Who really killed Prof. Mwaikusa?

Kusema ukweli, this issue inaniuma sana kwasababu mwaikusa alinifundisha administrative law pale UDSM, ni mtu ambaye alikuwa fit sana. Lakini cha ajabu, siamini kama kweli kesi yake ya ugombea binafsi ndo itakuwa imemuua, kwa sababu kama issue ndo ingekuwa hiyo, Mch. Mtikila tungeshampoteza muda mwingi sana. Zaidi ya yote, Tanzania hatuna historia ya kuua watu hivyo kama anavyofanya Kagame....

Hapo ndo napenda Tz ihakikishe inafanya investigation na kama Rwanda watakuwa wamehusika, kwa kweli hatua nzito za kidiplomasia zinatakiwa kuchukuliwa.
 
It still does not fit the puzzle. What did the killers have to gain if the real reason behind his killing was that he had defended genocide suspects?
What threat did he pose, if Rwanda was behind it, to the Rwandan government? Let us hope those arrrested for his murder will talk.
 
ha hha ahaha chunguza kwanza hiyo San francisco bay view ndio utaelewa unachoongea.
 
Damu nzito kuliko maji. Hivi nyinyi mlitegemea Banyamulenge Salva aache kutoa siri kwa Kagame ili iwe nini? Subirini akina Koba waje kutetea ndugu zao hapa.
 

Mkuu Jasusi, kuna tetesi kuwa kuna faili wauaji walikuwa wakilitafuta na alikuwa na mazoea ya kwenda nalo nyumbani kulifanyia kazi. Faili lenyewe lilikuwa na bomu lililowahusu wazito wa Tz - hiyo theory ya defence of genocide suspects ni kile kilichopangwa kitumike kama red herring kufunika wingu zito linalofunika hicho kifo. Kama nilivyosema mwanzo ingawa mpaka sasa ni tetesi lakini ni dalili ya mambo ambayo tutegemee kuyashuhudia tunavyokaribia uchaguzi wa mwaka huu.
 

....nasikia hata yale mabomu ya Temeke kuna mkono wa Kagame pale,kweli huyu inabidi tumkomeshe la sivyo atatuchafulia amani yetu
 
Boy I tell you, conspiracy theorists are hard at it (at work, that is)

With due respect, inaelekea hii cospiracy is alive. Kila ambaye kwa namna yoyote hakubaliani na msimamo wa serikari ya Rwanda anauawa. Inatakiwa wafe wangapi ndipo isiwe conspiracy?
 
Damu nzito kuliko maji. Hivi nyinyi mlitegemea Banyamulenge Salva aache kutoa siri kwa Kagame ili iwe nini? Subirini akina Koba waje kutetea ndugu zao hapa.

Kitu cha kwanza unachotakiwa kuelewa ni kwamba, BANYAMULENGE ni watusi wanaoishi Congo. Hili ni kabila la watusi waishio nchini Congo ambao Kagame amekuwa akiwasapoti kupitia Laora Nkunda aliyekimbilia uhamishoni Rwanda kwa sasa hivi. hivyo unapoongelea RPF chama cha kagame kilichotoka msituni hadi kusababisha mlipuko wa genocide uanze, usichanganye na Banyamulenge..

Banyamulenge ni watu wanaoongea kitusi na ni watusi wa kikongo si wa Rwanda OK. Hebu tuongeage kisomi sometimes....watu wengi wanatusome watz humu na wanaweza kuona kama sio watafiti na wasomaji wa habari.

Pili , Hivi Salva ni Mtusi? Hadi unamwita Banyamulenge? Najua Salva yuko Ikulu, lakini nilikuwa sijui kama ni Mtusi. Yeye hajatoka Bukoba kweli yule? Kama ni Mtusi wekeni wazi na mtusi mwenyewe asiwe mtusi wa Kitanzania...Kama ni mtusi raia halali wa Tanzania, hatutakiwi kumbagua...

