AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Pamoja....kama umenipata m glad ila ndo uache kumchokoa shem hapo kila kukicha gubu kama mke mwenza hiyo mambo inatubuoa wanaume wengi sana (as per discussion na wadau) so unam-expose kwa vishawishi.......na kama ni hlka yake basi ndo umempa schengen visa
I am so lucky Olesaidimu katika hilo... To the extent am confident enough to say kuwa daima sinaga gubu. Na mimi katika mapenzi na mahusiano yake, naamini sana kuwa it is the one entity ambayo mtu anatakiwa kuwa na amani sana. Kuwa haijalishi nipo ni what situation or mood mpenzi wangu ndio mtu ambae naweza rely on katika kuweza nifanya nina amani na furaha. Hio amani yangu inanifanya niweze jitahidi kufanya mpenzi wangu pia anajisikia hivo kila mara awapo na mimi... Ni wanadamu kukwazana kupo, but we learn and become stronger from that.
Hivo kama akitoka akawa na mwanamke mwingine hatikuwa sababu ya gubu langu, hatakuwa sababu simjali, haitakuwa sababu simpikii chakula kizuri, haitakuwa sababu simpendi, wala haitakuwa sababu am not cooperative in sex... Itakuwa sababu kuna manamke mwengine huko kamuona na kamtamani na anataka ampate for whatever personal driven reason.