Why Do You Cheat?

Why Do You Cheat?

Uzoefu unaonyesha hivyo,kikawaida wake wenza hawawezi kuiva moja kwa moja ,ingawa usoni wanaweza kupretend hivyo lakini wivu huwa upo tu,sasa ukiona kuna mapenzi kindaki kindaki mmh inatia mashaka

Juzi kati mfanyakazi wetu mmja kamrusha bimdogo status what's app huo ugomvi wake sio poa
mkuu haya maisha ni fumbo. Unaweza kuwa unamiliki mali lakin mke wako akakuacha akaenda kuolewa na msukuma mkokoteni, kwa nini? Jibu ni, kuna kitu ambacho kwako hakipati na ndicho kinampa furaha na sio ati lazima yawe mapenzi no, hata uhuru(freedom) ni tosha kwake na sio unampa masharti ati asitoke ndani hadi pichu wewe ndo unamletea hamna. Mpe uhuru wake na umwambie kabisa maisha ni yetu wawili hao wanje hawatasaidia chochote usiwasikilize. Asiwa mtu wa kuweka maneno ya watu kichwani na mtaishi hadi wewe mwenyewe ushangae. Lakin kama n kuchunguzana hapo hamtafika hata stendi kwa safari yenu.
 
Umewaza nini lakini wewe dah 🤣funguka bana wife wako hayupo jeyihefu ☺️
Mtego huu
Screenshot_20251016-064015.jpg
 
Back
Top Bottom