Kwa sababu hata makabila mengine, kuna wanyasa wanaoshare nchi mbili Tanzania na Malawi, Kigoma kule unashare watu wengi tu, na Burundi na Rwanda, Bukoba nako unashare na Waganda etc.. Msumbuji unashare na makabila ya kina mkapa na huwezi kuwaita hao ni alien.. inauma sana kubaguliwa...racism is poisonous unajua...
 
Nadhani wanadamu ( i mean any citizen of the world) wanapaswa kujua kuwa mtusi ni mtusi tu, awe wa Kongo(banyamulenge) wa unganda(mnyankole), wa Tz au hata wa Ulaya. Juhudi za Prof Mwaikusa zilikuwa zinalenga kuanika ukweli juu ya uongo wa kuwa Rwanda kulikuwa na mauaji ya kibali wakati hayakuwepo.

1. Alitetea kuwe na uwezo wa ICTR kujiridhisha kwa kutemebelea eneo la tukio ili kujionea ukweli. hii ingeepusha ushahidi wa kufundishwa unaotolewa mahakamani na mashahidi wengi.

2. Alitetea wafungwa wa ICTR watumikie adhabu zao mahali pengine na siyo Rwanda kwani wakienda Rwanda ni Kifo. Kwa watutsi ilikuwa lazima wahakikishe wamemuondoa.
 

mh!
 
Shirika la Wabenedition Tanzania ambalo ni tawi toka shirika la Mt. Otilia kutoka Ujerumani kuingizwa kwenye tetesi ya kashfa ya mauaji ya Mwanasheria Mwaikusa, ni jambo la kushtua na si la kawaida, pengine ni mbinu ya kuyumbisha ukweli wa kilichojilia, huku wakihusishwa Br. Aidan OSB na Br. Edmond OSB kwa kile kinachoelezwa sahihi za hao wanashirika la Benediction Fathers Peramiho kukutwa kwenye document ya Mwaka 2003 inayoonyesha wanahisa katika machimbo yamgodi wa Lukarasi.

Jambo linalonishangaza ni kuhusushwa Abate Lambert Dor OSB ambaye ni mkuu wa shirika hilo huko Peramiho, wakati wahusika ni hawa wawili pengine walifanya mikataba binafsi na si shirika.

Ninavyoelewa kuna upungufu mkubwa kuhusu habari hiyo kwa maana kwamba wenye mamlaka katika shirika lao kufanya mikataba si kila mwanashirika, ila ni Procurator wa shirika mwenye dhamana na mambo ya uchumi wa shirika, na udadisi wangu bado sina hakika kama hawa ni wako katika kitengo cha procurator ya Peramiho Abbey, huenda ni miradi binafsi inayofanywa na hao mabradha wawili na hivyo kulitia aibu na miskusuko shirika. Pengine uchunguzi ufanyike kwa kiwango cha kisheria, maana kama habari ilivyoletwa inatoa mswali ambayo kuna upungufu mkubwa wa kulihusisha shirika hilo ambalo makazi yake yako St. Otillien, nchini Ujerumani.

Habari hiyo ni kama ifuatavyo hapo chini nukuru kutoka gazeti la Raia Mwema.

 
Jwani Mwaikusa...........Kenneth Nchimbi.........Johnson Nchimbi.....Any relation to Emmanuel Nchimbi???
 
Candid Scope,

..waliofanya mauaji hayo ni WAHUNI.

..watawa wa ukweli hawawezi kujihusisha na ukatili.
 
Last edited by a moderator:
bado nina majonzi ya msiba wa baba askofu Aloysius balina, sitachangia uzi huu leo.

Msiba huo wa Askofu Aloysius Balina umenigusa sana, namkumbuka alivyokuwa so social kwa kila mtu, hakuwa na makuu, mpenda watu. Unajisikia huru kabisa kuongea naye kama mwenzako. Namkumbuka nimekutana naye mara kadhaa wakati angali askofu wa Jimbo la Geita na hata kabla hajawa askofu alipokuwa anafanya kazi TEC. Askofu ambaye unaweza kumwalika kifamilia kaja kushiriki, si jambo la kawaida kwa maaskofu walio wengi. Basi kazi ya Mungu haina makosa, ndio ukamilifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…