Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Afadhali huyu jamaa kakamatwa
Poleni sana.I frankly don't know why you become fascinated by these childish games of the the West.Look here, Nkunda's assignment has been completed,that is why they are "pretending" to arrest him.They are now going into a new phase of the game!Wait and see.
Safi sana, nadhani vita vya DR Congo vitaisha. Kinachonishangaza na kunifanya nijiulize maswali ni: Urafiki huu wa ghafla wa Rwanda na DR Congo dhidi ya Nkunda umekujaje?
Obama amesema wazi kabisa kuwa hatavumilia viongozi wanaotegemea ufisadi kukaa madarakani, pia hatakubali marekani (makampuni yake) yatumie raslimali za dunia bila kujali madhara yake. Katika hali hiyo hayo makampuni yaliyokuwa yanamsupport Nkunda na serikali ya Rwanda yamejikuta yapo on the wrong side of history. Obama amesema wakibadilika tutawafungulia mikono wasipobadilika wataenda na maji.
Huo ni mwanzo; Raslimali za DRC haziwezi kuendelea kuwanufaisha wanyarwanda na makampuni ya nje na kundeleza vita DRC wakategemea Obama atakaa kimya. Angalia pia mchango wangu katika thread ya Hotuba ya Obama Full text ktk international forum.
Poleni sana.I frankly don't know why you become fascinated by these childish games of the the West.Look here, Nkunda's assignment has been completed,that is why they are "pretending" to arrest him.They are now going into a new phase of the game!Wait and see.
Hi ni kwa nini Kagame amemgeuka?
Safi sana, nadhani vita vya DR Congo vitaisha. Kinachonishangaza na kunifanya nijiulize maswali ni: Urafiki huu wa ghafla wa Rwanda na DR Congo dhidi ya Nkunda umekujaje?
...naona kama changa la macho tu...
kakamatwa akiwa njiani kukimbilia Rwanda?, huh!!! ...let 'em handover him kwa serikali ya Congo tuone.
that is perfect, watu wakiwa madarakani bwana hawajali kabisa nafsi ya wanajamii ndio hawa akina Nkunda, na aende Haag huyo akakione hata kama malipo ya mauaji aliyo ya fanya kamwe hayalipiki, cha msingi yeye asiendelee kutanua na kujiona Generali mbabe wakati amesababisha vifo vya maelfu ya wasiona hatia.
KUKAMATWA KWA NKUNDA KUSICHUKULIWE KUWA NI MWISHO WA VITA DRC.
BADO WAFUASI WAKE HAWAJA NYANGANYWA SILAHA.
Exaud J. Makyao
Profile: General Laurent Nkunda Rebel commander Laurent Nkunda studied psychology at university Rebel General Laurent Nkunda has long sought to portray himself as the only man who can protect his Tutsi community in eastern Democratic Republic of Congo from Hutu forces
This led to accusations that he was a stooge of the Tutsi-led Rwandan government. But in a surprising about-turn, it is the Rwandans who have finally arrested him.