Why does the Queen of England always wear gloves?

Why does the Queen of England always wear gloves?

Sio kweli........hakukuwa na fimbo wala gloves......see?



nyerere_with_british_queen_elizabeth.jpg
 
Mwalimu alikuwa mjanja sana bonge la kiongozi
Ila kuna watu wanataka wamtumie kama irizi sasa hivi
 
Ni kweli. Mwl alitoa mkono ampe kwa salam. Sasa yeye hakuvua gloves na mshua akamfanyia kweli na kifimbo mama akashika. Akili za Nyerere nyingi zilikuwa. He remains my hero.

hizi sio zile stori za kizamani mfano tanzania nchi ya tatu duniani kwa upelelezi? hamna kitu kama hiki,JK alikuwa mtu makini hawezi kufanya hivyo na picha hapo chini haionyeshi gloves

nyerere_with_british_queen_elizabeth.jpg
 
Huwa ninajiuliza sana hilo swali hapo juu lakini sipati jibu...then nasikia huyu queen aliwahi kutana na mwalimu nyerere na alipomsalimu akiwa na gloves yeye mwalimu akamsalimu kwa kifimbo chake. did this really happen?
Nawasilisha wakuu!

sio kweli. NOT ALWAYS. Siku akiwa KAVAA GLOVES ATAKUSHIKA NA GLOVES ZAKE HATAVUA NA KAMA HAJAVAA ATAKUSHIKA BILA GLOVES.

images

queen-obama-2_1903730b.jpg

images

2Q==

q_1396600592_540x540.jpg

52107335-the-queen-shaking-hands-with-pope-john-paul-gettyimages.jpg
 
Story tu hizo zakizaman kama zilivokuwa Nyerere ameota ulaya kuna vita
 
Hii inatokana na kuwa anawageni wengi,sasa katika kupeana mikono inabidi avae cloves kuogopa viji germs,sasa kwa kua kila anapokua katika official appearance anakua kavaa cloves,ma designer waka kopi na kutoa ndio maana katika shuhuli zote classic za wa waingereza wanawake mavazi yao yanaambatana na kofia na cloves kama avaavyo queen no matter the weather iwe joto au baridi..fuatilia


acha unafki na uzandiki wewe,,,angalia picha apo chini,,shame on u
 
Why does the queen wear white gloves?

here are a couple reasons, the main one to keep anyone from touching her skin, a commoner must never ever directly touch royalty with uncovered hands. Since hand shaking is an expected courtesy in modern life, she always wears gloves so she's not forcing anyone to break her rules. Second reason is that according to traditional dress codes, for official duties she is dressed in full afternoon formal, a designation that no longer exists for most of us. Afternoon formal requires gloves, hats, knee length skirts, blouse and jacket; or dress and jacket. Her rules for proper dress are quite strict and very old fashioned and she follows them to the letter. There are few places we use afternoon formal, and for us ordinary unwashed masses weddings and important horse races are the only places where we might even think about afternoon formal wear.
 
shame on u,na ubishi wako.kuna vitu haviitaji ubishi bali ni kuvitafuta,soma acha uvivu.
 
acha unafki na uzandiki wewe,,,angalia picha apo chini,,shame on u

Shame on u kwa ubishi,hata uki Google utaona japo wametumia lugha kupunguza ukali but thats the fact. Sio tuu naangalia picha na kupayuka..
 
hizi sio zile stori za kizamani mfano tanzania nchi ya tatu duniani kwa upelelezi? hamna kitu kama hiki,JK alikuwa mtu makini hawezi kufanya hivyo na picha hapo chini haionyeshi gloves

nyerere_with_british_queen_elizabeth.jpg

Sijajua kama unakubali au kukataa!!! Alipompokea alikuwa amevaa gloves!!! Members wengine wameeleza pia maneno ambayo akiwa na gloves na asiyokuwa nayo!!
 
Back
Top Bottom