Why can't this guy coexist peacefully with others

Why can't this guy coexist peacefully with others

Muslims living with Hindus = Problem.
Muslims living with Buddhists = Problem.
Muslims living with Christians = Problem.
Muslims living with Jews = Problem.
Muslims living with Sikhs = Problem
Muslims living with Baha’is = Problem.
Muslims living with Shintos = Problem.
Muslims living with Atheists = Problem.
Muslims living with Muslims = Big Problem.

This led to:

They’re not happy in Gaza.
They’re not happy in Egypt.
They’re not happy in Libya.
They’re not happy in Morocco.
They’re not happy in Iran.
They’re not happy in Iraq.
They’re not happy in Yemen.
They’re not happy in Afghanistan.
They’re not happy in Pakistan.
They’re not happy in Syria.
They’re not happy in Lebanon.
They’re not happy in Nigeria.
They’re not happy in Kenya.
They’re not happy in Sudan.

Where are they happy?
They’re happy in Australia.
They’re happy in England.
They’re happy in Belgium.
They’re happy in France.
They’re happy in Italy.
They’re happy in Germany.
They’re happy in Sweden.
They’re happy in the USA and Canada.
They’re happy in Norway and India.
They’re happy in almost every country that is not Islamic.
Whom do they blame? Not Islam. Not their leadership. Not themselves.

They blame the countries they are happy in.
They want to change the countries they’re happy in, to be like the countries they came from where they were unhappy.
Pilipili usiyo ila ya kuwashia nini?
 
Achana na Gaza mkuu.

Hapa bongo mbona tunaishi vzr tunakulana dini tofauti....

Qatar ni dini gani??

UAE ni dini gani??

Congo wanaopigana ni waislam??

China Vs Taiwan ni waislam??

Ukraine Vs Russia ni waislam?

Vita ni beyond religious sentiments
Umeongea maneno yangu.. Asante sana
 
Achana na Gaza mkuu.

Hapa bongo mbona tunaishi vzr tunakulana dini tofauti....

Qatar ni dini gani??

UAE ni dini gani??

Congo wanaopigana ni waislam??

China Vs Taiwan ni waislam??

Ukraine Vs Russia ni waislam?

Vita ni beyond religious sentiments

Kile alichoongea ni uongoo? Hayo maeneo hakijanukaa kaka mkubwaaa
 
Thanks for a well researched report. The problem with these guys is, they hate everybody. The result of this is they hate even themselves.
Look at their role models
 

Attachments

  • Screenshot_2025-03-21-15-16-49-04.jpg
    Screenshot_2025-03-21-15-16-49-04.jpg
    415 KB · Views: 7
Ukisoma quran na Sunnah imekataza kabisa waislam kuwa na urafiki na wakristo.

Hata waislamu kuanza kuwasalimia wakristo njiani hawaruhusiwi

Imagine dini inafundisha chuki kwa wengine
Wewe umekua brain washed...tumeambiwa tushirikiane nanyi tuishi nanyi kwa wema ili isiwape taabu hata kuja kuwa wamoja wetu

Sijui mpoje....hapo hapo tumekatazwa kushiriki kwenye mambo yenu mfano sikukuu zenu n.k
yani Mimi nisherehekee kufa kwa yesu ilihal Imani yangu inanambia yeye ni katika viumbe ambavyo havijaonja umaut

Hua sipendag mada za kidini na hizi ndo zinaibuaga mijadala ya kihisia na hasira hadi kupelea vita km hamjui

Endeleeni kujifanya mnajua na vingereza vyenu vya darasa la 3
I'm out 🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️
 
Pilipili usiyo ila ya kuwashia nini?
Huyu sio mtu wa kwanza wala hatakuwa wa mwisho kutumia ulimi na kalamu yake kujaribu kuizima Nuru ya Allah. Hatakuwa wa kwanza kupiga propaganda dhidi ya Uislam. Lakini kama watu wengine mfano wake waliopita (ambao wapo waliokuwa na akili, mipango, njama na nguvu kuliko yeye), hatoshinda. Namuombea kwa Allah amuongoze katika Uislam.

Motoekoppela te soma hapo chini;

ayat 8 from Surah As-Saff
﴿يُرِيدُونَ لِيُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ﴾
[ الصف: 8]

Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia.

Soma tena;

Tamim al-Dari reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “This matter will certainly reach every place touched by the night and day. Allah will not leave a house or residence but that Allah will cause this religion to enter it, by which the honorable will be honored, and the disgraceful will be disgraced. Allah will honor the honorable with Islam, and he will disgrace the disgraceful with unbelief.”

Source: Musnad Aḥmad 16957

Grade: Sahih (authentic) according to Al-Arna’ut



Allah akuongoze katika Nuru ya Uislam.


Namshukuru Allah kwa Neema ya Uislam na Sunnah. Namuomba Allah anifishe katika Uislam na Sunnah. Aamiin.
 
Muslims living with Hindus = Problem.
Muslims living with Buddhists = Problem.
Muslims living with Christians = Problem.
Muslims living with Jews = Problem.
Muslims living with Sikhs = Problem
Muslims living with Baha’is = Problem.
Muslims living with Shintos = Problem.
Muslims living with Atheists = Problem.
Muslims living with Muslims = Big Problem.

This led to:

They’re not happy in Gaza.
They’re not happy in Egypt.
They’re not happy in Libya.
They’re not happy in Morocco.
They’re not happy in Iran.
They’re not happy in Iraq.
They’re not happy in Yemen.
They’re not happy in Afghanistan.
They’re not happy in Pakistan.
They’re not happy in Syria.
They’re not happy in Lebanon.
They’re not happy in Nigeria.
They’re not happy in Kenya.
They’re not happy in Sudan.

Where are they happy?
They’re happy in Australia.
They’re happy in England.
They’re happy in Belgium.
They’re happy in France.
They’re happy in Italy.
They’re happy in Germany.
They’re happy in Sweden.
They’re happy in the USA and Canada.
They’re happy in Norway and India.
They’re happy in almost every country that is not Islamic.
Whom do they blame? Not Islam. Not their leadership. Not themselves.

They blame the countries they are happy in.
They want to change the countries they’re happy in, to be like the countries they came from where they were unhappy.
They are happy in Saudia
They are happy in Malyasia
They are happy in Brunei Darusalaam
They are happy in Indonesia
They are happy in Qatar
They are happy in Bahrain
They are happy in Oman
They are happy in UAE
They are Happy in Kuwait etc.


They were happy in Iraq Kabla ya wester democracy

They were happy in Afghanistan kabla ya both West na Soviet

They were happy in India na Indian sub continent kwa ujumla kabla ya West involvement

They were happy in Syria, Lebanon na Palestina (Levant) kabla ya kuja Israel na sera za wests.


Middle East ndio sehemu pekee utakuta ancient religion ukienda Lebanon, Palestine, Syria etc ndio utakuta alawite, Druze, madhehebu ya zamani ya kikristo kama Maronite, Coptic, waisilamu wa Sunni, Shia, na hata madhehebu ya zamani ya jews kama Samaritan.


Why haya madhehebu yapo hapo na sio Ulaya, Africa, South America ama kwengineko?

Jibu rahisi Ulaya wamewaua wote, ili kuhakikisha version yao ya ukristo ndio inatamalaki Duniani, sehemu zote ambapo kulikua na protection ya Uisilamu mpaka leo madhehebu na dini za zamani zipo.

In short upo safe nchi za kiisilamu kuliko Hizo nyengine kama hufuati matakwa ya west.
 
Achana na Gaza mkuu.

Hapa bongo mbona tunaishi vzr tunakulana dini tofauti....

Qatar ni dini gani??

UAE ni dini gani??

Congo wanaopigana ni waislam??

China Vs Taiwan ni waislam??

Ukraine Vs Russia ni waislam?

Vita ni beyond religious sentiments
Nadhani hujamuelewa mleta thread, Ye anamaanisha migogoro kati ya waislamu na dini/ madhehebu mengine sio vita kati ya nchi na nchi .Mfano vita au mgogoro kati ya Russia na Ukraine sio kati ya wakristu vs wakristu bali upanuzi wa kimaeneo na rasilimali the same applies to Congo Drc
 
Na waarabu watakuja kufuta kila kitu cha kiafrika.
Afrika itarudi kwenye utumwa wa waarabu kw kupitia dini ya uislamu.
Washajaza Afrika Kaskazini yote,wameshtuka mpaka pembe ya Afrika na pwani ya Afrika mashariki. Wazenji wote wameshapoteza tamaduni zao, wameshakiwa watumwa wa waarabu.
Wanapigana huko west Afrika, watatoboa labda.
Ujinga wa waafrika utapoteza bara Zima la Afrika huko mbeleni.
 
Huyu sio mtu wa kwanza wala hatakuwa wa mwisho kutumia ulimi na kalamu yake kujaribu kuizima Nuru ya Allah. Hatakuwa wa kwanza kupiga propaganda dhidi ya Uislam. Lakini kama watu wengine mfano wake waliopita (ambao wapo waliokuwa na akili, mipango, njama na nguvu kuliko yeye), hatoshinda. Namuombea kwa Allah amuongoze katika Uislam.

Motoekoppela te soma hapo chini;

ayat 8 from Surah As-Saff
﴿يُرِيدُونَ لِيُطْفِئُوا نُورَ اللَّهِ بِأَفْوَاهِهِمْ وَاللَّهُ مُتِمُّ نُورِهِ وَلَوْ كَرِهَ الْكَافِرُونَ﴾
[ الصف: 8]

Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia.

Soma tena;

Tamim al-Dari reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “This matter will certainly reach every place touched by the night and day. Allah will not leave a house or residence but that Allah will cause this religion to enter it, by which the honorable will be honored, and the disgraceful will be disgraced. Allah will honor the honorable with Islam, and he will disgrace the disgraceful with unbelief.”

