Why Do You Cheat?

Why Do You Cheat?

unadhani watafanya nini?
wameshika kwenye makali

So sad
Nishaandaa speech ya kuwaambia tu kwamba watumishi wenu ni mizigo viti na nafasi walizokalia haziwafai. Kobe hata siku moja hawezi akapnda juu ya mti na ukimkuta juu ya mti kabebwa.
 
Nishaandaa speech ya kuwaambia tu kwamba watumishi wenu ni mizigo viti na nafasi walizokalia haziwafai. Kobe hata siku moja hawezi akapnda juu ya mti na ukimkuta juu ya mti kabebwa.
Umejipanga je lakini?
 
Kwanini unaniambia haya mimi?
Kuna uzi uliuanzisha ukawa unazungumzia mambo ya demokrasia na vitu kama hivyo. Nadhani imekuja kuingiliana na hapa baada ya kukwambia

Huu mtandao unahusishwa kama source / devices za ugaidi na ndio maana nikakwambia watumishi wetu wa umma ni mizigo.

Ninayeongoza kuwa laani ni Mimi hapa na nilishaandaa speech itakuwa published kufikisha ujumbe wenye kusaidia kufanyike namna katika utumishi wa umma
 
Kuna uzi uliuanzisha ukawa unazungumzia mambo ya demokrasia na vitu kama hivyo. Nadhani imekuja kuingiliana na hapa baada ya kukwambia
Ahaa niliona pia comment yako
Huu mtandao unahusishwa kama source / devices za ugaidi
Sina uhakika hapa
na ndio maana nikakwambia watumishi wetu wa umma ni mizigo.
So sad
Ninayeongoza kuwa laani ni Mimi hapa na nilishaandaa speech itakuwa published kufikisha ujumbe wenye kusaidia kufanyike namna katika utumishi wa umma
Sawa fanya hivyo
Usikose ku ni tag kijana mdogo
 
Back
Top Bottom