Why many Tanzanians don’t support their President

Why many Tanzanians don’t support their President

Jamii forums ina downloads zaidi ya million. Bado mutandao mingine ya kijamii.
Acha kujidanganya jf members na visitors kwa ujumla hawafiki hata elfu 7

Wakati YouTube video zinazotrend 20 kati yake 12 zinamuhusu Magu na zina viewers millions huku comments 95% ni positive, jf is overrated
 
Acha kujidanganya jf members na visitors kwa ujumla hawafiki hata elfu 7

Wakati YouTube video zinazotrend 20 kati yake 12 zinamuhusu Magu na zina viewers millions huku comments 95% ni positive, jf is overrated
Kurasa za jf za social media zina wafuasi zaidi ya watu mil 4
 
Hii siyo kweli. Mimi simchukii - sijawahi kufanya ufisadi, sijawahi kuona hata bangi tokea nizaliwe na sijawahi kufanya kazi serikalini au kuwa na vyeti feki. Simchukii ila simkubali 100%.

Kuna mambo mengi mazuri ambayo nayapenda sana mfano:

1. Digitization ya TRA, BRELA, TPA, Immigration etc. Amefanya vizuri sana.

2. Kupunguza utegemezi wa misaada kutoka nje. Hii itatusaidia kusimama wenyewe.

3. Kuongeza ufanisi wa kazi katika ofisi za serikali.

4. Miradi mingi ya maendeleo.

Na mengi tu mengine.

Mambo ya kuwaua wapinzani hapana. Sisi sote watanzania.
Collective responsibility......Hivi kila kitu kizuri TZ anafanya rais? Je na vibaya pia anafanya yeye? Navyojua rais anateua wasaidizi wa kumsaidia baadhi ya majukumu..
 
Yoh said sure
I will not indulge in all u said here, but on one thing you are totally wrong.

The Ruling Party is still the most popular party in the country, please lets not hide our heads in the sand.

The Opposition needs to do alot to dislodge CCM from power.
 
Nilisema watu wote Lumumba ni darasa la saba waliofeli au products za shule za sekondari za KATA, elimu bure. Angalia sentensi yako, hata aibu huna! Lione hiloooooooooooo. Broken English!
How did you counted them?
 
Mimi ndio maana nimeamua wacha nimsaport tu nitafanyaje? hata kama hautampenda he still our President!

Mambo ya kujipa Presha ya nini tutulie amalize muda wake ataondoka kwa amani.

Pale anapokosea tumkosoe, tumpe ushauri maisha yaendelee.

Mihemuko haitatusaidia wote mnajua tulivyo na katiba mbovu.
Acha kutafuta sifa zakijinga Nakama hujuwi , nakuju nimefanya uchunguzi pale kariakoo watu nikam wanasubiri siku Rais awaite wawaumbue mnaosema anachukiwa shuhud za watu nizakutisha sasa ukiniambia Rais anachukiwa naweza Sema wewe na familia yako ndio mnachuk Wala sio Watanzania. Aibu Aibu yako
 
Members of this forum,

Here are a few reasons why an overwhelming majority of people in Tanzania don’t support their President:

1. He has demonized the opposition in Tanzania by labeling them as enemies of his establishment and development. Truth is, the opposition can not touch his establishment or stop him from doing what he wants. They don’t hold majority in the Parliament nor any position in government.

2. He is sadistic and relishes on the suffering and pain of others. Remember he went quiet when devastating earthquakes hit Bukoba and when he spoke, he said in public that the people of that region somewhat caused the earthquakes. A true leader would comfort his people in suffering.

3. He prefers to keep the country in the dark on matters that would not score him political points, and blow his trumpet on matters that would give him cheap votes or make the opposition look bad. Consider the seizure of the Bombadier back in 2017. The country discovered this through the opposition. Why wouldn’t he issue a press statement saying the Bombadier was seized and the government is working hard to get it released?

4. He’s not clean himself and yet pretends to be squeaky clean. He sold off government owned houses for cheap. He bought a used ferry which ended up not working and later transferred it to the army. He has frustrated the CAG by drawing funds from the National Treasury to the State House and Intelligence Services to avoid scrutiny.

