Why I am Not A Christian - Bertrand Russell

Why I am Not A Christian - Bertrand Russell

This is called "mental jujitsu"

Wewe umeleta argument yako kutoka kwa Plato, unamaanisha kwamba Plato unamuheshimu sana mpaka ukaamua kum quote umlete hapa atetetee argument yako, mimi ningeweza kukuletea kina Hawkins na Bohrs na watu wengi sana kui dispute point ya Plato, nikaona labda hutawaamini, ngoja nimtumie Plato wako mwenyewe kui defeat argument yako.

You gave a point of reference, presumably a reputable one to you, now I am using the same point of reference then you have the audacity to ask if my source is verifiable and impeccable.

Are you saying that you do bring unverifiable and less than impeccable references here? I did not bring the Plato quote, you did.

So if there is anybody to be questioned about it's authenticity and verifiability it should be you, not me.

Hii ndiyo inaitwa "kumfunga mtu kwa sheria yake mwenyewe". Wewe unaleta sheria bila kuijua, halafu mtu anaitumia kukufunga wewe mwenyewe, then unasema source yako iko wapi? Source umeileta mwenyewe hapa then unauliza source iko wapi.

That just goes to show how weak your argument, and possibly thought process, is.

You are tempting to believe that you are just putting togethere words and copy pasting without actually understanding.

Kuna kale kwa swali ka Aristote, vile vile,

In re of Plato haimaanishi kuwa namuamini, I believe in Jesus Christ, as you can read my name, I am A BONDSERVANT OF JESUS CHRIST, and am proud of it.

Sasa lete impeccable references kusaidia mada yako. Mimi nilifikiri sasa umekua kumbe bado upo pale pale the same PUNDIT!

Kaazi kweli kweli,

Sasa turudi kwenye mada, lete airtight references kusaidia mada yako.

Kutokana na majibu yako, inaoneka huna any reference ya maana. Labda ni kwasabau ya kutumia collective knowledge. Ooops
 
Kuna kale kwa swali ka Aristote, vile vile,

In re of Plato haimaanishi kuwa namuamini, I believe in Jesus Christ, as you can read my name, I am A BONDSERVANT OF JESUS CHRIST, and am proud of it.

Sasa lete impeccable references kusaidia mada yako. Mimi nilifikiri sasa umekua kumbe bado upo pale pale the same PUNDIT!

Kaazi kweli kweli,

Sasa turudi kwenye mada, lete airtight refences kusaidia mada yako.

Kama humuamini Plato kwa nini umemleta hapa kama quotable? Au humuamini tu baada ya kuwa debunked? Next time soma, elewa then ulete hapa, sio unaleta vitu vikionyeshwa kuwa vinaku defeat wewe mwenyewe unasema huviamini.

Mada yangu hiyo hapo juu, nimetoa kwa a well respected philosopher bertrand Russell, amejieleza vizuri, ni zamu yako wewe kum repudiate kwa data -kitu ambacho umejaribu kwa copy paste za Plato lakini umeshindwa-

Sasa unataka impeccable nini tena, njoo wewe uonyeshe flaws za arguments zangu tubadilishane mawazo, kama unaweza elevated discourse iliyo mbali na copy paste.
 
Kama humuamini Plato kwa nini umemleta hapa kama quotable? Au humuamini tu baada ya kuwa debunked? Next time soma, elewa then ulete hapa, sio unaleta vitu vikionyeshwa kuwa vinaku defeat wewe mwenyewe unasema huviamini.

Mada yangu hiyo hapo juu, nimetoa kwa a well respected philosopher bertrand Russell, amejieleza vizuri, ni zamu yako wewe kum repudiate kwa data -kitu ambacho umejaribu kwa copy paste za Plato lakini umeshindwa-

Sasa unataka impeccable nini tena, njoo wewe uonyeshe flaws za arguments zangu tubadilishane mawazo, kama unaweza elevated discourse iliyo mbali na copy paste.


Hahaha ahaha aa, unaanza kupindisha mada yako mwenye, kaazi kweli kweli,

Just tell me, do you have tangible and verifiable references which are impeccables?

