wengi kuwatii wanaume zao na kuvumilia kwenye mapungufu.

Siku za leo wadada wengi wanaweza kuishi wenyewe kiuchumi kwa hiyo inapotokea hitilafu kwenye mahusiano inakuwa ngumu sana kutii na kuvumilia
 
Kauli za wasiokuwa na wapenzi utaziona tu...kila mtu anajfanya mjuaji mara huyu anasema ufuate kanuni wakat yeye hana mtu...subiri wakat ukifika utampata wa kweli
 
Ki ukweli nimevurugwa na nikavurugika,
Na tukizungumia habari ya relationship hii ni dunia nyingine kabisa inayojitegea ambapo unaweza kumpenda mtu ambae hakupendi na yeye anampenda mtu mwingine ambae hampendi yeye.
na wewe ukapendwa na mtu mwingine ambae humpendi .
.
Ni kweli maneno yako
 
Siku hizi wapendanao au wanandoa wanashindwa kuvumiliana. Unapoengelea zamani, wanandoa wengi walikuwa wanalazimika kuvumilia kwa sababu mbalimbali. Sababu kuu wanawake wengi walikuwa hawana uwezo kiuchumi. Kwa hiyo wengi wa wanawake walikuwa wakijiuliza nikiachika nitaenda wapi hapo ikapelekea wengi kuwatii wanaume zao na kuvumilia kwenye mapungufu.

Siku za leo wadada wengi wanaweza kuishi wenyewe kiuchumi kwa hiyo inapotokea hitilafu kwenye mahusiano inakuwa ngumu sana kutii na kuvumilia

ni jinsi mtu alivyolelewa tu malezi kutoka kwa wazazi wala sio suala la financial independence
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom