rockstar hawana loloteHapa ni suala la management, angekuwa na management kama Rockstar ya Ali kiba angekuwa mbali sana
una akili sana mkuuSina jibu la hilo swali, lakini ninachojua wimbo wa darassa ni mkali saaaana kuliko wimbo wowote ule uliotoka ndani ya hii miezi mitatu ya mwisho wa mwaka.
Very trueWakuu achaneni na kelele za mitandaoni, siku hizi muziki uko wazi kwa kila mtu kujua nani ni nani na kipi ni kipi, MUZIKI NI PESA,KWAHIYO ANAYEPIGA PESA NYINGI NDIO MWENYE MUZIKI MZURI,Kanuni hii hapa ukibisha lete hoja zako. Kama muziki wako mzuri >>>> utakuwa na mashabiki wengi >>>>utauza sana na utapiga shoo nyingi >>>> ACCOUNT YAKO ITAJAA MIHELA,SIO UNAAMBULIA VITUKO VYA MADEREVA WA DALADALA WALIOPIGA VIROBA AMBAO HATA MKITO.COM HAWAIJUI WAKANUNUE KAZI YAKO. ( KUMBUKA, MSANII WIMBO MZURI KWAKE NI ULE ALIOINGIZA MIHELA,HIZO NYINGINE KELELE. )
Ha ha ha ha......[HASHTAG]#its[/HASHTAG] all about fan baseWananunua views( in Ommy Dimpoz voice)
Umemaliza kila kituu. Nyingine ni story tuuWakuu achaneni na kelele za mitandaoni, siku hizi muziki uko wazi kwa kila mtu kujua nani ni nani na kipi ni kipi, MUZIKI NI PESA,KWAHIYO ANAYEPIGA PESA NYINGI NDIO MWENYE MUZIKI MZURI,Kanuni hii hapa ukibisha lete hoja zako. Kama muziki wako mzuri >>>> utakuwa na mashabiki wengi >>>>utauza sana na utapiga shoo nyingi >>>> ACCOUNT YAKO ITAJAA MIHELA,SIO UNAAMBULIA VITUKO VYA MADEREVA WA DALADALA WALIOPIGA VIROBA AMBAO HATA MKITO.COM HAWAIJUI WAKANUNUE KAZI YAKO. ( KUMBUKA, MSANII WIMBO MZURI KWAKE NI ULE ALIOINGIZA MIHELA,HIZO NYINGINE KELELE. )
NA WENGINE WAKANUNUE AU PESA HAWAWananunua views( in Ommy Dimpoz voice)
hao rockstar wamemfikisha wapi kiba? wanamuacha jide anaranda randa tu km omba omba sasa hivi...Hapa ni suala la management, angekuwa na management kama Rockstar ya Ali kiba angekuwa mbali sana
Mbali yaan Mbugani au.?Hapa ni suala la management, angekuwa na management kama Rockstar ya Ali kiba angekuwa mbali sana
Huyo tunamjua ni mtaalam wa kununua viewer,full stopHahahahahahahahaha jamani najaribu kufwatilia kwa mbali na kwa karibu hizi hit track mbili yani kokoro ya mavoko na muziki ya darasa, sasa kuna kitu kinanishangaza kokoro imetumia siku 10 kufika 1 milioni view wakati mpaka sasa muziki ina siku 15 lakini haijafikisha 1 milioni view.
Pia hizi nyimbo zinapisha siku moja kutoka yani moja ilitoka tarehe 22 nov na ingine tarehe 23.
Uchawi upo jamani, nyimbo ya Darasa imekuwa namba moja katika trending music tz you tube zaidi ya wiki moja, lakini kokoro hata top teni ya trend haipo lakini inamkimbiza view muziki wa darasa,
jibu ni moja tu nyimbo ya mavoko inaangaliwa sana na sehemu mbalimbali duniani ila nyimbo ya mziki inaangaliwa sana tanzania, so kiufupi watanzania wengi wanaiangalia sana muziki ya darasa kuliko wanavoiangalia kokoro ya mavoko conversely Dunia inaiangalia sana kokoro kuliko inavoiangali muziki ya darasa.
All in all , Hizi track zote ni kali, japo moja ndo imeingiza pesa nyingi kuliko ingine yani kokoro imeuza sana.
Nataka maoni ya watu kwanini nyimbo inatrend lakini inashindwa kuipita view nyimbo ambayo haitrend. Au you tube wanaupendeleo, kwani you tube ni ya clouds, jamani tuchangangie maoni, mimi ni Team Tanzania