Who is next?

Who is next?

Ukiachana na hao ebu tuwafikirie hawa 17 wakuja na kupita kweli mond kidume anajua kutumia pesa zake kweli kweli yaani anatuwakilisha vyema
FB_IMG_15886971958473743.jpg
 
Nimepoiona hio picha nimekumbuka ngoma ya johnny ya yemi alade😂😂.
Sema jamaa anajitahidi.. mimi ningekua star kama mondi kwanza kuoa ningeoa na miaka 49 na kuendelea huko.. ningetafuna mamanzi karibia africa yote hii..
Naona jamaa anajiheshimu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom