Why Do You Cheat?

Why Do You Cheat?

Mambo ya Malovee 😊

Sometimes watu walio penzini au kwenye ndoa hujikuta tu kwenye mtego wa cheating

Wengine huja na visingizio au sababu mbalimbali

Mwingine anasema, Sipewi hata nikiomba kwa chozi
😀 Basi anajikuta amecheat

Mwingine anasema, Mume haniridhishi
Akipiga kimoja cha kuku, anakoroma mpaka asubuhi🙄

Mwingine anasema,
Nilitaka kupata experience

Kuna rafiki yangu aliolewa akiwa bikra

Kadiri alivyokuwa akikaa na kusikia wanawake wakihadithiana mambo ya jigijigi, na ukizingatia mume alikuwa na maudhi, akaamua kutaka kupata experience huko nje

Japo anasema hakuna furaha yoyote aliyopata zaidi ya kujutia tu

Sasa wewe unadhani cheating inasaidia au inabomoa kabisa pale penye ufa?

Nini kilikufanya uka-cheat?

Unajutia?

Umeacha au bado unaendelea?

Huwa hujisikii vibaya ukimcheat wa ubani?

-Au hujawahi kabisa?

Friday night 🤗
ShesRise_1 ✋️


 
Back
Top Bottom