So what do you want to know here!!
1. Who is he? or
2. Why is he connected with scandals?
Be specific then u will be assisted
Cheers
Wadau nisaidieni, huyu mtu (NM) amekuwa akihusishwa na tuhuma nyingi hasa zile za kimataifa kwa kutumia taaluma yake ya sheria.
Nilisikia kwamba aliwahi kufukuzwa nchini na baba wa taifa JKN miaka ya tisini, na JKN alipofariki dunia ndipo akarudi nchini. Pia juzi kwenye SAGA la DOWANS nimesikia amehusika ktk kesi ya DOWANS kwa kuipeleka kesi hiyo ICC. Nisaidieni wadau huyu m2 binafsi simfaham.
We are in for another 5!!
Nimrod is a good buddy and corrupt-free. If you have anything against him you either go see TAkukuru or Die!!
Comments za wahindi wa kisutu utazijua tu!