Who is General Nkunda?

Koba said:
...mkuu taratibu hapo,nafikiri ni vizuri kuweka emotions pembeni na kuangalia facts za pande zote la sivyo vita itaendelea,na inaonekana kwako verdict ni tayari na Nkunda is a war criminal na Rwanda ndio Nkunda,na unaamini Nkunda sio Congolese ila ni tutsi wanaotaka hima empire in great lakes,na inaonekana huelewi vizuri hii saga ndio maana umebaki kushutumu upande mmoja tuu,hakuna mtu mwenye interest ya vita au kuchukua nchi ya mtu mwingine,security ndio issue kubwa hapo...sijui kama unaweza kulala kama adui yako ambaye ameua watu almost a million kasimama next door walking freely,sijui kama wewe ungekuwa Kagame unge deal vipi na Hutu extemist ambao sasa wamepiga camp Congo wakisubiri muda muafaka kuvamia Kigali na Kabila hawafanyi chochote,na wakiamini mtutsi yeyote duniani ni adui yao,tatizo sasa limekuwa more complicated in Congo(politically) maana propaganda ni kwamba banyamurenge(almost a milion) sio congolese,sasa sijui unataka Nkunda Banyamurenge waende wapi au walale wasubiri waje kuchinjwa(that will never happen my friend)..kabila kama ni kiongozi wa wacongo wote lazima ajue kina Nkunda wana legitimate issue wanayopigania na lazima awahakikishie usalama wao na aache propaganda za kuwafanya Banyamurenge kama sio raia halali wa Congo la sivyo security wataitafuta wenyewe na sitashangaa kabila akaishia kuwa mkimbizi na yeye!

Koba,Masanja,Netanyahu,

..wakati wa kumuondoa Mobutu majeshi ya Rwanda yalivamia makambi ya wakimbizi/Interahamwe and they went on killing rampage.

..baada ya kufika Kinshasa, jeshi lilokuwa na overall responsibility ya security in Congo lilikuwa jeshi la Rwanda/Banyamulenge, na kamanda wao alikuwa Mnyarwanda Gen.Kabarebe.

..Kabila alikuja kuwafukuza hawa Wanyarwanda.within two months Rwanda launched an air assault inside Congo and occupied the areas close to Angolan border. wakati huo huo wakashirikiana na Waganda ku-occupy eastern Congo. huo ndio ulikuwa mwanzo wa vita kati ya SADC vs Rwanda and Uganda.

..kuna kipindi Rwanda,Uganda,and their proxies, controlled Eastern Congo an area which was more than half the size that country. that occupation and conflict lasted more than 5 mpaka uchaguzi ulipofanyika.

..inajulikana kwamba Wanyarwanda,Waganda, and their proxies, commited untold attrocities and killings in the areas they occupied. by the time wanaondoka Congo wananchi zaidi ya millioni 2 walikuwa wameuawa.

..tunachosema sisi ni kwamba hawa watu milioni karibu 3 waliouawa kule kwenye makambi, na during occupation wanatosha.

..kama Rwanda na vibaraka wao hawakuwamaliza Interahamwe wakati wa kumtoa Mobutu, na miaka 5 ya ku-occupy the entire eastern Congo, kwanini wailaumu serikali ya Kabila isiyokuwa na jeshi lolote la kueleweka?

NB:

..vita ndani ya Congo imeuawa wananchi wengi kuliko wale waliouawa wakati wa genocide ya Rwanda.

..dunia itakapokaa na kuchunguza idadi ya maisha yaliyopotea tusijeshangaa kukuta wamekufa wananchi wengi kuliko population nzima ya Rwanda -- pre and post genocide.

..INATOSHA!!!
 
Joka Kuu Masanja,, Netenyahu na wengine wote..Nina swali, je wahutu wanafanyani Congo?

Are they there under somebody's cover ama ni kwa vile their is no govt
machinery to engage them?
 