YES or NO?

Hakuna haja ya wewe kuanza kupindisha mada yako mwenyewe uliyo ianzisha. Inatia aibu sana kujifananisha na vitu ambavyo huvijuwi.

 
Hahaha ahaha aa, unaanza kupindisha mada yako mwenye, kaazi kweli kweli,

Just tell me, do you have tangible and verifiable references which are impeccables?

YES or NO?

Hakuna haja ya wewe kuanza kupindisha mada yako mwenyewe uliyo ianzisha. Inatia aibu sana kujifananisha na vitu ambavyo huvijuwi.


The entire idea of "impeccable" is dogmatic.And because I am not dogmatic, I don't have impeccables, I have some tremendously enlightened sources, but they are never impeccable.Nothing in the universe is impeccable, believing in the impeccable is essentially believing in some godhead, the very thing I am disputing here.

My rational thinking emphasizes not suddenly finding the jackpot, but a gradual improvement in that direction. Asking "who/what" is impeccable to me is like asking what is pi or what is the square root of two, I can never give you the impeccable pi, or the impeccable square root of two because these are irrational numbers, and it gives countless figures, I can only improve my answer and accuracy to a degree that is suitable to me.Such is the nature of reality, or at least what our limited comprehension can allow. The difference between me and you is that you believe in the DAN Brown-like goose chase that religious fanaticism really is as a price to pay for this feel good therapy while on the other hand I am more comfortable with cold, if unpalatable, facts.

Halafu hao kina Aristotle na Plato unaowaleta hapa ndio hao walioifunga dunia katika giza kwa miaka 2500 kwa kutegemea kwao theory na rhetoric bila verification.Huyo Aristotle ndiye aliyesema vuitu vizito vinaanguka fater kuliko vitu vyepesi, mpaka Galileo alivyofanya experiment na kugundua kwamba si kweli.

Just because something is ancient it does not mean it is true, Ptolemy aliifanya dunia nzima iamini katika a geocentric model, mpaka Copernicus na Galileo walipokuja kuonyesha kwamba hii si kweli na actually the more correct model would be heliocentric.

Nimepindisha mada wapi? Can you be specific for a second? Kwa kuchekachekla huku na kutokuwa specific hivi watu wasipokuchukulia serious utashangaa?
 
I ready the essay from the link. the problem is what you stated, we are crafted by our ealier (childhood) experinces and teachings. Give the essays to children with somewhat open minded caretakers. It is too late for some of us to change our perceptions.
 
I ready the essay from the link. the problem is what you stated, we are crafted by our ealier (childhood) experinces and teachings. Give the essays to children with somewhat open minded caretakers. It is too late for some of us to change our perceptions.

Nilisema kuna watu openminded watakuja kushangaza stereotypes zetu za kuamini kwamba watu hawawezi kuelewa na ku appreciate this tremendous work.

You just proved them wrong.

Ahsante smalnama, nilikuwa naelezea kitu hiki hiki nafikiri jana kama si juzi.You hit it right on the nail.

Saa nyingine ni kweli "you can't teach an old dog new tricks".Watu wako too set in their ways na hata kama wanaona ukweli wanaukataa tu kwa sababu ya tradition na mazoea.
 
The entire idea of "impeccable" is dogmatic.And because I am not dogmatic, I don't have impeccables, I have some tremendously enlightened sources, but they are never impeccable.Nothing in the universe is impeccable, believing in the impeccable is essentially believing in some godhead, the very thing I am disputing here.

Halafu hao kina Aristotle na Plato unaowaleta hapa ndio hao walioifunga dunia katika giza kwa miaka 2500 kwa kutegemea kwao theory na rhetoric bila verification.Huyo Aristotle ndiye aliyesema vuitu vizito vinaanguka fater kuliko vitu vyepesi, mpaka Galileo alivyofanya experiment na kugundua kwamba si kweli.

Just because something is ancient it does not mean it is true, Ptolemy aliifanya dunia nzima iamini katika a geocentric model, mpaka Copernicus na Galileo walipokuja kuonyesha kwamba hii si kweli na actually the more correct model would be heliocentric.

