Hivi Ginyagi ilipoteleaga wapi?
Why intelligent people drink alcohol and non intelligent less alcohol
wanafrastration za maisha, wana hustle lakini hawatoki halafu unakuta wenye akili za wastani au za kawaida sana, anachekesha kidogo anakula ten m, unatoka na singo moja kesho unasukuma hammer
nani anamkumbuka prof shaba wa pale muhimbili? ndiye mgunduzi wa seli za ini zinazosababisha kansa ya ini, na prof wa postportam pale muhimbili. lakini alistaafu akiwa hana hata nyumba, na walipotaka kumtoa kwa nguvu akawagomea, mwisho wa siku akakutwa na skendo ya kuuza maiti kwa 2.5m daaaaaaaaaah it was so bad bana
Wewe shaba ninanfahamu sana ndio ni Mlevi na hajawahi hata siku moja kuuza maiti na anawatoto wenye uwezo .uwe mwangalifu sitaki kukuambia ninaUhusiano nae gani ila ujue ninamjua mnooo.akifa Leo napanda ndege Kwenye mazishi yake .umeniuzi sana sana .usitaje jina la shaba hapa
Mzee shaba tangia yupo 16 ni Mlevi sana .Ana akili mnoo,ila eti along'ang'ania nyumba ya serikali.shaba ananyumba mpaka chicago.na nyingine oysterbay ,msasani,watoto wake woteeeeee madaktari.hiyo Maiti walim set up.unajua shaba mtoto wa nani.unajua how much ame inherit from original shaba.usicheze na shabas kabisakuwa uliko na kupanda ndge kuja akifa hakufanyi alichokifanya kuwa fallasy: ni kweli shaba anawatoto 5 very bright na wote ni madaktari kama yeye na wana uraia wa marekani kwa hiyo ni wa marekani. hilo tu kwanza linawapunguzia credit na baba yao kwa kuukana utz wao kama wewe
anyway back to the point! umtete au usmtete, yule mzee ni frustrated na mlevi pia. tuulize tuliokuwa muhimbili miaka ya 2005 mpaka 10 tutakwambia vizuri skendo ya kuuza maiti. usitoke mapovu kisa ndg yako
hata kama ni chungu, lakini ndo fact
Aliekuambia mzee shaba raia wa USA ni nani.Humjui shaba kaa pembeni.mzee shaba kaka ake Austin shaba.Raia wa USA atakuaje naibu spikakuwa uliko na kupanda ndge kuja akifa hakufanyi alichokifanya kuwa fallasy: ni kweli shaba anawatoto 5 very bright na wote ni madaktari kama yeye na wana uraia wa marekani kwa hiyo ni wa marekani. hilo tu kwanza linawapunguzia credit na baba yao kwa kuukana utz wao kama wewe
anyway back to the point! umtete au usmtete, yule mzee ni frustrated na mlevi pia. tuulize tuliokuwa muhimbili miaka ya 2005 mpaka 10 tutakwambia vizuri skendo ya kuuza maiti. usitoke mapovu kisa ndg yako
hata kama ni chungu, lakini ndo fact
wanafrastration za maisha, wana hustle lakini hawatoki halafu unakuta wenye akili za wastani au za kawaida sana, anachekesha kidogo anakula ten m, unatoka na singo moja kesho unasukuma hammer
nani anamkumbuka prof shaba wa pale muhimbili? ndiye mgunduzi wa seli za ini zinazosababisha kansa ya ini, na prof wa postportam pale muhimbili. lakini alistaafu akiwa hana hata nyumba, na walipotaka kumtoa kwa nguvu akawagomea, mwisho wa siku akakutwa na skendo ya kuuza maiti kwa 2.5m daaaaaaaaaah it was so bad bana
Intelligent wewe unaelewaje? How do you measure intelligence? Kwamba mtu akiwa na Degree, Masters, PhD Ndio intelligent? Au akisoma fani fulani? Ningependa uniambie unamaanisha nini kusema intelligent! Kwa kifupi unatumia kigezo gani mpaka kufikia kusema huyu ni intelligent na huyu sio?
According to FCC intelligent people tend to drink more alcohol na wanachukua muda mrefu kulewa,wasiokuwa na akili glass moja ya wine tu wamelewa.chemical imbalance and DNA.watu wanaenda rehab wapi
Hivi kuukana uTz, Tanzania hii ya leo kunaweza kumpunguzia mtu credit? On the contrary, mimi naona hata aibu leo hii kuwa ni mtanzania.kuwa uliko na kupanda ndge kuja akifa hakufanyi alichokifanya kuwa fallasy: ni kweli shaba anawatoto 5 very bright na wote ni madaktari kama yeye na wana uraia wa marekani kwa hiyo ni wa marekani. hilo tu kwanza linawapunguzia credit na baba yao kwa kuukana utz wao kama wewe
anyway back to the point! umtete au usmtete, yule mzee ni frustrated na mlevi pia. tuulize tuliokuwa muhimbili miaka ya 2005 mpaka 10 tutakwambia vizuri skendo ya kuuza maiti. usitoke mapovu kisa ndg yako
hata kama ni chungu, lakini ndo fact