Source: Musnad Aḥmad 16957

Grade: Sahih (authentic) according to Al-Arna’ut



Allah akuongoze katika Nuru ya Uislam.


Namshukuru Allah kwa Neema ya Uislam na Sunnah. Namuomba Allah anifishe katika Uislam na Sunnah. Aamiin.
Napenda sana uchangiaji wako unaotokana na nukuu. Kaka wewe ni msomi unaejua kujadili. Hongera
 
Wewe umekua brain washed...tumeambiwa tushirikiane nanyi tuishi nanyi kwa wema ili isiwape taabu hata kuja kuwa wamoja wetu

Sijui mpoje....hapo hapo tumekatazwa kushiriki kwenye mambo yenu mfano sikukuu zenu n.k
yani Mimi nisherehekee kufa kwa yesu ilihal Imani yangu inanambia yeye ni katika viumbe ambavyo havijaonja umaut

Hua sipendag mada za kidini na hizi ndo zinaibuaga mijadala ya kihisia na hasira hadi kupelea vita km hamjui

Endeleeni kujifanya mnajua na vingereza vyenu vya darasa la 3
I'm out 🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️

Je unabishana na quran iliyokataza msiwe na urafiki na wayahudi na wakristo ?
Screenshot_20250323-183519_1.jpg
 
Ni kweli ulichoandika mkuu,

Lakini, Huwenda Dini hizi huwa zinatofautiana mapokeo kutoka nchi na nchi, eneo na eneo

Na masuala mazima ya machafuko ya kidini, huwa yanakuwa ya moto sana yanapoingiliana na serikali zetu hizi!

Mfumo wa nchi yetu na uendelee milele!

Serikali ishike ya serikali, namaanisha, viongozi wa serikali wajikite kujenga nchi pekee na siyo kuhubiri udini, Dini wakutane nazo tu wanapojumuika kwenye mambo ya Dini, vile vile na dini nazo zijikite kwenye hayo hayo ya kidini na waiache serikali ifanye ya watu wote bila kubagua!

Shida ya uislam ni moja, hawajui unapoishia uhuru wako ndipo unapoanzia uhuru wa wengine. Wenyewe hawajui kutenganisha uhuru au haki za kiraia na masuala au haki za kidini. Sasa utakuta kwenye secular state kama yetu ambayo tumepewa uhuru au haki ya kiraia ya kuabudu bila bugudha, kwa waislam watataka na haki ya dini yao na vipengele vyao ambavyo si vya haki za kiraia bali ni vya haki ya kidini viingizwe kwenye haki za kiraia. Mfano, kuna kipindi wakataka kuwe na mahakama ya kadhi. Sasa ukiangalia kwenye law families of the world 🌎 hiyo itakuwa kwenye familia ipi? Sisi tumerithi Common Law, sasa tukiwa na mahakama ya kadhi itaendajee. Usimamizi wake utakuwaje? Maana mahakama ya kadhi inapatikana kwenye Islamic law. Kwenye mfumo tulionao wa sheria itakuwa ngumu sana

CC: Detective J
 
Shida ya uislam ni moja, hawajui unapoishia uhuru wako ndipo unapoanzia uhuru wa wengine. Wenyewe hawajui kutenganisha uhuru au haki za kiraia na masuala au haki za kidini. Sasa utakuta kwenye secular state kama yetu ambayo tumepewa uhuru au haki ya kiraia ya kuabudu bila bugudha, kwa waislam watataka na haki ya dini yao na vipengele vyao ambavyo si vya haki za kiraia bali ni vya haki ya kidini viingizwe kwenye haki za kiraia. Mfano, kuna kipindi wakataka kuwe na mahakama ya kadhi. Sasa ukiangalia kwenye law families of the world 🌎 hiyo itakuwa kwenye familia ipi? Sisi tumerithi Common Law, sasa tukiwa na mahakama ya kadhi itaendajee. Usimamizi wake utakuwaje? Maana mahakama ya kadhi inapatikana kwenye Islamic law. Kwenye mfumo tulionao wa sheria itakuwa ngumu sana
They are very selfish. Angalia walivyoshinikiza watoto wa kike kuvaa hijabu mashuleni wakati nchi sio ya kidini, All time wanajiona ndo wako sahihi kuliko watu wa dini nyingine
 
Wewe umekua brain washed...tumeambiwa tushirikiane nanyi tuishi nanyi kwa wema ili isiwape taabu hata kuja kuwa wamoja wetu

Sijui mpoje....hapo hapo tumekatazwa kushiriki kwenye mambo yenu mfano sikukuu zenu n.k
yani Mimi nisherehekee kufa kwa yesu ilihal Imani yangu inanambia yeye ni katika viumbe ambavyo havijaonja umaut

Hua sipendag mada za kidini na hizi ndo zinaibuaga mijadala ya kihisia na hasira hadi kupelea vita km hamjui

Endeleeni kujifanya mnajua na vingereza vyenu vya darasa la 3
I'm out 🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️

Mkuu turushie aya, nasi tujielimishe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom