maranguvillage
JF-Expert Member
- Sep 8, 2023
- 1,992
- 4,482
Success bring excess, you know how it goes.
Mafanikio nayo ni moja ya sababu ku chepka ?Success bring excess, you know how it goes.
Hii ndio ile upo na mahusiano na baado ni mpweke aisee😢Kucheat kwa mtazamo wangu kunasababishwa na mambo mengi sana,sometime mazingira uliyopo,tamaa,,upweke wa kwenye ndoa unachangia sana
AiseeeKwahiyo kila mtu anajikuta ana cheat kwa namna yake au kwasababu zake
Wanawake waki cheat mapenz yanakua yameisha et?Ila wanawake wakishaanza kucheat ujue hawajafanya kwa tamaa bali kwa upendo au mapenzi,tofauti na wanaume huwa tunacheat just kwa tamaa tu na sio kihisia,ndio maana mwanaume anaweza kucheat na bado akampenda mke kwa dhati kabisa,ila mke akicheat ujue amedhamiria na amefall in love
Sawa hamtanyimwa tena mtapewaIla Chonde Chonde wanawake,gombana na mwanaume wako mume wao mtakavyo gombana ila usimnyime,ingawa hiyo huwa mnatumia kama adhabu au silaha ya kutupigia,lakini mnasababisha wanaume wacheat
Yeah for sure,hii ni mbaya sana yan ni bora uwe single na mpweke kuliko upo na mtu halafu ni mpweka,inaumiza sana,ndio ile mko kwenye ndoa utafikiri mmeishi miaka 30 ya ndoa kumbe ni chini ya 5 au 7Hii ndio ile upo na mahusiano na baado ni mpweke
Hakuna faidaKuna muda tunafanya vitu Kwa influence tu lakini havina maana sana kama kucheat.
Hii imekaa vibaya na hapoo uwe umekutana na bandidu muda wote anajitia mgumu lol utaomba poo mkuu🤣🤣Yeah for sure,hii ni mbaya sana yan ni bora uwe single na mpweke kuliko upo na mtu halafu ni mpweka,inaumiza sana,ndio ile mko kwenye ndoa utafikiri mmeishi miaka 30 ya ndoa kumbe ni chini ya 5 au 7
Hakuna ku sexsishana mnaona kwenye movie🤣🤣Hapa mnakuwa mnaishi kama dada na kaka,hakuna mahaba,hakuna ile thrill ya Malovedavi
Heh mbona 🤣🤣Ht huyo mpenzi tuu sina
Sina nyotaHeh mbona 🤣🤣
Tatizo nini kijana
Inasikitisha sana yaan hakuna kabisa hata mumoya?Sina nyota
Ht wa kunionea huruma nimekosa, imagineInasikitisha sana yaan hakuna kabisa hata mumoya?
Yeah for sure,hii ni mbaya sana yan ni bora uwe single na mpweke kuliko upo na mtu halafu ni mpweka,inaumiza sana,ndio ile mko kwenye ndoa utafikiri mmeishi miaka 30 ya ndoa kumbe ni chini ya 5 au 7Hii ndio ile upo na mahusiano na baado ni mpweke
True, inasemwa mwanamke akicheat basi ujue ameshafanya hesabu na yupo tayar kwa lolote,na mpaka afikie hatua hiyo basi ujue yupo tayar kama liwalo na liweWanawake waki cheat mapenz yanakua yameisha et?
Ila mwanaume ni tamaa tu eeh
Dah pole sana mdogo wangu😢Ht wa kunionea huruma nimekosa, imagine
Aisee inaweza kua ni kweli ila sina uhakika sana mkuuTrue, inasemwa mwanamke akicheat basi ujue ameshafanya hesabu na yupo tayar kwa lolote,na mpaka afikie hatua hiyo basi ujue yupo tayar kama liwalo na liwe
We acha tu maji utatamani useme mmaHii imekaa vibaya na hapoo uwe umekutana na bandidu muda wote anajitia mgumu lol utaomba poo mkuu🤣🤣
Hakuna ku sexsishana mnaona kwenye movie🤣🤣
Una experience mbona kama unaongea kwa uchungu😎We acha tu maji utatamani useme mma
Yaan m ki match inakua hot 🔥Yani utatamani wewe ndio ungekuwa kwenye maisha ambayo unayaona kwenye movie,to be honest mkikutana na mtu mme match unainjoy sana ♥️
Hili fekero nakomaa nalo ingawa nitabadilisha jina hapo mbeleni ntakushtua tu kwamba lile fekero now linaitwa hivi😂😂Aisee inaweza kua ni kweli ila sina uhakika sana mkuu
Nje ya mada hili fekero lako umeamua ukomae nalo tu
Au kuna mchongo una usikilizia?
Sawa ukibadili nishtue Mr fekeroHili fekero nakomaa nalo ingawa nitabadilisha jina hapo mbeleni ntakushtua tu kwamba lile fekero now linaitwa hivi😂😂
So ukitaka kuzungumzia mambo ya malovee una switch kwenye hili fekero la utanipenda tu🤣🤣 ila JFSababu nyingine kuna mambo siko huru sana kujadili na I'd yangu ya muda mrefu may be kutokana na image ambayo imezoeleka kuwa nayo nikiwa na I'd ile
Kumbafuuuuu🤣🤣🤣Ila I'd zote zinatumika na saa nyingine zote zinakutana kwenye uzi mmoja kwa nyakati tofauti😂😂