Wachangiaji,
Ninavyofahamu mie kutoka kwa Wacongo ni kuwa hadi leo hii vita ya mashariki mwa Congo hadi leo imeshauwa watu zaidi ya milioni tano. Yes, 5 millions. Huwezi amini lakini huo ndiyo ukweli. Kama mtu anafikiri hii vita imeanza baada ya Uganda ns Rwanda kuvamia Congo basi ajuwe kuwa huo ni mwanzo tu wa vita nyingine.
CNN jana walikuwa wakisema kuwa hii vita imeanza mwaka 1967. Imeshashuhudia watu kibao wakija kutatua na wakashindwa. Ndiyo maana kusema kuwa ukimuondoa Nkunda utakuwa umemaliza vita si kweli. Ikumbukwe kuwa kuna Katibu mkuu wa UN kama sikosei alikuwa Mswidi alifia huko CONGO katika juhudi za kusuluhisha. Wakati huo ilikuwa ni ugomvi kati ya Wabelgiji na Wafaransa.
Nikisikia Zanzibar wanadai wao wana mafuta na hivyo hawataki MUUNGANO kweli nawasikitikia kwani hawajui walisemalo. Mie hadi kesho naombea MAFUTA yasipatikane Tanzania. Saudi Arabia kila siku wanadai OPEC wapunguze idadi ya uzalishaji mafuta duniani ili bei iende juu. Sasa akija mtu mwingine kwa jina la Tanzania au Zanzibar au Unguja au Pemba anataka kuanza kuzalisha mafuta hawa jamaa watamwacha? Itaanza VITA moja kali sana. Wajinga kama Nkunda mbona wapo kibao? Mtu kama Lowassa akiahidiwa URAIS na wampe silaha, sidhani kama atafikiria sana - May be niko wrong.
 
Kwanini kila wanapokuwa Watutsi ndio kuwe na vita, Congo, Burundi, Uganda, Rwanda. Watusti pia wanatakiwa kutambua jamii zingine zisizokuwa za kitutsi. Haiwezekani wao wakajiona bora zaidi na kwanini wasikubalike na jamii nyingine, manake unasema Congo sababu kumewaka lakini Burundi na Rwanda watu wanakaa kichuga chuga manake wakati wowote panaweza waka moto.

Nkunda anaua watu na anaungwa mkono na sio tu Rwanda bali na jamii yote ya Kitutsi. Uwezi ukakuta mtustsi anampinga wenyewe wanamwita Nhunda. SADC, AU na Serikali ya Congo wazushi tu na hawana ubavu wa kuchukua hatua. Comoro kwepesi jamaa fasta wakataka kuuza sura, na kama kuna mwanamme atie mguu Congo, jamaa vita ni sehemu ya maisha yao wakati Bongo mnachangishana sherehe za harusi huku jamaa wanachangishana kununua silaha wachapane.

Kabila ameshindwa kuongoza Congo, ni nchi kubwa sana na sehemu kibao kama alipo Nhunda anapotesa hakuna serikali kwa hiyo mnapo dadavua issue ya Congo itazameni kwa Big picture. Makao makuu ya serikali yako mbali kabisa na eneo la kaskazini ya Congo ambalo ni eneo hatari kabisa mwishoni mkumbuke pia kabila alipigwa tafu na Kagame na kina Nhunda na bado amekaa kimya wakati mwingine sio poa kulisishana madaraka with expense of peoples lifes.

Pamoja na yote hayo tambueni Bongo ni peponi katika ukanda huu hata pamoja na mapungufu yote ya huko home!!!!!!!
 
Nkunda ni mzaliwa wa kongo!hii serikali ya Congo si iwatambue tu hawa banyamulenge yaaishe!Nasikia hii issue ya kutowatambua ilikuwepo hata enzi za Mobutu!
Na hawa ndo walimsaidia kabila kuingia madarakani alipoingia na yeye akawageuka tena!Sasa na kabila mtoto anaendeleza yale yale!
 
Nkunda ni mzaliwa wa kongo!hii serikali ya Congo si iwatambue tu hawa banyamulenge yaaishe!Nasikia hii issue ya kutowatambua ilikuwepo hata enzi za Mobutu!
Na hawa ndo walimsaidia kabila kuingia madarakani alipoingia na yeye akawageuka tena!Sasa na kabila mtoto anaendeleza yale yale!

Inakuwa vigumu kwa mgeni kumlazimiasha mwenyeji wako akuruhusu uwe mwenyeji. Ingawa ina historia ndefu, Issue ya Banyamulenge iliibuliwa na Kagame, lengo lake ilikuwa ni kumuondoa Mobutu, na hatimaye kumfanya mtusi awe kiongozi wa Kongo, lakini hesabu zake ziliharibika na wakongoman wakawastukia. Kabila hakuwageuka watusi(banyamulenge) ila hakujua nia yao halisi, yeye mwanzoni alidhani kuwa ni kweli nia yao ni kumuondoa Mobutu aliyetuhumiwa kuwa anawahifadhi wahutu(interahamwe) na alitaka kutumia opportunity hiyo kufanikisha ambition zake za kuwa Rais, kumbe nia yao ya ndani ilikuwa ni kumtumia kumuondoa Mobutu na kumuweka madarakani kwa muda, na baadaye kumuua na nafasi achukue Bizimana Karahana mtusi ambaye angekuwa Rais wa Congo. Bahati mbaya au bahati nzuri wakongoman wenye akili wakaamua Kabila mdogo aingie madarakani badala ya Karahana, ili nchi isiuzwe.
Wanaosema kuwa Kabila sio Mkongoman kwa sababu haongei kifaransa huo ni ujinga, kifaransa sio Kikongo ni lugha ya nchi moja huko Ulaya ambayo inaongewa na watu wa nchi mbalimbali za Afrika ikiwemo Kongo. Utata wa uraia wa Kabila uko kwenye upande wa Mama yake ambaye inasemekana ni mtusi, lakini wanaoleta hoja hiyo ni wale watu mufilis kisiasa na wenye uchhu wa madaraka kwa kisingizio cha uraia wakati hawana uwezo.
Kabila amekulia nje ya Kongo kwa hiyo ni kawaida kwa yeye kutojua kifaransa, na ni kweli amesoma Tanzania na ameishi Tanzania na ndugu zake wameishi na kukulia Tanzania, but that does not make him not a congolese. Kwa hiyo anachosema Shy hakibebi maji.
 
Inakuwa vigumu kwa mgeni kumlazimiasha mwenyeji wako akuruhusu uwe mwenyeji. Ingawa ina historia ndefu, Issue ya Banyamulenge iliibuliwa na Kagame, lengo lake ilikuwa ni kumuondoa Mobutu, na hatimaye kumfanya mtusi awe kiongozi wa Kongo, lakini hesabu zake ziliharibika na wakongoman wakawastukia. Kabila hakuwageuka watusi(banyamulenge) ila hakujua nia yao halisi, yeye mwanzoni alidhani kuwa ni kweli nia yao ni kumuondoa Mobutu aliyetuhumiwa kuwa anawahifadhi wahutu(interahamwe) na alitaka kutumia opportunity hiyo kufanikisha ambition zake za kuwa Rais, kumbe nia yao ya ndani ilikuwa ni kumtumia kumuondoa Mobutu na kumuweka madarakani kwa muda, na baadaye kumuua na nafasi achukue Bizimana Karahana mtusi ambaye angekuwa Rais wa Congo. Bahati mbaya au bahati nzuri wakongoman wenye akili wakaamua Kabila mdogo aingie madarakani badala ya Karahana, ili nchi isiuzwe.
Wanaosema kuwa Kabila sio Mkongoman kwa sababu haongei kifaransa huo ni ujinga, kifaransa sio Kikongo ni lugha ya nchi moja huko Ulaya ambayo inaongewa na watu wa nchi mbalimbali za Afrika ikiwemo Kongo. Utata wa uraia wa Kabila uko kwenye upande wa Mama yake ambaye inasemekana ni mtusi, lakini wanaoleta hoja hiyo ni wale watu mufilis kisiasa na wenye uchhu wa madaraka kwa kisingizio cha uraia wakati hawana uwezo.
Kabila amekulia nje ya Kongo kwa hiyo ni kawaida kwa yeye kutojua kifaransa, na ni kweli amesoma Tanzania na ameishi Tanzania na ndugu zake wameishi na kukulia Tanzania, but that does not make him not a congolese. Kwa hiyo anachosema Shy hakibebi maji.

Very interesting observation.
 
Very interesting observation.

Kagame na timu yake ni very smart people, ukisikia mambo yao na influence zao unaweza kushangaa. Kama huyu Bizimana Karaha amewahi kuwa waziri Uganda, waziri Rwanda na waziri Congo, sina hakika kama kuna mtu yoyote amewahi kushika nyadhifa za uwaziri kwenye nchi tatu tofauti. kama yeye. Jamaa ni wajanja sana, walimuingiza mkenge hata Prof Wamba, walitaka kumtanguliza kama walivyofanya kwa kabila, lakini walimfukuza baada ya kuona kuwa yeye hapendi mambo ya vita.
Hata Nkunda anatumiwa tu na kaka zake wa Rwanda na loyalty yake haiko Congo, na ajabu ni kuwa dunia imeacha kutupia jicho kwa kagame inaelekeza jicho kwa Nkunda. Solution nzuri kwa Kabila ni kujenga jeshi lenye nguvu na nidhamu na kuitikisa Rwanda kisawasawa, Nkunda ataacha mwenyewe.
 
Ab-Tichaz,

..inasemekana sehemu kubwa ya wapiganaji wa Interahamwe walikimbilia DRC.

..walipofika huko wakaanza kuji-organize upya kurudi kukomboa Rwanda toka kwa RPF.

..pia walianza kupigana na Banyamulenge ambao ni Watutsi wa DRC.

..baada ya hapo ndipo Rwanda wakapata sababu ya kuingia DRC na kumuondoa Mobutu.

..katika harakati za kumuondoa Mobutu, Rwanda/RPF walishiriki mauaji ya wakimbizi wa Kihutu waliokuwepo DRC. kuna wanaodai wengi wa waliouawa walikuwa Interahamwe.

..kuna kipindi UN waliomba ruhusa kuingia DRC kuchunguza mauaji ya wakimbizi wa Kihutu yaliyofanywa na Rwanda/RPF. Mzee Laurent Kabila akijua kilichotokea, na kutambua mchango wa RPF ktk kumuweka madarakani, alikataa maombi ya wachunguzi wa UN.

..kitendo hicho kilisababisha Laurent Kabila akose support ya International Community.

..pia askari wa Rwanda waliokuwa ktk maeneo mengine ya DRC wakati wa Laurent Kabila walikuwa wakilalamikiwa na wananchi kutokana na tabia zao za kikatili. ilifika wananchi wakawaona ni karaha kuliko hata askari wa Mobutu.

..kitendo cha askari ya Rwanda/Tutsi kuwa na amri ndani ya DRC kulianza kumfanya Laurent Kabila aonekane kibaraka tu mbele ya wananchi aliotegemewa kuwaongoza.

..Laurent Kabila aliona kwamba kuwepo kwa askari wa Rwanda/Tutsi kunajenga mazingira ya wananchi kutokuwa na imani naye, jambo ambalo lingeweza kuzua maasi mengine dhidi yake na maswahiba wake wa Kinyarwanda/Kitutsi.

..katika mazingira hayo, Mzee Laurent Kabila aliamua kuwarudisha Rwanda askari wote wa RPF waliokuwepo DRC.

..baada ya hapo ndipo Rwanda,Uganda,na UNITA, walipoandaa mkakati wa kumuondoa Laurent Kabila madarakani.

Sikonge,

..Katibu Mkuu wa UN aliyefariki ktk harakati za kusuluhisha mgogoro wa Congo alikuwa Mswidi akiitwa Dag Hamaskjold. alifariki ktk ajali ya ndege.

..vita vya DRC vya miaka ya 60 vilikwisha wakati wa utawala wa Mobutu. nadhani majeshi ya UN yalitoa mchango mkubwa.

..vita ya sasa hivi ni tofauti na ile ya miaka ya 60.

..kama ulivyoambiwa wameuawa wa-Congo zaidi ya milioni 5, na wengi wao na majeshi ya Rwanda na vibaraka wao.

..Kama ingekuwa Tanzania mauaji hayo yana ratio ya 6:1. halafu kuna wachangiaji na heshima zao wanashangaa kwanini Kagame/Rwanda/Tutsi/Banyamulenge ni unpopular huko DRC.
 
Bongolander,

shukran sana kwa kutuelimisha on the chain of events of this quagmire.

Swali linakuja hivi, mbona Joseph Kabila asiwaamuru hao Interahamwe(Hutu)
warudi Rwanda and let the UN monitor their protection over there under a
different auspices? Iwapo hawa jamaa watabaki DRC basi Kagame will have
a legitimate reason of trying to get them even if its by proxy.Na hapo ndo
hii kasheshe haitomalizika.He believes the guys will regroup na warudi Rwanda
kumngatua mamlakani.

It is very obvious Kagame backs General Nkunda maana hata baada ya vipress
conference vyake na ule mkutano na Obasanjo,jamaa anaelekea Kigali in full
glare.Kisha over there, no efforts are made to reprimand him even though ni
mshukiwa wa War Crimes kibao.
 
Bongolander,

shukran sana kwa kutuelimisha on the chain of events of this quagmire.

Swali linakuja hivi, mbona Joseph Kabila asiwaamuru hao Interahamwe(Hutu)
warudi Rwanda and let the UN monitor their protection over there under a
different auspices? Iwapo hawa jamaa watabaki DRC basi Kagame will have
a legitimate reason of trying to get them even if its by proxy.Na hapo ndo
hii kasheshe haitomalizika.He believes the guys will regroup na warudi Rwanda
kumngatua mamlakani.

It is very obvious Kagame backs General Nkunda maana hata baada ya vipress
conference vyake na ule mkutano na Obasanjo,jamaa anaelekea Kigali in full
glare.Kisha over there, no efforts are made to reprimand him even though ni
mshukiwa wa War Crimes kibao.


Unajua Congo ina msingi wa kisheria wa kuwafukuza watusi(banyamulenge) kwa kuwa sheria yao ya uraia inafuata mkondo wa damu(jus sanguinis) na haifuati sehemu ulipozaliwa. Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria za Congo watu kama Nkunda ni wageni. Lakini Kabila na wakongo hawana uwezo wa kuwaamuru waondoke kwa sababu hawana means za kutekeleza amri hiyo.

Kitu kingine muhimu unachotakiwa kuangalia ni kuwa Juvenal Hyabyarimana aliwafukuza watusi wakakimbilia Congo, Uganda na Tanzania na wengine kidogo Burundi, baada ya Kagame na Kanyarengwe kuwaorganise watusi kutoka sehemu hizo wakatungua ndege ya Hyabyarimana na kuivamia Rwanda, nao wakafanya mauaji ya halaiki kama ingawa si kwa kiasi kikubwa kama interahamwe, na kwa ujumla walipanga kuwafukuza au kulipiza kisasi kwa wahutu. Kwa hiyo sasa kumekuwa na makundi mawili ya wanyarwanda nchini Congo (wahutu-interahamwe na watusi-Banyamulenge). Kagame anahofu kuwa kuna siku nao wahutu watakuja kuwa organised (which will happen) warudi tena Kigali kama alivyofanya Kagame. Nkunda anatumiwa kuwadisturb na kuwamaliza mmoja baada ya mwingine, hii ndio mission iliyobaki sasa baada ya kushindwa kuweka rais mtusi Congo. UN nayo haina nguvu ya kutosha kuweka ulinzi, maana jimbo la Kivu Kaskazini ni kubwa sana kijiografia na halina infrustructure ya kuruhusu easy movement ya vikosi. Kwa hiyo ndio maana guerillas wanaojua njia za panya wanatesa zaidi.
Ukifuatilia vizuri historia ya Zaire utaona kuwa Mobutu alikuwa anavuna tu wala alikuwa haongozi, hakujenga barabara na miundo mbuni mingine, ndio maana nchi ndogo kama Rwanda inaweza kumchezea Kabila kama inavyopenda, sababu ni kuwa serikali ya Kinshasa haina nguvu na infrustructure ya kutosha kutawala na kudhibiti nchi, hiyo weakness watusi wanaifahamu vizuri sana
 
Unajua Congo ina msingi wa kisheria wa kuwafukuza watusi(banyamulenge) kwa kuwa sheria yao ya uraia inafuata mkondo wa damu(jus sanguinis) na haifuati sehemu ulipozaliwa. Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria za Congo watu kama Nkunda ni wageni. Lakini Kabila na wakongo hawana uwezo wa kuwaamuru waondoke kwa sababu hawana means za kutekeleza amri hiyo.

Kitu kingine muhimu unachotakiwa kuangalia ni kuwa Juvenal Hyabyarimana aliwafukuza watusi wakakimbilia Congo, Uganda na Tanzania na wengine kidogo Burundi, baada ya Kagame na Kanyarengwe kuwaorganise watusi kutoka sehemu hizo wakatungua ndege ya Hyabyarimana na kuivamia Rwanda, nao wakafanya mauaji ya halaiki kama ingawa si kwa kiasi kikubwa kama interahamwe, na kwa ujumla walipanga kuwafukuza au kulipiza kisasi kwa wahutu. Kwa hiyo sasa kumekuwa na makundi mawili ya wanyarwanda nchini Congo (wahutu-interahamwe na watusi-Banyamulenge). Kagame anahofu kuwa kuna siku nao wahutu watakuja kuwa organised (which will happen) warudi tena Kigali kama alivyofanya Kagame. Nkunda anatumiwa kuwadisturb na kuwamaliza mmoja baada ya mwingine, hii ndio mission iliyobaki sasa baada ya kushindwa kuweka rais mtusi Congo. UN nayo haina nguvu ya kutosha kuweka ulinzi, maana jimbo la Kivu Kaskazini ni kubwa sana kijiografia na halina infrustructure ya kuruhusu easy movement ya vikosi. Kwa hiyo ndio maana guerillas wanaojua njia za panya wanatesa zaidi.
Ukifuatilia vizuri historia ya Zaire utaona kuwa Mobutu alikuwa anavuna tu wala alikuwa haongozi, hakujenga barabara na miundo mbuni mingine, ndio maana nchi ndogo kama Rwanda inaweza kumchezea Kabila kama inavyopenda, sababu ni kuwa serikali ya Kinshasa haina nguvu na infrustructure ya kutosha kutawala na kudhibiti nchi, hiyo weakness watusi wanaifahamu vizuri sana

.....mawazo kama yako ndio yanafanya watu kama mimi niwaunge mkono kina Nkunda na wenzake,hii idea ya kuwafanya kina nkunda sio Congolese ni hatari sana na ndio sababu kubwa ya vita,sijui hata kama unajua history ya banyamurenge? hii bullshi-t ya kutaka kuwa drive out almost a million banyamurenge out of Congo kwa kutumia jus sanguinis non sense nafikiri ni uwendawazimu wa hali ya juu,na sijui waende wapi? part kubwa ya yeye kabila leo kuwa Raisi ni hao banyamurenge maana ndio waliopigana na mobutu which led to bringing his father to power,leo kawa raisi eti nyie sio raia (WTF?),na alivyokuwa mpuuzi kaanza kuwatumia interahamwe kuwaua banyamurenge (raia wake mwenyewe),Nkunda principally is fighting for his security and freedom la sivyo watafanywa stateless citizen na kuchinjwa wote....interahamwe wapo makini wanasubiri their chances kuwasafisha banyamurenge!
 
.....mawazo kama yako ndio yanafanya watu kama mimi niwaunge mkono kina Nkunda na wenzake,hii idea ya kuwafanya kina nkunda sio Congolese ni hatari sana na ndio sababu kubwa ya vita,sijui hata kama unajua history ya banyamurenge? hii bullshi-t ya kutaka kuwa drive out almost a million banyamurenge out of Congo kwa kutumia jus sanguinis non sense nafikiri ni uwendawazimu wa hali ya juu,na sijui waende wapi? part kubwa ya yeye kabila leo kuwa Raisi ni hao banyamurenge maana ndio waliopigana na mobutu which led to bringing his father to power,leo kawa raisi eti nyie sio raia (WTF?),na alivyokuwa mpuuzi kaanza kuwatumia interahamwe kuwaua banyamurenge (raia wake mwenyewe),Nkunda principally is fighting for his security and freedom la sivyo watafanywa stateless citizen na kuchinjwa wote....interahamwe wapo makini wanasubiri their chances kuwasafisha banyamurenge!

Koba unajua ukweli ni kuwa kila nchi inasheria yake. Sheria ya uraia wa Congo haitokani na mtu kuzaliwa kwenye ardhi ya Congo, bali inatokana na damu yake. Kama Ukizaliwa Congo na huna damu ya Kikongo basi wewe si Mkongo, kama ukizaliwa nje ya Congo na una damu ya Kikongo basi wewe ni Mkongo, ndio maana nasema kisheria Congo ina haki ya kimsingi kuwafukuza Banyamulenge. Nadhani hata Tanzania tunafuata sheria hiyo, lakini pia mtu anaweza kuomba uraia, sasa kunyimwa au kupewa ni uamuzi wa mwenyeji. Kama jus Sangunis wewe unaona ni non sense well and good lakiniinatakiwa kuheshimiwa hadi itakapoondolewa.
Wale jamaa sio stateless, ni wanyarwanda na ndio maana Kagame haawachi. Lakini cha ajabu wanyarwanda wengine yaani wahutu interahamwe anataka wachinjwe. Na for sure kweli jamaa watajiorgnaise watarudi tena, and the cycle will go on and on and on.
 
jamani chanzo cha ugomvi wa wahutu na watusi ni nini?

Chanzo ni racist na superimacist complex ya watusi towards other ethinic blacks, ambayo ilipandikizwa na wabelgiji wakati wa divide and rule, wabelgiji walipoondoka watusi wakiendeleza hadi wahutu walipoamua kuwaondoa madarakani na kuwafukuzia Rwanda na Hyabyarimana kusema nchi imejaa kaeni hukohuko mlikokimbilia.
Kwa ufupi ni dhambi ya ubaguzi aliyotuasa nayo baba wa taifa, ambayo inaendela kutafuna na kutafuna na kutafuna.
 
Koba unajua ukweli ni kuwa kila nchi inasheria yake. Sheria ya uraia wa Congo haitokani na mtu kuzaliwa kwenye ardhi ya Congo, bali inatokana na damu yake. Kama Ukizaliwa Congo na huna damu ya Kikongo basi wewe si Mkongo, kama ukizaliwa nje ya Congo na una damu ya Kikongo basi wewe ni Mkongo, ndio maana nasema kisheria Congo ina haki ya kimsingi kuwafukuza Banyamulenge. Nadhani hata Tanzania tunafuata sheria hiyo, lakini pia mtu anaweza kuomba uraia, sasa kunyimwa au kupewa ni uamuzi wa mwenyeji. Kama jus Sangunis wewe unaona ni non sense well and good lakiniinatakiwa kuheshimiwa hadi itakapoondolewa.
Wale jamaa sio stateless, ni wanyarwanda na ndio maana Kagame haawachi. Lakini cha ajabu wanyarwanda wengine yaani wahutu interahamwe anataka wachinjwe. Na for sure kweli jamaa watajiorgnaise watarudi tena, and the cycle will go on and on and on.

.......Banyamurenge tutsi have lived in Congo for well over a century,walikuwepo pale kabla hata ya Berlin conference,just kwa sababu kuna watu the other side of the border wanao share language & culture basi wao sio congolese,kabla ya kuja hapa na kuongea vitu usivyokuwa na uhakika navyo ni bora ukasoma history kidogo haiumizi!
 
.......Banyamurenge tutsi have lived in Congo for well over a century,walikuwepo pale kabla hata ya Berlin conference,just kwa sababu kuna watu the other side of the border wanao share language & culture basi wao sio congolese,kabla ya kuja hapa na kuongea vitu usivyokuwa na uhakika navyo ni bora ukasoma history kidogo haiumizi!

sawa mkuu nina hakika kabisa kuwa kuna wakongo watusi, na kuna watanzania watusi ambao baadhi yao waapear in form ya hawa na wahaya na wengine wengi tu alike. Hao si wageni, ninaowazungumzia ni wale waliokimbizwa Rwanda baada ya genocide ya kwanza. By the way mimi ni mvukutu najua historia ya hii kitu kutokana na first experience. Thanks for advice anyway.
 
sawa mkuu nina hakika kabisa kuwa kuna wakongo watusi, na kuna watanzania watusi ambao baadhi yao waapear in form ya hawa na wahaya na wengine wengi tu alike. Hao si wageni, ninaowazungumzia ni wale waliokimbizwa Rwanda baada ya genocide ya kwanza. By the way mimi ni mvukutu najua historia ya hii kitu kutokana na first experience. Thanks for advice anyway.

.....watutsi waliokimbia Rwanda ni hao kina Kagame ambao sasa wamesharudi Rwanda na wengi tuu walikuwa Tanzania ila kwa sasa wamesharudi kwao ingawa wengine walizaliwa TZ na kusoma TZ,sijui kama unawajua wahangaza wa Ngara? akitokea mtu akasema wale sio watanzania najua wengi wataamini tuu kama huwajui maana lugha yao na kinywarwanda hakuna tofauti na hata culture na wanafanana nao sana lakini ni watanzania wanaokaa ngara na wako wengi tuu na wengine wamewahi hata kuwa katika cabinets na hata yule gavana Rutihinda alikuwa mhangaza mtutsi.
 
congoslah.jpg



Africa’s Other Holocaust | Newsweek International | Newsweek.com
 
Sabotage suspected as Kabila army battles Nkunda


news+index+pix.jpg

People look at a truck loaded with govt soldiers outside Goma. Thousands of civilians have been displaced by the fighting in Congo.​

By FRED OLUOCH

Posted Saturday, November 22 2008 at 09:02

Government forces battling with Laurent Nkunda's forces in the eastern Congo have been sabotaged from within, leading to a series of losses to the rebels.

Sources close to the government told The EastAfrican that the integration of former rebel forces into the national army following the 2002 Sun City agreement that led to the formation of a government of national unity brought former friends of Nkunda into the army.

It so happened that most of the personnel deployed in the east to stop Nkunda's advances are former soldiers in the Congolese Rally for Democracy (RCD), which was backed by Rwanda and Uganda in its drive to oust the late Desire Kabila in 1998.

The sources said some commanders had been leaking information about the army's position and strength to Nkunda.

RDC - initially led by the late Ernest Wamba dia Wamba - was formed by Uganda and Rwanda after they grew dissatisfied with the government, and took over Goma, marking the beginning of the Second Congo War in 1998.

It was the strong suspicion of sabotage that led President Joseph Kabila last week to appoint Gen Didier Etumba as the new chief of general staff to replace of Gen Dieudonne Kayembe.

The reshuffle came soon after Prime Minister Adolf Muzito toured eastern Congo where he discovered a major misappropriation of funds meant for the army.

The rebels who joined the government army had little military training and are finding the going tough against the battle-hardened Nkunda forces.

At the same time, it is difficult for the government forces to man the borders of the vast country, maintain national security and fight the war against Nkunda at the same time.

As a result, Nkunda's National Council for the Defence of the People (CNDP) has been enjoying a series of successes before withdrawing from Kanyabayonga and Rwindi following appeals from the international community and the summit of the Great Lakes region held in Nairobi early this month.

Despite the pullback by Nkunda's forces, Congo watchers doubt the ceasefire will hold, given that Kinshasa is still reluctant to initiate direct negotiations with him.

Even though UN special envoy Olusegun Obasanjo has announced that President Kabila and Nkunda are ready for dialogue without preconditions, the word from Kinshasa is that the government maintains that Nkunda should join the 22 other rebel groups in the Amani programme.

The East African*- Sabotage suspected as Kabila army battles Nkunda

My take:
Kama huu ndo usafirishaji wa majeshi basi kuna kazi huko Kongo.Kisha there is a high level
of indiscipline if the army personnel in Kabila's forces are in cahoot witht General Nkunda's
people so as to sabotage any moves by the Govt.Hii vita haishi leo.
 
Back
Top Bottom