Why does the Queen of England always wear gloves?

Why does the Queen of England always wear gloves?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
17,306
Reaction score
19,822
Huwa ninajiuliza sana hilo swali hapo juu lakini sipati jibu...then nasikia huyu queen aliwahi kutana na mwalimu nyerere na alipomsalimu akiwa na gloves yeye mwalimu akamsalimu kwa kifimbo chake. did this really happen?
Nawasilisha wakuu!
 
Huwa ninajiuliza sana hilo swali hapo juu lakini sipati jibu...then nasikia huyu queen aliwahi kutana na mwalimu nyerere na alipomsalimu akiwa na gloves yeye mwalimu akamsalimu kwa kifimbo chake. did this really happen?
Nawasilisha wakuu!

Ni kweli. Mwl alitoa mkono ampe kwa salam. Sasa yeye hakuvua gloves na mshua akamfanyia kweli na kifimbo mama akashika. Akili za Nyerere nyingi zilikuwa. He remains my hero.
 
Ni kweli. Mwl alitoa mkono ampe kwa salam. Sasa yeye hakuvua gloves na mshua akamfanyia kweli na kifimbo mama akashika. Akili za Nyerere nyingi zilikuwa. He remains my hero.

Mwl. Nyerere hata mimi bado ninamkubali sanaa!
 
Mimi mwenyewe nashangaa sana wanawake wetu wanavaa kyupi ndani. halafu skin tight halafu juu yake jeans. Wewe unashangaa gloves waqt uingereza ni nchi ya baridi kali ?????
 
Mimi mwenyewe nashangaa sana wanawake wetu wanavaa kyupi ndani. halafu skin tight halafu juu yake jeans. Wewe unashangaa gloves waqt uingereza ni nchi ya baridi kali ?????

Issue sio ubaridi mbona akienda sehemu za joto bado havui hayo magloves yake?
 
Issue sio ubaridi mbona akienda sehemu za joto bado havui hayo magloves yake?

Yapo ya sehemu za joto kama zile tropical suit. Sasa mbona dada zako wanavaa chupi huku kwenye joto na skin tight na jeans. hiyo kyupi inamsaidia nini ?
 
Huwa ninajiuliza sana hilo swali hapo juu lakini sipati jibu...then nasikia huyu queen aliwahi kutana na mwalimu nyerere na alipomsalimu akiwa na gloves yeye mwalimu akamsalimu kwa kifimbo chake. did this really happen?
Nawasilisha wakuu!

Queen anapendelea tu kuvaa gloves ingawa huwa anavua wakati akiwa kwake pia anapotengeneza kucha nk, tangu apewe umalkia anavaa gloves za aina nyingi na ni kakiwanda kadogo sana ndio huwa wanatengeneza hizo gloves kiko east Sussex UK kila wakati anabadili kutokana na nguo anazovaa na pia hali ya hewa kama ni joto au baridi sana ambapo huvaa leather
 
Hii inatokana na kuwa anawageni wengi,sasa katika kupeana mikono inabidi avae cloves kuogopa viji germs,sasa kwa kua kila anapokua katika official appearance anakua kavaa cloves,ma designer waka kopi na kutoa ndio maana katika shuhuli zote classic za wa waingereza wanawake mavazi yao yanaambatana na kofia na cloves kama avaavyo queen no matter the weather iwe joto au baridi..fuatilia
 
Mimi mwenyewe nashangaa sana wanawake wetu wanavaa kyupi ndani. halafu skin tight halafu juu yake jeans. Wewe unashangaa gloves waqt uingereza ni nchi ya baridi kali ?????

the gloves is also used by men during biological process
 
Ni gloves na jikoni, anakuwa katoka kupika.
 
yeah it did happen.. JK alimpa mkono wa salamu, Malkia hakuvua gloves, na JK in returning the favor akachomoa fimbo yake kwapani akampa.. Malkia alivua gloves, naye JK alirudisha fimbo kwapani.. bila bila
 
yeah it did happen.. JK alimpa mkono wa salamu, Malkia hakuvua gloves, na JK in returning the favor akachomoa fimbo yake kwapani akampa.. Malkia alivua gloves, naye JK alirudisha fimbo kwapani.. bila bila

Yule babu alikuwa ni hatareeeeeeee!
 
Mimi mwenyewe nashangaa sana wanawake wetu wanavaa kyupi ndani. halafu skin tight halafu juu yake jeans. Wewe unashangaa gloves waqt uingereza ni nchi ya baridi kali ?????
Hahahahaaaa..
 
Hii inatokana na kuwa anawageni wengi,sasa katika kupeana mikono inabidi avae cloves kuogopa viji germs,sasa kwa kua kila anapokua katika official appearance anakua kavaa cloves,ma designer waka kopi na kutoa ndio maana katika shuhuli zote classic za wa waingereza wanawake mavazi yao yanaambatana na kofia na cloves kama avaavyo queen no matter the weather iwe joto au baridi..fuatilia

does the queen of England shit?
 
Back
Top Bottom