5. He believes that his own view of what is good and should be prioritized by the country is absolute, perfect and should not be questioned by anyone in the country. This has led to many pet projects, silly blunders, decisions that don’t make sense and destroying people’s lives for no good reason.

6. He treats his wife with contempt and in public. It is utterly disgusting to see the way he speaks to his wife and the kind of statements he makes with his wife around. He recently joked about dancing with the PM’s wife but couldn’t because the PM was known to be jealous. What kind of leader does this? These things should be left to the low lives.

7. He holds grudges deep in his heart, cannot let go and therefore does not have true friends. We’ve seen what he did to Yusuf Manji, Mohamed Dewji and others. He claims to have ‘forgiven’ Nape and yet mentions the issue over and over again.

8. He openly spies on his ministers and other appointees. He also spies on members of his own party! No true man spies on his fellow man unless there is something wrong with his head. He never condemned the release of recorded conversations from Nape, Makamba, Membe etc. By accepting apologies from these individuals, he has openly condoned spying in the country. It’s pathetic.

9. He is a hypocrite. For his 20 years plus as Parliamentarian and Minister and other top positions in government, he has never walked out due to corruption in the country. He has never never said a word against his party or government or leaders for not doing enough to weed out corruption. All of a sudden he wants us to think he is anti-corruption. Pure bollocks.

10. The numbers don’t lie. Tanzanians are poorer than they were in 2015. Look at official NBS data.

There’s a lot more. But these should suffice for now.

The President knows that no one supports him and his party. That’s why he used heavy police during the interim elections and will do the same in 2020. He believes he is the best president Tanzania ever had, why not have a fully independent NEC and a fair open ballot as a litmus test for his support? If that is true, wouldn’t millions of Tanzanians vote for him? He is scared of the electorate.

Good evening.

Acha kujimwambafai,wengi wanampenda ambao hawapo jamii forum wala hawajui jamii forum ni mdudu gani!fanya utafiti uje na takwimu kwenye vyombo vinavyosomwa na kusikilizwa na watu wengi!gademit
 
Kurasa za jf za social media zina wafuasi zaidi ya watu mil 4


Hii video imepandishwa YouTube week lakini ina views 845,000 comments 95% positive, sasa kitu kama hiki unakilinganishaje na jf?

JF ilikua ni zamani kabla social media hazijaja lakini saivi jf haina ushawishi wowote, imefulia
 
Hapa mkuu umeongea ukweli kabisa.Hata hao wanaokupinga ndani ya mioyo yao wanajua huku ndio ukweli!
 
Kule twiter wakati Diamond anawafuasi 726 k but..Magufuli ana 639 k.Yaani Magufuli anazidiwa hadi na Kikwete ambaye amestafu mwenye 1.2 m followers..praise team mfikishieni salam zake
 
Mimi namkubali Rais Magufuli.
Unadanganywa na idadi ndogo iliyomtandaoni hapa. Mamia kwa maelfu ya wananchi wanamkubali na kumuunga mkono Rais.

Hapa JF kuna jumla ya watu wasiofika takribani laki 6. Hata hivyo bado kuna tunaomsapoti Rais. Kwa hiyo wasiomsapoti ni 1 tu ambaye ni wewe. Bahati mbaya na wewe haupigagi hata kura ndugu yangu.

Hao wengi wanaomsupport hawajui kutumia mitandao? Apige kura kwani jiwe anaheshimu box la kura?
 
Unafahamu namna ambavyo tafiti huwa zinapikwa?

Matokeo mengi ya rafiti za mashirika binafsi hupikwa na taasisi inayofanya utafiti. Lengo kuu ni kuleta athari fulani kwa jamii na uelekeo fulani ili kufanikisha malengo ya taasisi husika na mabeberu(wafadhili wake). Lobbying!

Twaweza wanafadhiliwa, hivyo lazima walambe miguu ya mabeberu(wafadhili wao), ambao ni maadui wa dola ya Tanzania, ili kuwafurahisha.

Kwakuwa serikali inapika data, basi unadhani kila taasisi inapika data? Endelea kuamini waliojiandikisha kwenye uchaguzi serikali za mitaa ni 19m ndani ya siku kumi na hakukuwa na misururu vituoni.
 
Back
Top Bottom