Thread hii nilikuwa nasoma title yake tu, nikawa naipita tu nikiamini kabisa kwamba hakuna haja ya kuisoma,kwasababu hata title yenyewe inaonyesha ignorance ya hali ya juu ya mwandishi.Leo nikaamua kuifungua, kumbe kweli ina ujinga mwingi.Mwandishi ana lack evidence of what he is talking about.In the scientific world we say no research,no right to speak.Lakini naomba nimalizie kwa kumjibu mwandishi wa thread hii kwamba,kitendo cha mtu mzima kufanya kitu chochote kisicho na faida yeyote katika maisha yake binafsi au hata familia yake ni kitendo cha kijinga,na ambacho kinaonyesha lack of good decesion making and common sense.Remember putting your mind often in a state of drunkenness makes you degenerate.Sasa wapi akili hapo.Acha mipombe hiyo.
Why intelligent people drink alcohol and non intelligent less alcohol