Who wounded you???

Who wounded you???

Ulizaliwa na miaka 18??


emotional maturity unazaliwa nayo??
Au nayo ni mchakato wa kukua??

Na kabla hujakua kihisia hautaumizwa na hivyo vidogo?

achenu ujinga wenu nyie watu, hakuna anayemuumiza mwenzake, but unajiumiza mwenyewe. sikia nikueleweshe kitu hapa ambacho kinaweza kukusaidia sana
kinachokufanya kuumie siyo jambo ulilotendewa, bali ni jinsi wewe mwenyewe utakavyochukulia lile jambo. kwa maana hiyo kinachokufanya uumie siyo lile jambo bali ni fikra zako. kwa mfano, nimempenda sana msichana, nikamsomesha mpaka chuo kikuu au level flani kwa matarajio kuwa atakuwa mke wangu, mwisho wa siku akasepa. ukiwapa scenario hiyo watu tofauti, kuna atakaye kwambia aisee patachimbika, mwingine, atatoa ushauri tofauti, na kila kitu. sasa katika hali hii, ile reaction utakyochukua baada ya jambo hilo ndiyo itakayo kuumiza
ok, fikiria umemfumania mke wako au mume wako!, kitakachokuumiza siyo fumanizi, ni jinsi utakavyolichukulia hilo fumanizi, mwingine anaua hapo hapo, mwingine anampa pole mkewake, na kumwambia twendezetu home mpz, mwingine anadai fidia tu anasepa zake.
ndiyo mana sasa, kunakitu kinachoitwa ukomavu wa hisia, au "emotional maturity" kwa kikoloni, au kwa lugha nyingine wanasema ukubwa wa kifua. kama kifua chako kinaweza kulibeba jambo, then maumivu ni madogo, na kama haliwezi hapo utadata, kwahiyo kinachokufanya udate siyo jambo, bali imaturity yako.
jifunze kukua kihisia na trust me hautaumizwa kamwe
 
achenu ujinga wenu nyie watu, hakuna anayemuumiza mwenzake, but unajiumiza mwenyewe. sikia nikueleweshe kitu hapa ambacho kinaweza kukusaidia sana
kinachokufanya kuumie siyo jambo ulilotendewa, bali ni jinsi wewe mwenyewe utakavyochukulia lile jambo. kwa maana hiyo kinachokufanya uumie siyo lile jambo bali ni fikra zako. kwa mfano, nimempenda sana msichana, nikamsomesha mpaka chuo kikuu au level flani kwa matarajio kuwa atakuwa mke wangu, mwisho wa siku akasepa. ukiwapa scenario hiyo watu tofauti, kuna atakaye kwambia aisee patachimbika, mwingine, atatoa ushauri tofauti, na kila kitu. sasa katika hali hii, ile reaction utakyochukua baada ya jambo hilo ndiyo itakayo kuumiza
ok, fikiria umemfumania mke wako au mume wako!, kitakachokuumiza siyo fumanizi, ni jinsi utakavyolichukulia hilo fumanizi, mwingine anaua hapo hapo, mwingine anampa pole mkewake, na kumwambia twendezetu home mpz, mwingine anadai fidia tu anasepa zake.
ndiyo mana sasa, kunakitu kinachoitwa ukomavu wa hisia, au "emotional maturity" kwa kikoloni, au kwa lugha nyingine wanasema ukubwa wa kifua. kama kifua chako kinaweza kulibeba jambo, then maumivu ni madogo, na kama haliwezi hapo utadata, kwahiyo kinachokufanya udate siyo jambo, bali imaturity yako.
jifunze kukua kihisia na trust me hautaumizwa kamwe
maumivu yote sio ya mapenzi tu
 
Nakumbuka 1990's after my parents' death, kipindi cha kufatilia mirathi... Upande wa Mzee ukiongozwa na babu walitukataa kabisa watoto wa marehemu mahakamani wakidai ndugu yao (baba) hakuwahi kuoa wala kuwa na watoto...
Cha kushangaza zaidi baadhi yao walikulia nyumbani kwetu na kusomeshwa na mama kipindi Mzee anaugua....

Leo hii wewe ni nani kwao mkuu? Ninaamini hawakukatai tena, tena kila dakika wanakutaja maana ndiye mkombozi wao!!
 
achenu ujinga wenu nyie watu, hakuna anayemuumiza mwenzake, but unajiumiza mwenyewe. sikia nikueleweshe kitu hapa ambacho kinaweza kukusaidia sana
kinachokufanya kuumie siyo jambo ulilotendewa, bali ni jinsi wewe mwenyewe utakavyochukulia lile jambo. kwa maana hiyo kinachokufanya uumie siyo lile jambo bali ni fikra zako. kwa mfano, nimempenda sana msichana, nikamsomesha mpaka chuo kikuu au level flani kwa matarajio kuwa atakuwa mke wangu, mwisho wa siku akasepa. ukiwapa scenario hiyo watu tofauti, kuna atakaye kwambia aisee patachimbika, mwingine, atatoa ushauri tofauti, na kila kitu. sasa katika hali hii, ile reaction utakyochukua baada ya jambo hilo ndiyo itakayo kuumiza
ok, fikiria umemfumania mke wako au mume wako!, kitakachokuumiza siyo fumanizi, ni jinsi utakavyolichukulia hilo fumanizi, mwingine anaua hapo hapo, mwingine anampa pole mkewake, na kumwambia twendezetu home mpz, mwingine anadai fidia tu anasepa zake.
ndiyo mana sasa, kunakitu kinachoitwa ukomavu wa hisia, au "emotional maturity" kwa kikoloni, au kwa lugha nyingine wanasema ukubwa wa kifua. kama kifua chako kinaweza kulibeba jambo, then maumivu ni madogo, na kama haliwezi hapo utadata, kwahiyo kinachokufanya udate siyo jambo, bali imaturity yako.
jifunze kukua kihisia na trust me hautaumizwa kamwe

Nina mashaka ww si Binaadam...Binaadam hawezi kuwa na moyo wa jabali kama wako
Msikilize hapo Michael Bolton "Im not made of steel"
 
Last edited by a moderator:
Nina mashaka ww si Binaadam...Binaadam hawezi kuwa na moyo wa jabali kama wako
Msikilize hapo Michael Bolton "Im not made of steel"


enh mwaya moyo umeumbwa na nyama rafiki yangu!sio jiwe wala chuma kwa kweli.napenda nyimbo za huyu jamaa mpka basi hasa ile sauti bana!chezeya huskyy voice wewe!
 
