'Who created God' is an Illogical Question!

Is logical, if not logical even to sketch the graph of 1/x is not logical. Y tends to positive infinity and negative infinity. ::Is possible to sketch the graph hence to ask who created God is logical
 
M
Mungu yupo katika dimension nyingine ndio maana inaitajika belief kutambua uwepo wake..na kumbuka kiranga hii multiverse ni infity lakini binaadam ana finity though hivyo yaitajika imani tuu kutokana na ishara zionekanazo katika dimension tuliopo sasa.. Ila usihofu life span ya watanzania ni 45 year utakufa na utaingia dimension hiyo ili uone mengi zaidi na uwepo wa mungu.. Tunaambiwa mtu akifa jicho lake lawa kali it means anaingia katika mirror dimension na kuona mengi ya kwake na yadunia kwa upana but litokealo huko haliathili real word yaani phisical world tunayoish sasa... Hivyo usihofu Ukifa tutakutana huko na tutajua kweli mungu yupo au laaa.. ILA KIRANGA BANA WE WAJUA MUNGU YUPO ILA WATAKA TUU KUTU CHALENGE AUUU??
 
Almight
 
Hii inaonyesha kiwango cha shibe tuliyonayo
Mungu yupo na ataendelea kuwepo, mfano mdogo, angaliq nyasi kipindi cha kiangazi na ziangalie tena kipindi cha masika, na ujiulize swali dogo nani anafanyakazi hiyo ya kuuwisha na kuzipa uhai nyasi
Sembuse wewe binadamu ulietoka kwenye tone la MANII tena ya kuruka.
Kama umeshiba tafuta mada za kujadili na sio hizi.
 
We all know that God was never made nor created he is Almighty Alpha and Omega as said earlier.... Who created man? That's where the question comes... Non of us believe that the source of man came from Apes and man was never made by chance, he was made for a purpose and the purpose was to rule over everything that God created
 
Ngowimc, where did you get the knowledge that God was neither made nor created? were told by the missionaries that God is Almighty, you have to add your own knowledge as well
 
Well Done Bro
 
Well Done Bro
at the end of the day hakuna proof, just tusadiki tu cuz hatuwezi kuwa na majibu ya kuturidhisha, next baada ya hapo huwa yanaanza maswali ya kina nani wako sahihi wakristo waislamu au wahindu katika kumfikia Mungu.
 
Can you prove God exists?
Can u prove your existence
Kwann kila kitu chako kuanzia ukuaji ,mzunguko wa damu ,vital organs kwann hauoni ukuaji wako ila unaongezeka kimo na uzito ..angalia ufanyaj kazi wa miiili yetu kila kitu ni principle
 
How do we reach out to the so called god and appeal to him for the knowledge that will ultimately help us understand his power?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitabu kinachosema binadamu ametokana na apes.... bali ni binadamu na apes originated from a common ancestor....


Sio punda ametokana na pundamilia au pundamilia ametokana na punda.... bali pundamilia na punda wametokana na mzazi mmoja..... so hauwezi kumuita huyo mzazi ni punda wala hauwezi kumuita ni pundamilia.....(so it is something else) hii topic wengi mmeshindwa kuicomprehend.

Alafu kama asili ya binadamu imeanza kwa adam and eve.... je, inakuwaje uzazi wao uwe na watu weusi (Africans), Chinese, Japanese, Arabs, Whites, red indies etc...... (what happened, why there is no explanation of these....imewezekana vipi wote watokane na family tree moja??????

Believes haikuweza kumsaidia binadamu kujua albinism inasabibishwa na nini zaidi ya kufikiri ni laana....

Imani sio njia ya kujua kwamba jambo fulani ni kweli au si kweli..... ndio maana hata watu wanaambiwa na waganga kwamba wakatafute viungo vya albino watapata mafanikio, anaefanya hivyo ametumia imani..... hauwezi kusema kwa vile siwezi kuthibitisha kwamba maagizo ya mganga sio ya kweli therefore ni kweli....
 
Ili kuthibitisha uwepo wa Mungu ni lazima tujiulize Kuumba ni nini? Kuna Kuuumba na Kutengeneza, kuumba ni Kuwa (in English TO BE) na kutengeneza ni maarifa na uwezo wa kubadili umbo na muonekana na kitu kilichombwa kuwa tofauti. Mtengenezaji anatenganishwa na nafasi fulani kati yake na Kitu alichokitengeneza na pia anachukuwa muda fulani kufanya utengenezaji wake, lakini muumba hatenganishwi na nafasi na Umbile aliloliumba na hata kama litabadilika muonekano au umbo in bado anakuwa ndani ya umbile milele.

Chungu kimeumbwa kwa udongo na kimetengenezwa na mfinyanzi. Kama Mungu ndio Muumba ya vitu vyote na Mambo yote tuyajuayao na tusioyajua basi uwepo wa Maumbile including Kiranga ni uthibitisho tosha kwa Uwepo wake. Space and Time are prominant dimension in our mind can not think, imagine or know God. To know something you need to be that thing you need to know otherwise you will end up with definations and characteristics of the thing.

[/QUOTE]
Can you prove God exists?
 
Gods, 60 pagan deities in the Bible are well known from deep antiquities eg,

Ashelath, Baal, Dagon,etc, whoever dislike my fore fathers' God, is among the rest of evil gods, who's trying day and night to miss lead Us!
 
Alijaribu mtu mmoja anaitwa Manoa, alimuuliza Malaika wa Mungu aliyekuja kuwaletea ujumbe kuwa watamzaa mtoto Samson mnadhiri wa Mungu, kuwa jina lake nani, walikuwa shambani wakiwa na mke wake. Malaika kabla hajamjibu, alimuuliza swali Manoa , NIV Bible inaandika hivi: "WHY DO YOU WANT TO KNOW MY NAME? IT'S BEYOND UNDERSTANDING". Kawaida, baadhi ya watu huwa wanaingia humu jukwaani wakiwa wameshiba sawasawa, so they can post anything
 
Mkuu,Kwa hio kwa sababu swali ni illogical basi halina Jibu ama?Umetumia neno UKWELI kwamba usemacho ni ukweli je ni kwa misingi gani?Je hilo nalo ni logical.
 
The entire concept of "absolute" is an illusion.

And that is another reason God does not exist.
You are a human being with two legs and not an animal, isn't it? Is this fact also an illusion?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…