BAK mi huwa nina theory moja nakumbuka vinavonipa raha tu!zamani nilikuwa mtu wa visasi na kuwekeza sana hasira!lakini nimekuja kujifunza kuwa hasira na kisasi naumia mwenyewe huyo aliyenikera pengine wala hajui kama ameniumiza kiasi hicho na wala hajui hata kama nimeumia at all!Funguka bana snowhite!!! Ni aje!!!!?
U have a point i see!i wounded...ME..!!!!
Hivi uliowajeruhi mioyo yao hawajazi treni ya mwakyembe kweli?
Thanx mkuu wangu..
Nitaku tag
na mimi naomba niwepo kwenye ufalme wako please ni tag ,siunajua leo siku ya kupiga kura huku kwetuHuu uzi umekuoaisha Boflo
Mie naomba unitag mara mbili mbili, (kidding)
Boflo huu uzi umezidi kunitia moyo wapo wengi waliopitia makuu kuliko mie mwanzoni nilifikiri ni mie kumbe tupo wengi
ni jambo la kuendelea kumshukuru Mungu inawezekana kwa kupitia hayo ndipo unakutana na faraja na neema na pia kujifunza kusaidia wale waliopatwa na matatizo kama yako
Umeonaa eh?
Inatia sana uchungu mkuu, mimi nakumbuka nilimuomba kaka yangu yaani mtoto wa baba mdogo sh. 5,000 za kulipia mtihani wa mock wa kidato cha pili lakini alinitolea nje by then ni mtu mkubwa sana jeshini.