Nimepindisha mada wapi? Can you be specific for a second? Kwa kuchekachekla huku na kutokuwa specific hivi watu wasipokuchukulia serious utashangaa?


All you know is idea, ukiambiwa lete sasa ushaidi tuone, unakimbia, ooh Max una copy na Kupeste, ooh, Max hujuwi ulicho sema, ooh Max hizo mawazo zako ni dogmatic, etc etc etc,

If you think that you know what you know. Then forward to me tangible, airtight, references which are impecabble?

May be unatumia collective knowledge ndio maana huwezi kunijibu? I think my assumptions are correct.

I gave you a simple solution by asking you a question.

Just tell me, do you have tangible and verifiable references which are impeccables?

YES or NO?

Wewe umekuja na historia ya alfu lela ulela,

This is what I don't understand from you followers of dead darwin? Inaonekana darwin hakuacha information ya kutosha.
 
Actualy I don't, where did I say that? there must be a comprehension issue somewhere. To the contrary, the theist seems to believe something closer to that than the non believer.

I will tell you why, the rational person/ non-believer is keen on understanding nature for it's sake, and is not lost on some dream of existence having a grander meaning that is presented naturally, hence no belief in god, supernatural powers, the afterlife etc.

The believer believes in the afterlife, life having a grander meaning that what meets the eye initially, god having a grand plan that will be realized in heaven and hell etc.

So you can see, the teheis is more likely to believe in "purposiveness" and direction than the non believer. A common mistake is the thinking that evolutionist believe evolution has a direction, big no, evolution mostly stumbles and natural selection improves things.This is why evolution is so slow.It is like we arrived here by stumbling along, that is why it took billion of years, and we did not even plan to get here, we got here by sheer chance. This is a hard fact to swallow for the human ego, but it is a scientifically established fact.

About that cheap shot on my being bogus, the only thing that is bogus is your attempt to repudiate "bogus assumptions" without properly exposing the weakness, hence exposing your weakness that you can't properly repudiate the supposedly "bogus assumptions"

Which assumptions are bogus? Why are they bogus? What assumptions that are valid are you using to show that the repudiated are indeed bogus and not merely purpoted to be so?

Nilisema



Na nikakataa dogmatic fanaticism.Tafadhali heshimu matakwa haya.

Niliweka hii reply: Nayo inaoneka tatizo ni lilelile, collective knowledge.

Kama umemsoma Aristote katika Metaphysics (c 384-322B.C) ,
Aristote developed the idea of a creator of the cosmos, often referred to as the "
Prime Mover"

Are you telling me that Aristote katika metaphysics was wrong and you are correct?
 

All you know is idea, ukiambiwa lete sasa ushaidi tuone, unakimbia, ooh Max una copy na Kupeste, ooh, Max hujuwi ulicho sema, ooh Max hizo mawazo zako ni dogmatic, etc etc etc,

If you think that you know what you know. Then forward to me tangible, airtight, references which are impecabble?

May be unatumia collective knowledge ndio maana huwezi kunijibu? I think my assumptions are correct.

I gave you a simple solution by asking you a question.

Just tell me, do you have tangible and verifiable references which are impeccables?

YES or NO?


Wewe umekuja historia ya alfu lela ulela,

This is what I don't understand from you followers of dead darwin? Inaonekana darwin hakuacha information ya kutosha.

Umeshajionyesha kwamba huwezi kujadiliana na watu wenye uwezo wa kuandika zaidi ya sentensi mbili. Mimi nimekupa a resounding NO lakini kama kawaida, kusoma tabu.

Ushazoea copy paste bila kusoma, ndiyo maana uannyongwa kwa kamba yako mwenyewe, unafungwa kwa sheria yako mwenyewe, halafu badala ya kunywea kwa haya unaendelea kujitutumua.

Nishakwambia siamini katika impeccables, au lugha ndiyo tatizo?

Wewe unataka impeccable sources gani? Unataka nikupe neno la mungu? Nishakwambia siamini katika mungu. Manyanga hayo hapo juu nishakuwekea bado uanweweseka.

Au kusoma issue na kuelewa?
 
