Why intelligent people drink alcohol?

Why intelligent people drink alcohol?

Kweli wafuasi wa ibilisi wanajua kufarijiana.
 
Hivi haiwezekani mtu kuishia darasa la saba au akawa hajaenda shule kabisa na akawa intelligent? Nadhani tumekalili kuwa watu intelligent ni madokta tu

Steve Job ,Bill gates,zucker(Facebook),Oprah (alienda college 6 yrs a go )
 
Mimi sibishi wala kukubaliana na maoni yenu kwa sababu hakuna hata mmoja ambaye ametoa maoni ya kisayansi,ila naomba anaefahamu kama kuna utafiti wa kisayansi unaoonesha kwamba mtoto akitumia dawa(medicine) sana kuna uwezekano mkubwa sana kwamba ukubwani atakua mlevi anijuze.
 
wahandisi, madakitari, wanasheria na wengineo wenye majukumu mazito, yenye kuchanganya akili na kuzishughurisha zaidi nazaid

hujikuta kutafuta njia mbadala ya haraka na rahisi kujiliwaza na kurelax akili zao wakiamini kuregain na pengine kupunguza au

kuondoa frustration zinazosababishwa na mazingira ya kazi.
 
kijijini kwetu kwa kigezo cha kunywa pombe nakadilia zaidi ya nusu ni intelligents. Hata Tz wengi ni intelligents maana kodi kubwa inatoka kwenye pombe ikimaanisha ni consumers wazuri. Mnasemaje wadau si inabidi tujisifu maana idadi ya baa inaongezeka?
 
Wanasema the more intelligent you are the more you consume alcohol .Doctors ,lawyers are the most alcoholic

Doctors na Lawyers wapi unawazungumzia? Wale wa miaka ile ambao bila one kali hujaenda kusomea medicine au sheria. Au hawa wa siku hizi wa kata?
 
Wewe shaba ninanfahamu sana ndio ni Mlevi na hajawahi hata siku moja kuuza maiti na anawatoto wenye uwezo .uwe mwangalifu sitaki kukuambia ninaUhusiano nae gani ila ujue ninamjua mnooo.akifa Leo napanda ndege Kwenye mazishi yake .umeniuzi sana sana .usitaje jina la shaba hapa

Pole sana mkuu! Mimi binafsi miaka ya early 90s wakati nasukuma kitabu pale IFM, tulikuwa tunakunywa nae sana huyu Prof, mitaa ya gymkana, karibu na kituo kidogo cha polisi na hosptali ya wanyama, pale kwa rashidi, namiss sana story zake huyu mzee! Huko aliko I hope yuko poa.
 
kufamikiwa au kutofanikiwa ktk maisha hakutegemei elimu ya mtu bali inategemea mtu anavyoyashikilia malengo yk ktk maisha bila kuyumba. Elimu ni harakati ya uundaji sample space ambayo utachagua lengo moja wapo tokea humo na kuliandama. Aliyesoma anakuwa na uwanda mpana wa kuchagua lengo maishani na asiyesoma anao uchaguzi finyu sana ktk kuopoa target. Kwa bahati mbaya sana ujanja hauko ktk uwingi wa targets za kuchagua bali uko kwenye umahiri wa kuziandama bila kuyumba. Huwezi kulenga kuoa msichana A halafu bado ukawa unatembea na wasichana wengine halafu utegemee kufanikisha ulielenga kumuoa kwa kuwa unayumba kimalengo. Hiyo ndio sababu inayofanya wasioenda shule kuvuta mikwanja kirahisi mbele ya wasomi. Tembeleeni Home ambako msuala mengi ya prectical living yameelezewa pia ingia facebook ujiunge na group la BURDEN OF IGNORANCE
 
It doesnt apply to all people,some they are genious and doesnt consume alcohol at all.There are so many factors which can lead someone to be alcoholic, one of them being genetically inheritence...

Juzi nilikuwa nikiperuzi kwenye mtandao nikakuta wanasema mama mjamzito akitumia kilevi anashusha uwezo wa mtoto kiakili y. sasa najiuliza inakuwa mama mjamzito akitumia kilevi uwezo wa mtoto kiakili unashuka inakuwa watu wengi wenye akili ni watumiaji wazuri wa vilevi?
na je nini kinachoanza ni kuwa na akili ndiko kunapopelekea mtu kuwa mtumiaji mzuri wa kilevi au matumizi ya kilevi ndiyo yanayopelekea mtu kuwa na akili?
ninapozungumzia kilevi namaanisha alcohol.

pia kuna watumiaji wa sigara watu watu wenye akili wanaotumia sigara wengi wao wanadai inawasaidia kuweza kufikiria vizuri lakini pia nimeona makapache wengi tu vijiweni wanavuta sigara na wanakaa siku nzima wakifikira upuuzi tu
 
Hivi haiwezekani mtu kuishia darasa la saba au akawa hajaenda shule kabisa na akawa intelligent? Nadhani tumekalili kuwa watu intelligent ni madokta tu

Naamini mtu anaweza kuwa intelligent hata kama hajamaliza darasa la saba au hajasoma hata darasa la kwanza kwani kutokumaliza/kutokusoma kwake kunaweza kuwa ni kutokana na kukosa fursa. Naamini kuna watu wengi ni intelligent ingawa hawana hata degree au certificate. Maana yake kama wangepata nafasi na mazingira sahihi ya elimu wangekuwa madaktari na maprofesa wa fani mbalimbali.

Naamini sifa mojawapo ya mtu ambaye ni intelligent anapokutana na tatizo hasa ambalo ni sophisticated ana uwezo wa kulifanyia analysis na kuja na unique solution to the problem. Maana yake ni Problem Solver, hahitaji sana kufanya references au kumeza solutions za wengine. Mfano ni Albert Einstein ambaye akiwa mwanafunzi mara nyingi alikuwa akipata sifuri kwa sababu alikuwa na his own unique but true solutions to problems, bila kujua kama kulikuwa na approaches zingine zilizokuwa zikiexist kwa wakati huo. Kutokana na kitendo hicho walimu mara nyingi walimpa sifuri kwa sababu hawakumwelewa. Tatizo ilikuwa ni walimu waliomeza solutions za watu wengine, walikuwa wavivu kufikiria depending on the circumstances, hawakuwa problem solvers.

Bado namwuuliza jamaa na wachangiaji wengine wamemaanisha nini kusema mtu ni intelligent au sio intelligent?
 
Why intelligent people drink alcohol and non intelligent less alcohol

I have to test my IQ, I do drink a lot but i have never taken trouble to associate it with my IQ
 
Hapa naona ni issue ya nature ya kazi,inasababisha ujikute unapendelea kilevi.mfano dr,usifikiri ni jambo rahisi kuviondoa tu kichwani vitu anavokutana navo kazini,mara kukatakata watu(eg kwa wale wanao operate watu).ukumbuke na yeye ni binadamu.
Wanajeshi,nature ya iyo kazi ya kuandaliwa kuua binadamu kama yeye(ukatili) inakaribisha ulevi ili kujiconfort flani.
Kazi zinazotumia a lot of thinking na problem solving mfano mmojawapo lawyers,etc zinaweza kumletea ulevi.

Sjui kuhusiana na kuwa intelligent ila kwa habari ya nature ya kazi za watu na kuwasababisha kuwa walevi either kwa kujipongeza au out of stress naweza kuvioanisha.


Wanasema the more intelligent you are the more you consume alcohol .Doctors ,lawyers are the most alcoholic
 
Mimi sibishi wala kukubaliana na maoni yenu kwa sababu hakuna hata mmoja ambaye ametoa maoni ya kisayansi,ila naomba anaefahamu kama kuna utafiti wa kisayansi unaoonesha kwamba mtoto akitumia dawa(medicine) sana kuna uwezekano mkubwa sana kwamba ukubwani atakua mlevi anijuze.
kuna ambazo kwenye ubongo zinaathiri sehemu moja na pombe mojawapo ni valium. dawa hii ni ya usingizi lakini huwa wanapewa pia watu wanaopata madhara ya kuacha pombe. so inawezekana mtoto akitumia sana dawa kama hizi ubongo wake ukawa kama mtu anayekunywa pombe.
 
Back
Top Bottom