Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,638
Rangi yao kama ya simba mla yanga.
Bila uchokozi hakuna ladha ya mpira, ila simba inatisha.
mi najua unajua ila unataka tu wakasirike na siku hizi kukiwa hakuna mipira ya kurusha twite hachezi vizuri maana kwayo ndio amesajiliwa.Kwahiyo unataka kusema Yanga wanacheza mpira kwenye facebook na magazetini tu???
mi najua unajua ila unataka tu wakasirike na siku hizi kukiwa hakuna mipira ya kurusha twite hachezi vizuri maana kwayo ndio amesajiliwa.
Kwahiyo unataka kusema Yanga wanacheza mpira kwenye facebook na magazetini tu???
Si naskia twite alikuwa fundi wa draft na karata mpk akamfunga riz1?? Kupewa shavu ndo akapewa kandarasi yanga.
wapo for real au ni editing tu?maana nahisi simba wanapatikana Africa tu,je hawa weupe wanapatikana sehemu gani?
wasije kuwa simba wa kichina.....
wasije kuwa simba wa kichina.....