Why ladies mnapata shida sana kuishi single without relation?

@Thread starter, ukiwaona wamekasirika ujuwe kuna ka ukweli flani.
 
Ukiwa na mwanaume ndo unakuwa na furaha
mwanaume ni ezyme/catalyst /hormone ya furaha?
If yes toa vivid example
otherwise huu ni upuuzi mtupu kwangu
furaha ya mtu ni mtu mwenyewe
wangapi wapo kwenye mahusiano ila wapo kama kuzimu?
Kwa heri
umeniondolea na furaha yangu bila sababu

hujaumbwa kuwa MPWEKE..usiikane asili!!
 
@Thread starter, ukiwaona wamekasirika ujuwe kuna ka ukweli flani.

Co kwamba tumekasirika walan ini... suala ni kwamba kamuona huyo mdada m1 tu afu ana-generalize wadada wote. c tunamwambia ukweli kwamba furaha ya mwanamke co kuwa katika uhusiano kwani mahusiano ya watu wengine huwa wapo kama hawapo wengine wanashindwa kabisaaa kutoka mpk unamuuliza hivi wewe mbona unamng'ang'ania huyo wakati anakucheat/ akaupiga/anakudharau but wamo tu co kwamba wanafuraha wala nini........ mf. katka fb wengi unakuta wameendika kwenye r/ship status zao - complicated.. we unahisi ni kwanini. ni kwa sababu wapo katika mahusiano ila hawajielewi wanasonga mbele au wanarudi nyuma... hope umenipata mkuu!!!!!
 
wakina mama mbona mnajibu kwa hasira sana hii ni mada tu jamani toeni mawazo hatugombani hapa!
 
Mwanaume hawezi kuchanganyikiwa kuwa single kwa sababu ni maamuzi, ameamua mwenyewe.

Ila kwa mwanamke katika hali ya kawaida ni lazima asubiri wa kumtamkia kuwa anataka kuishi nae milele (kuoa) sasa kama hatokei na yeye anataka iwe hivyo lazima achanganyikiwe. Hiyo ni dunia nzima hakuna mwanamke anaye propose ,labda kutakana tu kwa kawaida kwa ku past time.

Sasa kama nataka kuolewa na wa kutangaza nia simuoni lazima nichanganyikiwe.

wakina mama mbona mnajibu kwa hasira sana hii ni mada tu jamani toeni mawazo hatugombani hapa!
 
Wanaosumbuka hasa ni wale ambao walikuwa ndani ya mahusiano wakayafurahia the yakavunjika, hawa huwa wanakuwa na wakati mgumu kuwa peke yao
=napita=
 
Napita msinipige na hayo maweee, lol.
Ebwana sikunyingine angalia unapopita humu usikanyage nyanya za watu, watakuuwa. Umepiga pabaya.

Kunawachangiaji kama wawili hivi imewagusa ile personal majibu yao nimajibu kwa upande mwingine pia.
lalakucheni.
 
aaaah wap ni huyo huyo.wengine masingo huu mwaka wa tatu na maisha kama kawa yanasonga:glasses-nerdy:
 
Hakuna aliyekamilika peke yake,kila mtu anahijtaji mwenzi wake. Kila anayekosa mwenzi lazima awe frustrated tu though we differ on how we express our frustrations
 
huyo mwanamke uliyemuona ni mmoja so hajumuishi wote.... then i think sio mzima itabidi umpeleke mental hosp.
 
Mimi naona kama hajiamini at 27yrs analialia kwa kukosa bwana, tumeona wangapi wanazeeka but still wako happy and live their life. Watu wa aina hii huwa wenzao wakiolewa wanaweza hata kukata mawasiliano au kufa kwa donge!
 
Huyo mdada anatamani sana kuolewa na ameiweka sana akilini mwake ndio maana unamwona katika hali hiyo...ila hicho sio kipimo cha kuthibitisha kuwa wadada hatuwezi kukaa single .

mwanamke alitoka ubavuni kwa mwanaume yaani bila mwanaume mwanamke asingeubwa ila mwanaume aliubwa for God image.mwanamke anaestahl kuolewa akifiksha uwo muda kama anajitambua na ajaolewa lazma itamsumbua akilini.kama Mungu angetaka uwe single angekuumba mwanaume ila kama umeubwa mwanamke kuolewa ni lazma na kuzaa.si unakufa na sir name uliyozaliwa nayo agrrrrrrhh
 
Huu mwaka wa sita sasa, maisha mwemwele mwemwele.......hata mpango wa boyfriend sina kabisa!!

bora ungezaliwa men ! Ila wanawake wanaokuwa single adi katika utu uzma wao wanaroho mbaya,ki buri,jeuri ,dharau,wabish, majivuno na hasira .
 
Ukiwa na mwanaume ndo unakuwa na furaha
mwanaume ni ezyme/catalyst /hormone ya furaha?
If yes toa vivid example
otherwise huu ni upuuzi mtupu kwangu
furaha ya mtu ni mtu mwenyewe
wangapi wapo kwenye mahusiano ila wapo kama kuzimu?
Kwa heri
umeniondolea na furaha yangu bila sababu

Mwanaume 'aliyekuharibu' wewe na ashindwe milele!
 
bora ungezaliwa men ! Ila wanawake wanaokuwa single adi katika utu uzma wao wanaroho mbaya,ki buri,jeuri ,dharau,wabish, majivuno na hasira .

Mkuu kasheshe ni pale sasa anapokuwa ndo Boss hapo ofisini............haki ya Mungu vidume mtajuta kwa nini hakuolewa huyu!
 
Mimi naona kama hajiamini at 27yrs analialia kwa kukosa bwana, tumeona wangapi wanazeeka but still wako happy and live their life. Watu wa aina hii huwa wenzao wakiolewa wanaweza hata kukata mawasiliano au kufa kwa donge!

Kutojiamini kunaendana na kutendwa kulikopitiliza. Kuna vidume anamvuruga mwanamke hadi ile kitu haitamaniki kabisa halafu huyooooooooooo anachapa zake lapa. Sasa mdada ikishamtokea hvi mara 3 au zaidi unadhani atatamani tena mwanaume hapo. Na hayo machozi unayoyaona akiyatoa ni machungu tu ya hofu aliyonayo juu ya wanaume.
 
Heshima kwenu brothers and sisters,

Why ladies mnapata shida sana kuishi single without relation kwa muda mrefu? I have a workmate and friend of mine ambaye inshort ni mzuri, but huyu sister ananishangaza sana as kuishi bila relation kunamchanganya sana while she is just 27, yaani kuwa lonely kunamnyima raha kiasi hata sometime unakuta analia on her table ukimuuliza hana majibu ya kutosha, hivi hii inakuaje as she has everything tunazo wish kuwa nazo, as good first job with a nice salary to her, nice car, and so on.

But kuwait for a right person kunamchanganya sana na hasa her friends wanavyoolewa daily, nimeisema hii has imenigusa sana j mos tulikuwa kwenye harus ya friend ghafla akaanza kutoa machoz na kutaka kuondoka bila sabab za msingi hadi mama mmoja akamtoa nje kumliwaza, hii inakuaje wadada mnisaidie, mbona guys wengi tu naowajua hawapo kwenye relations but wana furaha and they have fun a lot but ladies inakuaje?

Umenikumbusha mishemishe za kina dada wanapokaribia kumaliza maisha ya chuo kikuu, huwa wanakaba hadi kivuli aiseeeeee!
 
Back
Top Bottom