Last edited by a moderator:
Step mom kwa kipigo na kuambiwa nimetapikwa kila nilipokosea. My father kwa kukataa kunisomesha(GOVT) akidai hana pesa na kumsomesha step bro(PRIVATE). Nimetembeza bakuli mpaka form 6 nikakwama. After 3yrs uraiani nikaolewa Mr. akaniendeleza sasa nina Masters.

Mpende sana mumeo, mpe heshima na mapenzi ambayo ni ya kiwango. Big up Mr. wa Ennie!!! The tru man!!! Hawa mama wa Kambo kweli jehanamu inasubiri wengi.
 
My sister ( aunt doughter) alinifanya kitu kibaya sana hata nikiongea nae najisikia vibaya,, alinikosanisha na love of my life as alinipanga maneno ya uongo nikamuumiza sana dada wa watu japokuwa ameolewa lakini mpaka leo ananichukia mpaka basi ( as mambo mengi sana mabaya yalimtokea maishan na yalisababishwa na mimi) halafu sasa wanawake walivyokuwa wa ajabu huyo sister nae akaanza kunilaumu mimi wakat anajua the vitu alivyokuwa anafanya those day,, the same way as my college sweethert hates me na mimi namchukia my sister mara 5 yake ya navyochukiwa na my x
 
achenu ujinga wenu nyie watu, hakuna anayemuumiza mwenzake, but unajiumiza mwenyewe. sikia nikueleweshe kitu hapa ambacho kinaweza kukusaidia sana
kinachokufanya kuumie siyo jambo ulilotendewa, bali ni jinsi wewe mwenyewe utakavyochukulia lile jambo. kwa maana hiyo kinachokufanya uumie siyo lile jambo bali ni fikra zako. kwa mfano, nimempenda sana msichana, nikamsomesha mpaka chuo kikuu au level flani kwa matarajio kuwa atakuwa mke wangu, mwisho wa siku akasepa. ukiwapa scenario hiyo watu tofauti, kuna atakaye kwambia aisee patachimbika, mwingine, atatoa ushauri tofauti, na kila kitu. sasa katika hali hii, ile reaction utakyochukua baada ya jambo hilo ndiyo itakayo kuumiza
ok, fikiria umemfumania mke wako au mume wako!, kitakachokuumiza siyo fumanizi, ni jinsi utakavyolichukulia hilo fumanizi, mwingine anaua hapo hapo, mwingine anampa pole mkewake, na kumwambia twendezetu home mpz, mwingine anadai fidia tu anasepa zake.
ndiyo mana sasa, kunakitu kinachoitwa ukomavu wa hisia, au "emotional maturity" kwa kikoloni, au kwa lugha nyingine wanasema ukubwa wa kifua. kama kifua chako kinaweza kulibeba jambo, then maumivu ni madogo, na kama haliwezi hapo utadata, kwahiyo kinachokufanya udate siyo jambo, bali imaturity yako.
jifunze kukua kihisia na trust me hautaumizwa kamwe

um with you bhikola, yaan that z t,, huwezi kuumizwa paka umeamua mwenyewe kujiumiza, tofauti tu the way we face situations, mimi katika maisha yangu sipendi sana moyo wangu uumie sababu ya binadam, yes kuna matatizo kama kufiwa u cant avoid the pain, ila matatizo ya kusemwa sijui, kuachwa na mengine ya namna iyo mengi sana tunajiumiza wenyewe...just imagine unakinyongo na mtu hutaki kumsamehe unajua unajiumiza wewe tena gals let me tel u this,,holding things in ur heart destroys your inner serenity which is so baaad....so try to avoid ctuations ambazo zitafanya ujiumize...dis are few ways to do so..1. try nat to think about it owky u might think abt it kidogo bt DONT give t too much attention yaan unawazaa mpaka mind yote inaama as si mnajua ower of mind. 2.try o taak the words in other way round yan da oposite of t..positive way hapa labda mtu amekuinsult au maneno mengine mabaya so wewe yaweke yale maneno in a positive way and just smile...most important z to have mind control...have a mind control pipo sio kila kitu unachokisikia unakiweka kichwani achana na ambazo unaskia subcounsously...sababu unaumia zaidi unapozidi kuwaza na kukifikilia.. trust me hata uumizwaje when u have a mind control hakuna kitu kitakuumiza, utaishi maisha ya furaha kila siku and u wil see ur self blessed anad luck. Guys we shuld alwaz forgive for our own sake..
 
kwa kusoma hizi comment unajihisi kumbe hauko peke yako uliokumbwa na matatizo.kwa yaliyonikuta,kuna baadhi ya watu nimewasamehe otherwise nisinge move on.ila kuna mmoja huyo,simsamehe maisha kwa alivyo take advantage,ilini affect mno till now,wakati ni kitendo cha miaka mingi nyuma

Pole , Mh kwani alikufanya nini mpaka usimsamehe?
 

........
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom