I would say exactly the same thing that Russell said. Huwezi kuniambia eti wewe ni mungu mwenye uwezo wa yote, na kila kitu ninachokijua umenijuza wewe kwa namna moja au nyingine, halafu ukanipa ushahidi wote kwamba wewe haupo, halafu nikukute baada ya kufa, nitakusome bonge la lecture kuhusu morality, false misrepresentation, ikiwezekana mpaka nitakusomea mashtaka ya life insurance fraud for faking your own death.
Kwa nini ulinipa akili iliyoquestion kuwapo kwako kwanza? Na kwa nini kila nilipoangalia sikuona kama upo? Hata kama utanipeleka motoni nitakwambia mimi ndiye bigger person na wewe ni sadist uliyenionea tu kwa kuplay hide and seek ambayo hukunipa clue.
Halafu nitataka kuku sue kwa damages zangu na watu wote kama mimi.
I do suspect many people agree with my views but simply cannot find the courage to admit, even to themselves.I mean there is so much that does not make sense that it doesn't take a genius to figure out that there is something massively wrong with this picture.
How can a god, an omnipotent one that supposedly knows your life from end to finish even before you are born, and due to this infallible knowledge that fate is practically sealed (for any deviation would prove the godly vision wrong, and we know that god is supposedly infallible so this cannot happen) so this god pretty much pre-destine your whole life (tunaokoka kwa neema tu na si kwa jitihada zetu, walokole wanasema, pretty much mungu anachagua wateule wake na the rest shauri zenu) so how can this god throw me in hell? After all, my entire understanding of the universe is subject to him, so if I am not convinced of his presence he must be the one who cauised this.My free will is mutually exclusive to his perfect knowledge, if he knows everything then I dont have perfect freewill, if I have perfect free will then he does not know everything.
So how can this god give me responsibility for my "sins"? and at the same time maintain omniscience and omnipotence?