WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Bluray....
im out of hear maana mtanifanya nitetereshe imani yangu.
eh! Kwaheri!
im out of hear maana mtanifanya nitetereshe imani yangu.
eh! Kwaheri!
Food for thought.Kumbuka, just as the unexamined life is not worth living, the unexamined faith is not worth following.
Sasa unajadilia kitu bila ya ushaidi, itamsaidia nani? Yaani watu waweke post zisizo na ushaidi na tuendelee kujaliana kama mazuzu? It doesn't work to/for me.
If that is how you darwinians are, nakupeni pole sana. Hamna lolote mnalo juwa zaidi ya kufuata mkumbo.
Niliweka hii reply: Nayo inaoneka tatizo ni lilelile, collective knowledge.
Kama umemsoma Aristote katika Metaphysics (c 384-322B.C) ,
Aristote developed the idea of a creator of the cosmos, often referred to as the "Prime Mover"
Are you telling me that Aristote katika metaphysics was wrong and you are correct?
All you know is idea, ukiambiwa lete sasa ushaidi tuone, unakimbia, ooh Max una copy na Kupeste, ooh, Max hujuwi ulicho sema, ooh Max hizo mawazo zako ni dogmatic, etc etc etc,
If you think that you know what you know. Then forward to me tangible, airtight, references which are impecabble?
May be unatumia collective knowledge ndio maana huwezi kunijibu? I think my assumptions are correct.
I gave you a simple solution by asking you a question.
Just tell me, do you have tangible and verifiable references which are impeccables?
YES or NO?
Wewe umekuja na historia ya alfu lela ulela,
This is what I don't understand from you followers of dead darwin? Inaonekana darwin hakuacha information ya kutosha.
Bredrin, that is how they are. A mental slavery ting.
Big up man
Bredrin, that is how they are. A mental slavery ting.
Big up man
Mimi nadiscuss philosophy, huko kwenye udini sina access nako na wala sina haja ya kwenda.
Kama una data zilete hapa kwenye umati.
Mungu ni mwema sana anakupenda wewe na hata Bluray.Hawezi kukupa pigo..atakupa muda utubu umrudie.Hata Russell alipewa aishi miaka 98 ili ajirudi... sijui kama aliijirudi.Ila kabla yake walikufa wanawe na mkewe na ndugu wengine wa karibu tena vifo vyenye utata..yote haya nadhani yaliweza kumlegeza moyo wake mgumu.
look around tu,..utaona upendo wa Mungu.
Mimi nadiscuss philosophy, huko kwenye udini sina access nako na wala sina haja ya kwenda.
Kama una data zilete hapa kwenye umati.
huko ulipo kwa OBAMA.Wapi? Darfur?
huko ulipo kwa OBAMA.
Kumbuka, just as the unexamined life is not worth living, the unexamined faith is not worth following.
My bone of contention is that my free will cannot co exist with god's perfect knowledge.
If god has perfect knowledge then I cannot possibly have free will, because even before I make a left turn, he know that I will, and I cannot change that, so no free will.
On the other had, if I have perfect free will, the moment before I make up my mind to go either left or right, even god does not know where I will go. in this case I have perfect free will but god does not have perfect knowledge.A violation of a godly character.
How can you reconcile this conundrum?
Mungu yupo jamani!
Bogus, poor thinking and reasoning.
An artist knows the end of the picture even before he started drawing it. Reason yako ni ndogo sana pundit.