Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,987
- 24,229
Ulizaliwa na miaka 18??
emotional maturity unazaliwa nayo??
Au nayo ni mchakato wa kukua??
Na kabla hujakua kihisia hautaumizwa na hivyo vidogo?
emotional maturity unazaliwa nayo??
Au nayo ni mchakato wa kukua??
Na kabla hujakua kihisia hautaumizwa na hivyo vidogo?
achenu ujinga wenu nyie watu, hakuna anayemuumiza mwenzake, but unajiumiza mwenyewe. sikia nikueleweshe kitu hapa ambacho kinaweza kukusaidia sana
kinachokufanya kuumie siyo jambo ulilotendewa, bali ni jinsi wewe mwenyewe utakavyochukulia lile jambo. kwa maana hiyo kinachokufanya uumie siyo lile jambo bali ni fikra zako. kwa mfano, nimempenda sana msichana, nikamsomesha mpaka chuo kikuu au level flani kwa matarajio kuwa atakuwa mke wangu, mwisho wa siku akasepa. ukiwapa scenario hiyo watu tofauti, kuna atakaye kwambia aisee patachimbika, mwingine, atatoa ushauri tofauti, na kila kitu. sasa katika hali hii, ile reaction utakyochukua baada ya jambo hilo ndiyo itakayo kuumiza
ok, fikiria umemfumania mke wako au mume wako!, kitakachokuumiza siyo fumanizi, ni jinsi utakavyolichukulia hilo fumanizi, mwingine anaua hapo hapo, mwingine anampa pole mkewake, na kumwambia twendezetu home mpz, mwingine anadai fidia tu anasepa zake.
ndiyo mana sasa, kunakitu kinachoitwa ukomavu wa hisia, au "emotional maturity" kwa kikoloni, au kwa lugha nyingine wanasema ukubwa wa kifua. kama kifua chako kinaweza kulibeba jambo, then maumivu ni madogo, na kama haliwezi hapo utadata, kwahiyo kinachokufanya udate siyo jambo, bali imaturity yako.
jifunze kukua kihisia na trust me hautaumizwa kamwe