Kama umemsoma Aristote katika Metaphysics (c 384-322B.C) ,
Aristote developed the idea of a creator of the cosmos, often referred to as the "Prime Mover"

Are you telling me that Aristote katika metaphysics was wrong and you are correct?

Max

Kama ungesoma hiyo essay ya Russell (I doubt that) na kuielewa (I highly doubt that) ungeona kamuua vibaya sana Aristotle na "Prime Mover" yake (Russell kaiita "First Cause")

Soma hapo juu maana Russell kashajibu na kuonyesha weakness ya hii idea.Kama una rebuttal ya kuaddress rebuttal ya Russell iweke hapa, kama huna huna jipya.
 
Umeshajionyesha kwamba huwezi kujadiliana na watu wenye uwezo wa kuandika zaidi ya sentensi mbili. Mimi nimekupa a resounding NO lakini kama kawaida, kusoma tabu.

Ushazoea copy paste bila kusoma, ndiyo maana uannyongwa kwa kamba yako mwenyewe, unafungwa kwa sheria yako mwenyewe, halafu badala ya kunywea kwa haya unaendelea kujitutumua.

Nishakwambia siamini katika impeccables, au lugha ndiyo tatizo?

Wewe unataka impeccable sources gani? Unataka nikupe neno la mungu? Nishakwambia siamini katika mungu. Manyanga hayo hapo juu nishakuwekea bado uanweweseka.

Au kusoma issue na kuelewa?

Sasa unajadilia kitu bila ya ushaidi, itamsaidia nani? Yaani watu waweke post zisizo na ushaidi na tuendelee kujaliana kama mazuzu? It doesn't work to/for me.

If that is how you darwinians are, nakupeni pole sana. Hamna lolote mnalo juwa zaidi ya kufuata mkumbo.
 
Sasa unajadilia kitu bila ya ushaidi, itamsaidia nani? Yaani watu waweke post zisizo na ushaidi na tuendelee kujaliana kama mazuzu? It doesn't work to/for me.

If that is how you darwinians are, nakupeni pole sana. Hamna lolote mnalo juwa zaidi ya kufuata mkumbo.

Wewe mbona unakuja na generalities? Ushahidi wa kitu gani? Nilichokisema wapi?

Can you be specific for a moment?

Mimi nikikuuliza ushahidi wa mungu wa Judeo-Christian persuasion uko wapi utasemaje?
 
FYI

Pundit, inaonekana kuwa agenda yako ni siyo completely conscious--nikimaanisha kuwa wewe Pundit/Bluray denier yako has not thought through the issues zinazozunguka your denial; and you may not even be aware of what your motivation is in asserting something is true when it isn't; or false when it isn't.

Labda ni kwasababu ya awareness yako ya certain truth, needs, or thoughts is more threatening to your sense of self than the act of denial. Ndio ukaamua kufuata mkumbo kama bendera kufuata upepo.

Pole sana
 
Max

Kama ungesoma hiyo essay ya Russell (I doubt that) na kuielewa (I highly doubt that) ungeona kamuua vibaya sana Aristotle na "Prime Mover" yake (Russell kaiita "First Cause")

Soma hapo juu maana Russell kashajibu na kuonyesha weakness ya hii idea.Kama una rebuttal ya kuaddress rebuttal ya Russell iweke hapa, kama huna huna jipya.

Wewe mbona unakuja na generalities? Ushahidi wa kitu gani? Nilichokisema wapi?

Can you be specific for a moment?

Mimi nikikuuliza ushahidi wa mungu wa Judeo-Christian persuasion uko wapi utasemaje?


Kaazi kweli kweli,

Ask me anything about God, hata kama ni saa kumi za usiku nitakupa airtight exhibit in a second.
 

Kaazi kweli kweli,

Ask me anything about God, hata kama ni saa kumi za usiku nitakupa airtight exhibit in a second.

Kazi iko kwangu kukufanya wewe u make sense.

Mimi nishakuuliza utoe ushahidi wa kuwepo kwa mungu, is that your best answer?

