Nakutafunia . Kaa tayari. Ila usiniambie niku digestie pia, lol.
I believe kuna watu humu wako familiar na hii essay kabla ya kuwa posted hapa.
Don't depress me by saying nobody heard or had the pleasure of reading this essay before!
vijana wa zamani karibu wote walio kwenda shule walisoma vitabu vya huyu msomi. alianza kuandika 1903 "the principles of mathematcs" ambacho wengi wetu hatuwezi kukielewa. why i am not a xtian ni kitabu/waraka mojawapo wa russel ambao ulikua ni kwa ajili ya kila moja kuuelewa. vitabu kama the practice and theory of bolshevism (1920), introduction to mathematical philosophy (1919) au outline of philosophy (1927) pengine ni vigumu kidogo kwa mtu wa kawaida kuvielewa.
nakubaliana kuwa kuna wengi ambao wamesoma si why i am not a xtian tu bali vitabu/nyaraka zingine za mwan filosofa huyu
macinkus