Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,355
- 1,989
Kama mtu akishindwa uchaguzi then analilia serikali ya mseto kuna haja gani basi ya kupiga kura.. kwa nini tusikubaliane tu . leo Rais anatoka CUF... VP CCM... baada ya miaka mitano zamu ya CCM.. VP atoke CUF.?
Brutus:
Tofauti ni kwamba huko US Gore alishindwa technically kwea taratibu walizojiwekea wao. Kwetu ni kwamba hao CUF walishinda kwa taratibu tulizojiwekea wenyewe lakini wakanyang'anywa na akina Mkapa.
Mmmmmmm angalieni sana. Msianze kupigia debe mafisadi wengine. Tunataka mtu safi asiye na doa.
Mkuu Gamba,
Heshima mbele, tatizo sio CV za viongozi wetu, isipokuwa tatizo ni CV za sisi wananchi wapiga kura, Salim ana CV nzito lakini tatizo ni kwamba urais hauamuliwi na CV peke yake, kwa bahati mbaya pamoja na CV yake kuwa nzito, alishindwa kwenye uchaguzi wa mgombea wa rais wa CCM,
Sasa kama Muungwana tu alimshinda kule CCM, je atawezaje kupambana na kina Freeman, na Lipumba? Na je akikutana na Dr. Slaa sio ndio itakuwa mauti kabisa kwetu CCM! Pole pole ndugu, urais ni pamoja na kushinda uchaguzi,
Salim ni kweli ana CV nzito, na pia ametuweka kwenye ramani ya Dunia politically, lakini tatizo hakuwa na political base nyumbani, kuanzia visiwani mpaka Bara, sasa uongozi wa kubebwa kama wake ulimalizwa na siasa za vyama vingi!
Otherwise, ni kweli CV yake ni nzito sana!
wakikusoma CUF watakwambia hatukushindwa uchaguzi, tuliibiwa uchaguzi
Kitu kingine; unaposema tujifunze demokrasia kwani lazima tujifunze mfano wa Bwana Kichaka na Gori? taja basi na somo litokanalo na alichokifanya Mandela kule A.Kusini.
Ishu ya South Afrika ilikuwa tofauti kabisa.
Strategically ilibidi kuwe na 2 vice presidents Frederik Willem de Klerk na Thabo Mbeki. Na kwenye usalama wa raia ilibidi Chifu Buthelezi awepo kuweza kuleta utulivu Kwazulu-Natal maana wafuasi wake wa Inkatha Freedom Party (IFP) walikuwa bado wanaleta violence!Baada ya kufanya mabadiliko ya serikali hakuna tena mseto!
Sisi hatuna hili tatizo!
Mzee mmoja huwa anapenda kusema hivi;
Bingwa wa ligi kuu sio timu ya taifa
Besides, Vasco mwenyewe alikiri tuna mpasuko, na huo mpasuko ni gonjwa ambalo lisipotibika twafa. Umesahau kulitokea nini Januari 2001
Marketing Strategies hizo!
Nikitaka kukuudhia bidhaa nitatafuta lugha yoyote itakayokuingia akilini ili nikuchomoe senti zako!
Tunaweza kusema lolote kuhalalisha hoja zetu.. lakini ukweli utabaki pale pale!
We don't need Miafaka whatever u call them!
Ni utumwa wa kiakili!
We can do better than that if we want to!
1. Ulishamsikia wapi Ahmed Salim akichukua msimamo ulio wazi kupinga mambo yanayowadidimiza wananchi.
2. Kuwa kiongozi ni pamoja na kuchukua 'risk'. One has to stick out a neck - sio mambo ya ku-comform tuuu siku zote!
3. In fact ni nyakati kama hizi ndio tungekuwa tunawasikiliza viongozi imara wakisimama kuhesabika.
I love Jambo Forums, kila ukifikiri umemaliza kuhesabu members vichwa, anatokea mwingine ohh thank God for JF!
Mkuu Kalamu never before like this, hapa inapaswa kuwa mwanzo na mwisho wa mjadala!
Yaani wewe unaona miafaka isiwepo, jamii moja ya wazanzibari iendelee kususiana misiba, kupeana talaka,kuvunja undugu na kuachiana safu misikitini nk, may be you dont know how terrible the mpasuko is
Yaani wewe unaona miafaka isiwepo,
CCM wakituletea huyu 2010 mbona nitawapenda!!, kama hawataweza kumwambia Vasco da Gama aachie usukani, basi angalau wamsimamishe Visiwani Zanzibar.
I love Jambo Forums, kila ukifikiri umemaliza kuhesabu members vichwa, anatokea mwingine ohh thank God for JF!
Mkuu Kalamu never before like this, hapa inapaswa kuwa mwanzo na mwisho wa mjadala!