Zamani mtu asiye na nguvu akikuchokoza kabla ya kumchakaza tulikuwa tunasema "Mnamuona huyu jamani?" ili ulimwengu wote ushuhudie kwamba papara kaanza mwenyewe na watu hawakufanya overkill.

Sasa na mimi naiambia JF.

JF, Mnamuona huyu jamani? Anadandia Treni kwa mbele!
 
FYI

Pundit, inaonekana kuwa agenda yako ni siyo completely conscious--nikimaanisha kuwa wewe Pundit/Bluray denier yako has not thought through the issues zinazozunguka your denial; and you may not even be aware of what your motivation is in asserting something is true when it isn't; or false when it isn't.

Labda ni kwasababu ya awareness yako ya certain truth, needs, or thoughts is more threatening to your sense of self than the act of denial. Ndio ukaamua kufuata mkumbo kama bendera kufuata upepo.

Pole sana

Kati yangu mie mwenye reutation ya ku question age old tradition na wewe unayeamini mungu usiyeweza kumthibitisha hata baada ya kupewa nafasi kadhaa nani ni "bendera kufuata mkumbo".

Kwanza nilikufunga kwa sheria yako mwenyewe, sasa ninakunyonga kwa kamba yako mwenyewe.

There oughta be laws against you yapping your jaws and writing without some sort of proofreaders going through your stuff.
 
Kati yangu mie mwenye reutation ya ku question age old tradition na wewe unayeamini mungu usiyeweza kumthibitisha hata baada ya kupewa nafasi kadhaa nani ni "bendera kufuata mkumbo".

Kwanza nilikufunga kwa sheria yako mwenyewe, sasa ninakunyonga kwa kamba yako mwenyewe.

There oughta be laws against you yapping your jaws and writing without some sort of proofreaders going through your stuff.


Wewe nimeshakupa pole, nimekupa kaswali kutoka ndugu zako, kamekushinda, sasa umebakia kupiga makelele. Eti kama ninamuamini Plato? lol

Ukisoma kichwa cha habari cha kitabu cha Russel, utona kuwa kinataka kusema ni jinsi gani yeye si Mkristo, ukiingia ndani utaona ni utumbo mtupu na hakuna uhusiano wowote na kichwa cha habari.


 
Wewe nimeshakupa pole, nimekupa kaswali kutoka ndugu zako, kamekushinda, sasa umebakia kupiga makelele. Eti kama ninamuamini Plato? lol

Ukisoma kichwa cha habari cha kitabu cha Russel, utona kuwa kinataka kusema ni jinsi gani yeye si Mkristo, ukiingia ndani utaona ni utumbo mtupu na hakuna uhusiano wowote na kichwa cha habari.

https://www.jamiiforums.com/dini-imani/20040-atheists-the-lies-and-failure.html

https://www.jamiiforums.com/dini-imani/21107-does-god-exist.html
 


Wewe nimeshakupa pole, nimekupa kaswali kutoka ndugu zako, kamekushinda, sasa umebakia kupiga makelele. Eti kama ninamuamini Plato? lol

Ukisoma kichwa cha habari cha kitabu cha Russel, utona kuwa kinataka kusema ni jinsi gani yeye si Mkristo, ukiingia ndani utaona ni utumbo mtupu na hakuna uhusiano wowote na kichwa cha habari.



Hizi ndizo religious faanaticism na automata nilizozikataa. Mtu huwi specific, maswali hujibu, kazi kuleta ubishi usio kichwa wala mguu, hujui tofauti ya essay na kitabu, hujui kuunganisha vitu, hujui kusoma na comprehension.

Wewe huna hata tools za kuanza ku elevate the level of discussion, you are just dragging this thread down sasa hata watu wenye content ya maana kuchangia wataona hii ni moja ya thread za religious fanatic MaxShimba.

Huna cha kuchangia, una copy paste mi point inayodefeat argument zako mwenyewe, mpaka nakuhurumia.

Ni kama unashindana na timu inayojifunga yenyewe, hata raha ya mechi inakuwa haipo maana unaona unacheza na kinda.Tafuta mtu anayeelewa maana ya "ex nihilo" na "omniscient" kwanza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom